< Habakuki 3 >

1 Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.
Pre se inge ma lal Habakkuk, mwet palu:
2 Bwana, nimezisikia sifa zako; nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana. Fufua kazi yako katikati ya miaka, katikati ya miaka tangaza habari yako; katika ghadhabu kumbuka rehema.
O LEUM GOD, nga lohng tari ke pungom, Ac nga arulana fwefela ke orekma lom. Sifilpa oru in pacl lasr uh Orekma usrnguk ma kom tuh oru meet ah. Pakoten nu sesr, finne pacl kom kasrkusrak.
3 Mungu alitoka Temani, yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani. Utukufu wake ulifunika mbingu, na sifa zake zikaifunika dunia.
God El ac sifilpa tuku Edom me; God mutal El tuku liki eol srisrik lun Paran, Wolana lal afunla inkusrao, Ac faclu sessesla ke kaksakinyal.
4 Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo; mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake, ambako nguvu zake zilifichwa.
El tuku wi kalmen sarom; Kalem sarmelik liki inpaol, Yen ku lal wikla we.
5 Tauni ilimtangulia; maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.
El supu mas upa uh in fahsr meet lukel, Ac sapkin tuh misa in fahsr tokol.
6 Alisimama, akaitikisa dunia; alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke. Milima ya zamani iligeuka mavumbi na vilima vilivyozeeka vikaanguka. Njia zake ni za milele.
Ke pacl se El tui, faclu kusrusr; Ke ngetang lal, mutunfacl uh rarrar. Fineol ma nuna oan oemeet me muliplipi, Ac eol srisrik su ac oan nwe tok tili, Aok eol srisrik yen El fahsr we in pacl oemeet ah.
7 Niliona watu wa Kushani katika dhiki, na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
Nga liye ke mwet Cushan elos sangeng, Ac ke mwet Midian elos rarrar.
8 Ee Bwana, uliikasirikia mito? Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito? Je, ulighadhibikia bahari ulipoendesha farasi wako na magari yako ya ushindi?
LEUM GOD, ya infacl uh pa tuh oru kom kasrkusrakak ah? Ya meoa uh pa tuh oru kom foloyak ah? Kom kasrusr fin pukunyeng uh; Pukunyeng in paka uh pa chariot nutum Ke kom tuh use kutangla nu sin mwet lom.
9 Uliufunua upinde wako na kuita mishale mingi. Uliigawa dunia kwa mito;
Kom akola in orekmakin mwe pisr nutum, Akola in pisrik sukan pisr nutum. Sarom lom foklalik faclu.
10 milima ilikuona ikatetemeka. Mafuriko ya maji yakapita huko; vilindi vilinguruma na kuinua mawimbi yake juu.
Pacl se ke eol uh tuh liye kom, elos rarrar; Kof uh kahkla inkusrao me. Kof ye faclu ngirngir, Ac noa kaclos pisryak nwe lucng.
11 Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni katika mngʼao wa mishale yako inayoruka, na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.
Ke usren mui lun pisr nutum Ac saromla lun osra saromrom nutum Faht uh ac malem uh tui, tia mukuikui.
12 Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia, na katika hasira ulikanyaga mataifa.
Kom fahsr sasla fin faclu ke kasrkusrak, Kom futfutungya facl puspis ke folo lom.
13 Ulikuja kuwaokoa watu wako, kumwokoa uliyemtia mafuta. Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu, ukamvua toka kichwani hadi wayo.
Kom illa in molela mwet lom, In molela tokosra lom su kom sulela. Kom uniya mwet kol lun mwet koluk Ac sukela mwet lal nukewa.
14 Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya, wakifurahi kama walio karibu kutafuna wale wanyonge waliokuwa mafichoni.
Mwe pisr nutum fakisya ac sasla ke mwet kol fulat lun un mwet mweun Ke elos tuku oana sie paka in liskutelik. Elos engnu oana mwet su akkeokye mwet sukasrup in lukma.
15 Ulikanyaga bahari kwa farasi wako, ukisukasuka maji makuu.
Horse nutum uh futungya inkof uh, Oru inkof uh wiawala.
16 Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu, midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti; uchakavu ukanyemelea mifupa yangu, na miguu yangu ikatetemeka. Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.
Nga lohng ma inge nukewa, ac nga rarrar; Ngoasrok rarak ke sangeng. Monuk ulla, Ac niuk tukulkul. Nga fah misla tupan pacl se Ke God El ac fah kalyei mwet ma mweuni kut uh.
17 Ingawa mtini hauchanui maua na hakuna zabibu juu ya mizabibu, ingawaje mzeituni hauzai, na hata mashamba hayatoi chakula, iwapo hakuna kondoo katika banda, wala ngʼombe katika zizi,
Sak fig finne wangin fahko Ac wangin grape ke oa in grape uh, Sak olive finne tia fokla Ac ima uh finne tia isus fahko, Sheep nukewa finne misa Ac kalkal in cow uh pisala,
18 hata hivyo nitashangilia katika Bwana, nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
Nga fah srakna insewowo ac engan Mweyen LEUM GOD El langoeyu.
19 Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu; huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala, huniwezesha kupita juu ya vilima. Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.
LEUM GOD Fulatlana El ase ku nu sik. El oru niuk in oakwuk oana soko deer, Ac karinginyu fineol uh.

< Habakuki 3 >