< Hagai 2 >

1 Katika siku ya ishirini na moja ya mwezi wa saba, neno la Bwana lilikuja kupitia nabii Hagai, kusema:
Asari e thapa, hnin 21 touh navah profet Haggai koehoi ka tho e BAWIPA e lawk teh,
2 “Sema na Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki, na mabaki ya watu. Uwaulize,
Judah bawi kalen lah kaawm e Shealtiel e a capa Zerubbabel hoi vaihma kacue Jehozadak e capa Joshua hoi a kacawie naw koe patuen na dei pouh hane teh,
3 ‘Ni nani miongoni mwenu aliyebaki ambaye aliiona hii nyumba katika utukufu wake wa mwanzo? Sasa inaonekanaje kwenu? Je, haionekani kwenu kama si kitu?
Hete im heh ayan e a lentoenae hoi akawi e hah ouk kahmawt e nangmouh thung dawk apine na kaawm awh. Atu bangne na hmu awh. Bangnue pawiteh nangmae hmalah banglahai kaawm hoeh e patetlah nahoehmaw ao vaw.
4 Lakini sasa uwe imara, ee Zerubabeli,’ asema Bwana. ‘Kuwa imara, ee kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki. Mwe imara, enyi watu wote wa nchi,’ asema Bwana, ‘na mfanye kazi. Kwa kuwa mimi nipo pamoja nanyi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Hateiteh Oe! Zerubbabel na tha kâlat haw, telah BAWIPA ni ati. Oe vaihma kacue Jehozadak capa Joshua na tha kâlat haw, Oe! khocaramca naw na tha kâlat awh telah BAWIPA ni a ti.
5 ‘Hili ndilo nililoagana nanyi mlipotoka katika nchi ya Misri. Pia Roho wangu anadumu katikati yenu. Msiogope.’
Izip ram hoi na tâco awh navah, lawk ka kam e patetlah kai teh nangmouh koe ka o. Ka Muitha teh nangmouh koe ao. Puen awh hanh telah ransahu BAWIPA ni a ti.
6 “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Baada ya muda kidogo kwa mara nyingine nitazitikisa mbingu na nchi, bahari na nchi kavu.
Ransahu BAWIPA Cathut ni a dei e teh, a tue nâsittouh a ro hoehnahlan kalvan, talai, tuipui hoi monnaw hah kai ni bout kahuet han rah.
7 Nitatikisa mataifa yote, nacho kile kinachotamaniwa na mataifa yote kitakuja, nami nitaujaza utukufu katika nyumba hii,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Miphun puenghai kahuet han rah. Miphun pueng ni a ngai kawi e hno phat vaiteh, hete im dawk lentoenae hoi kakawi sak han telah BAWIPA ni a ti.
8 ‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Sui hoi Ngun teh kaie doeh telah ransahu BAWIPA ni a ti.
9 ‘Utukufu wa nyumba hii ya sasa utakuwa mkubwa kuliko utukufu wa ile nyumba ya mwanzoni,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. ‘Na mahali hapa nitawapa amani,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”
Atu e sak e im teh hmaloe e im hlak hoe a lentoe han telah ransahu BAWIPA ni ati. Hete hmuen koehai lungmawngnae ka poe han telah ransahu BAWIPA ni a ti.
10 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa tisa, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilikuja kwa nabii Hagai:
Darius siangpahrang uknae a kum pahni thapa yung takonae, hnin 24 navah BAWIPA e lawk profet Haggai koehoi a dei eiteh,
11 “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ulizeni makuhani jinsi sheria inavyosema:
Nang ni vaihmanaw koe na pacei hane teh,
12 Kama mtu akibeba nyama iliyowekwa wakfu katika pindo la vazi lake, kisha lile pindo likagusa mkate au mchuzi, divai, mafuta au chakula kingine, je, kitu hicho kitakuwa kimewekwa wakfu?’” Makuhani wakajibu, “La hasha.”
Tami ni kathounge moi hah amae angki hoi a tangoung laihoi a sin vaiteh vaiyei, ankahe, misur, satui naw, cakawi buetbuet touh hoi hote a tangoung e hoi kânep pawiteh hote rawca teh kathoung han na maw telah a pacei navah vaihmanaw ni hote rawca teh thoung hoeh telah ati awh.
13 Kisha Hagai akasema, “Je, kama mtu aliyetiwa unajisi kwa kugusa maiti akigusa mojawapo ya vitu hivi, kitu hicho kitakuwa kimetiwa unajisi?” Makuhani wakajibu, “Ndiyo, huwa kimenajisiwa.”
