< Hagai 1 >
1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario wa Uajemi, katika siku ya kwanza ya mwezi wa sita, neno la Bwana lilikuja kupitia kwa nabii Hagai kwenda kwa Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda na kwa Yoshua mwana wa kuhani mkuu Yehosadaki:
Be ode ageyadu amoga, Da: liase da Besia soge amo hina bagade hamone ouligi esalu, amola oubi gafe amoga eso agega, Hina Gode da Ha: ga: iai ema sia: sia: i. Amola Ha: ga: iai da alofele, amo sia: Yuda eagene ouligisu dunu amola Selababele (Sia: lediele egefe) amola gobele salasu ouligisu dunu Yosiua (Yihosada: ge egefe), ilima bu sia: i.
2 Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Hawa watu husema, ‘Wakati haujawadia wa kujenga nyumba ya Bwana.’”
Hina Gode Bagadedafa da Ha: ga: iaima amane sia: i, “Isala: ili dunu ilia da amane sia: sa, ‘Debolo Diasu bu gagumu esodafa da hame doaga: i.’”
3 Kisha neno la Bwana likaja kupitia kwa nabii Hagai:
Amalalu, Hina Gode Ea sia: amo da dunu huluane ilia nabima: ne, balofede dunu Ha: ga: iaima sia: ne i.
4 “Je, ni wakati wenu ninyi wa kuishi katika nyumba zenu zilizojengwa vizuri, wakati hii nyumba ikibaki, gofu?”
Hina Gode da amane sia: i, “Na dunu fi abuliba: le ilila: diasu amo noga: le gaguli esala, amola Na Sia: ne Gadosu Diasu amo bu wadela: lesi dagoi ba: sala: ?
5 Sasa hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Zitafakarini vyema njia zenu.
Dilia da abuliba: le dilima hou doaga: ga: lalebe amo hame ba: sala: ?
6 Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba. Mnakula lakini hamshibi, mnakunywa, lakini hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapata mishahara, lakini inatoweka kama imewekwa kwenye mfuko uliotobokatoboka.”
Dilia da gagoma bagade sagai galu, be amomane bagade hame fai. Dilia da ha: i manu gala be dili sadini manu defele hame gala. Dilia da waini hano manu gala, be dilia da waini hano hanai gumimu defele hame gala. Dilia da abula gala, be bagahameba: le, dilia da: i hame hougala: sa. Dunu da muni lamusa: hawa: hamosa, be amomane esaloma: ne lamu liligi amo defele hame ba: sa.
7 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Zitafakarini vyema njia zenu.
Di da abuliba: le, amo hou doaga: be hame ba: bela: ?
8 Pandeni milimani mkalete miti na kujenga nyumba, ili nipate kuifurahia, na nitukuzwe,” asema Bwana.
Defea, wahadafa agoloba: le heda: le, diasu gagusu ifa lidima, amola Na Debolo Diasu mugului amo bu buga: le gaguma. Amasea Na da dilima nodomu amola dilia da Nama defele nodone sia: ne gadomu.
9 “Mlitarajia mengi, kumbe, yametokea kidogo. Ulichokileta nyumbani nilikipeperusha. Kwa nini?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Ni kwa sababu ya nyumba yangu, inayobaki katika hali ya magofu, wakati kila mmoja wenu anajishughulisha na nyumba yake mwenyewe.
Dilia da ifabi ganodini ha: i manu bagade lamusa: dawa: i galu. Amomane ha: i manu da dadamini aguni manoba, Na da amo dadami fulabole fasi dagoi. Abuliba: le, Na agoane hamobela: ? Bai Na Debolo Diasu da mugululi sia: i dagoiba: le. Be dilia da mae dawa: le, dilia diasu fawane gagulala.
10 Kwa hiyo, kwa sababu yenu mbingu zimezuia umande wake na ardhi mavuno yake.
Amaiba: le, Na da diligili gibu amola ha: i manu hame iaha.
11 Niliita ukame mashambani na milimani, kwenye nafaka, mvinyo mpya, mafuta pamoja na chochote kinachozalishwa na ardhi, juu ya watu na ngʼombe, pamoja na kazi za mikono yenu.”
Na da dilia sogega esoi bagade i dagoi. Dilia soge agolo, gagoma sagai, waini sagai, olefe ifa sagai, dilia sagai liligi huluane amola dunu fi amola ohe fi huluane amo da esoi bagade ba: sa.
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yoshua kuhani mkuu mwana wa Yehosadaki, pamoja na mabaki yote ya watu wakaitii sauti ya Bwana Mungu wao pamoja na ujumbe wa nabii Hagai, kwa sababu alikuwa ametumwa na Bwana Mungu wao. Watu walimwogopa Bwana.
Amalalu, Selababele, Yosiua amola dunu fi huluane (amo da Ba: bilone mugului asili buhagi), ilia Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ilia da beda: ne, balofede dunu Ha: ga: iai (Hina Gode Ea Sia: Alofesu dunu) amo ea sia: nabawane hamoi.
13 Kisha Hagai, mjumbe wa Bwana, akawapa watu ujumbe huu wa Bwana: “Mimi niko pamoja nanyi,” asema Bwana.
Amalalu, Ha: ga: iai da Hina Gode Ea sia: amo Isala: ili dunuma alofele adoi, amane, “Na da dafawane ilegesa. Na da dili hamedafa yolesimu.”
14 Kwa hiyo Bwana akachochea roho ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, na roho ya kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki, pamoja na roho za mabaki yote ya watu. Walikuja wakaanza kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wao,
Hina Gode da Selababele, Yuda eagene ouligisu dunu, gobele salasu ouligisu dunu Yosiua amola dunu huluane amo da mugululi asili buhagi, amo ilia da Debolo Diasu bu gaguma: ne, Hina Gode da ilia a: silibu denesi dagoi. Ilia da ilia Hina Gode Bagadedafa Ea Debolo Diasu gaguma: ne, hawa: hamosu mui.
15 katika siku ya ishirini na nne mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
Ilia da oubi gafeale amola eso 24 amo Da: liase ea hina bagade ouligisu eso amoga, amo hawa: hamosu mui.