< Habakuki 1 >

1 Neno alilopokea nabii Habakuki.
The birthun that Abacuk, the profete, sai.
2 Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada, lakini wewe husikilizi? Au kukulilia, “Udhalimu!” Lakini hutaki kuokoa?
Hou longe, Lord, schal Y crye, and thou schalt not here? Y suffrynge violence schal crie an hiy to thee, and thou schalt not saue?
3 Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma? Kwa nini unavumilia makosa? Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu; kuna mabishano na mapambano kwa wingi.
Whi schewidist thou to me wickidnesse and trauel, for to se prey and vnriytwisnesse ayens me? Whi biholdist thou dispiseris, and art stille, the while an vnpitouse man defoulith a riytfulere than hym silf? And thou schalt make men as fischis of the see, and as crepynge thingis not hauynge a ledere; and doom is maad, and ayenseiyng is more miyti.
4 Kwa hiyo sheria imepotoshwa, nayo haki haipo kabisa. Waovu wanawazunguka wenye haki, kwa hiyo haki imepotoshwa.
For this thing lawe is `to-brokun, and doom cometh not til to the ende; for the vnpitouse man hath miyt ayens the iust, therfor weiward doom schal go out.
5 “Yatazame mataifa, uangalie na ushangae kabisa. Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu ambacho hungeamini, hata kama ungeambiwa.
Biholde ye in hethene men, and se ye, and wondre ye, and greetli drede ye; for a werk is doon in youre daies, which no man schal bileue, whanne it schal be teld.
6 Nitawainua Wakaldayo, watu hao wakatili na wenye haraka, ambao hupita dunia yote kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.
For lo! Y schal reise Caldeis, a bittir folk and swift, goynge on the breede of erthe, that he welde tabernaclis not hise.
7 Ni watu wanoogopwa na wanaotisha; wenyewe ndio sheria yao, na huinua heshima yao wenyewe.
It is orible, and dredeful; the dom and birthun therof schal go out of it silf.
8 Farasi wao ni wepesi kuliko chui, na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo. Askari wapanda farasi wao huenda mbio; waendesha farasi wao wanatoka mbali. Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;
His horsis ben liytere than pardis, and swifter than euentyd woluys, and hise horse men schulen be scaterid abrood; for whi `horse men schulen come fro fer, thei schulen fle as an egle hastynge to ete.
9 wote wanakuja tayari kwa fujo. Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele kama upepo wa jangwani, na kukusanya wafungwa kama mchanga.
Alle men schulen come to preye, the faces of hem is as a brennynge wynd; and he schal gadere as grauel caitifte,
10 Wanawabeza wafalme, na kuwadhihaki watawala. Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma; wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.
and he schal haue victorie of kyngis, and tirauntis schulen be of his scornyng. He schal leiye on al strengthe, and schal bere togidere heep of erthe, and schal take it.
11 Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele: watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”
Thanne the spirit schal be chaungid, and he schal passe forth, and falle doun; this is the strengthe of hym, of his god.
12 Ee Bwana, je, wewe sio wa tangu milele? Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa. Ee Bwana, umewachagua wao ili watekeleze hukumu; Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.
Whether `thou, Lord, art not my God, myn hooli, and we schulen not die? Lord, in to doom thou hast set hym, and thou groundidist hym strong, that thou schuldist chastise.
13 Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu, wala huwezi kuvumilia makosa. Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu? Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu wanawameza wale wenye haki kuliko wao wenyewe?
Thin iyen ben clene, se thou not yuel, and thou schalt not mowe biholde to wickidnesse. Whi biholdist thou not on men doynge wickidli, and thou art stille, while the vnpitouse man deuourith a more iust man than hymsilf?
14 Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.
And thou schalt make men as fischis of the see, and as a crepynge thing not hauynge prince.
15 Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana, anawakamata katika wavu wake, anawakusanya katika juya lake; kwa hiyo anashangilia na anafurahi.
He schal lifte vp al in the hook; he drawide it in his greet net, and gaderide in to his net; on this thing he schal be glad, and make ioie with outforth.
16 Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake, na kuchoma uvumba kwa juya lake, kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe, na anafurahia chakula kizuri.
Therfore he schal offere to his greet net, and schal make sacrifice to his net; for in hem his part is maad fat, and his mete is chosun.
17 Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?
Therfor for this thing he spredith abrood his greet net, and euere more he ceesith not for to sle folkis.

< Habakuki 1 >