Haggai ni kathounghoehe ro kâbet pawiteh a khin maw telah a pacei navah, vaihmanaw ni, a khin telah a dei awh.
14 Kisha Hagai akasema, “‘Basi ndivyo walivyo machoni pangu hawa watu na taifa hili,’ asema Bwana. ‘Lolote wafanyalo na chochote watoacho hapo ni najisi.
Haggai nihai, hete miphun, hete khocanaw ka hmalah hottelah doeh ao awh. A tawk e puenghai hottelah doeh ao. Kai koe a thueng awh e hno hai a khin telah BAWIPA ni a ti.
15 “‘Sasa fikirini kwa uangalifu kuanzia leo na kuendelea: tafakarini jinsi mambo yalivyokuwa kabla halijawekwa jiwe moja juu ya lingine katika Hekalu la Bwana.
Bawipa ni Bawkim dawk talung buet touh e van buet touh pacoung hoehnahlan, atuhoi kamtawng nateh ahmaloe e hno hah bout pouk awh haw.
16 Wakati mtu alipoendea lundo la nafaka la vipimo ishirini, kulikuwa na vipimo kumi tu. Wakati mtu alipoendea pipa la mvinyo ili kuchota vipimo hamsini, kulikuwa na vipimo ishirini tu.
Hatnae tueng navah cakang hmuen 20 touh na hmunae dawkvah, hmuen hra touh duengdoeh na hmu awh. Misur tui hlaam 50 touh a pha han na ti awh e hah misur paw kasunae koe na pha awh navah 20 touh dueng na hmu awh.
17 Kazi zenu zote za mikono nilizipiga kwa ukame, ukungu na mvua ya mawe, lakini hata hivyo, hamkunigeukia mimi,’ asema Bwana.
Na tawksak e pueng teh kahlî ni a tânan vaiteh atui lah dui ka lawng sak toe. Hat nakunghai, kai koe lah na kamlang awh hoeh telah BAWIPA ni a ti.
18 ‘Tangu leo na kuendelea, kuanzia siku hii ya ishirini na nne ya mwezi wa tisa, tafakarini siku ambayo msingi wa Hekalu la Bwana uliwekwa. Tafakarini:
Bawipa e Bawkim khom ungnae atako e thapa, hnin 24, sahnin totouh hoi pouk awh haw.
19 Je, bado kuna mbegu iliyobakia ghalani? Mpaka sasa, hakuna mzabibu au mtini, mkomamanga wala mzeituni uliozaa tunda. “‘Kuanzia leo na kuendelea, nitawabariki.’”
Capai dawk cakang ao maw, awm hoeh, misurkung, thaibunglung kung, talekung, olivekungnaw ni paw awh hoeh rah. Hatei, atuhoi teh kai ni nangmanaw yawhawi na poe awh han telah a ti.
20 Neno la Bwana likamjia Hagai kwa mara ya pili katika siku ya ishirini na nne ya mwezi kusema:
Hote thapa 24 hnin vah Haggai koe BAWIPA e lawk bout a tho teh,
21 “Mwambie Zerubabeli mtawala wa Yuda kwamba nitazitikisa mbingu na nchi.
Judah kho kaukkung Zerubbabel koe bout na dei pouh hane lawk teh, Kalvan hoi talai kai ni ka kahuet han.
22 Nitapindua viti vya enzi vya falme, na kuziharibu kabisa nguvu za falme za kigeni. Nitapindua magari ya vita pamoja na waendeshaji wake; farasi na wapanda farasi wataanguka, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.
Uknaeram bawitungkhungnaw ka pakhuppathan vaiteh, uknae bahu pueng ka raphoe han. Rangleng hoi rangleng kâcuinaw puenghai ka pakhuppathan han. Marang dawk kâcuie ransanaw hai amamouh hoi amamouh naw tahloi hoi a kâbouk awh vaiteh a due awh han.
23 “‘Katika siku ile,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nitakuchukua wewe, mtumishi wangu Zerubabeli mwana wa Shealtieli,’ asema Bwana. ‘Nitakufanya kama pete yangu ya muhuri, kwa kuwa nimekuchagua,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”
Kalvan e ransahu BAWIPA ni a dei e teh Shealtiel capa, kaie san Zerubbabel, hatnavah nang teh kuthrawt patetlah na ta han telah Bawipa ni ati. Nang teh na rawi toe telah ransahu BAWIPA ni a ti.

< Hagai 2 >