< Habakuki 3 >

1 Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.
Amo da balofede dunu Ha: bagage ea sia: ne gadosu afae gala.
2 Bwana, nimezisikia sifa zako; nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana. Fufua kazi yako katikati ya miaka, katikati ya miaka tangaza habari yako; katika ghadhabu kumbuka rehema.
“Hina Gode! Na da Dia hamoi amo nabi dagoi. Amola na da baligiwane fofogadigisa. Wali, ninia esalebe eso amoga, Dia musa: gasa bagade hamoi amo bu hamoma. Di da ninima ougi gala, be amomane ninima asigima!
3 Mungu alitoka Temani, yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani. Utukufu wake ulifunika mbingu, na sifa zake zikaifunika dunia.
Gode da bu Idome soge amoganini mana. Hadigi Gode da Ba: ila: ne agolo amoganini mana. Ea noga: idafa isisima: goi hou da mu amo dedebosa. Amola osobo bagade da Ema nodone sia: ne gadosu amoga nabai gala.
4 Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo; mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake, ambako nguvu zake zilifichwa.
E da ha: ha: na ea nenegala: be defele maha. Ea gasa da Ea lobo ganodini wamolegei. Amoga hadigi da digaga: gala: !
5 Tauni ilimtangulia; maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.
E da olo bisili iasisa! E da Bogosu Ema fa: no bobogema: ne sia: sa!
6 Alisimama, akaitikisa dunia; alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke. Milima ya zamani iligeuka mavumbi na vilima vilivyozeeka vikaanguka. Njia zake ni za milele.
E da aligisia, osobo bagade da fogosa. E da hedolole ba: legasea, fifi asi gala ilia da fofogosa. Eso huluane dialumu goumi da goudane sa: i ba: sa. Eso huluane dialumu agolo (amogawi E da musa: hemonega lalu) da magufalala.
7 Niliona watu wa Kushani katika dhiki, na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
Na da Gusia: ne fi dunu beda: igia: be ba: i. Na da Midia: ne fi dunu beda: ga yagugulalebe ba: i.
8 Ee Bwana, uliikasirikia mito? Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito? Je, ulighadhibikia bahari ulipoendesha farasi wako na magari yako ya ushindi?
Hina Gode! Di da hano ilia houba: le ougibala: ? Di da hano wayabo bagade ea hou ba: beba: le, bagadewane ougibala: ? Di da mu mobi da: iya fila heda: le ahoasu. Mulu mobi ginafoi amo da Dia ‘sa: liode’ hamoi. Amanoba, Di da Dia fi dunuma hasanasisu hou i dagoi.
9 Uliufunua upinde wako na kuita mishale mingi. Uliigawa dunia kwa mito;
Di da Dia oulali amoga gala: musa: dadi momagei. Dia ha: ha: na amoga da osobo bagade odahidale yalesi.
10 milima ilikuona ikatetemeka. Mafuriko ya maji yakapita huko; vilindi vilinguruma na kuinua mawimbi yake juu.
Goumi alelaloi da Di ba: loba, fofogosu. Hano da mu da: iya gadonini sogadigi. Osobo bagade hagudu hano da goi. Amola amo hano gafului da gado heda: i.
11 Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni katika mngʼao wa mishale yako inayoruka, na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.
Dia dadi da dogona ahoa foloa gala: loba amola Dia goge agei da dogona ahoa digagala: loba, eso amola oubi da mae fogole lelu.
12 Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia, na katika hasira ulikanyaga mataifa.
Dia da ougiliwane, osobo bagade amodili mogodigili asi. Di da ougi bagadedafa agoane, fifi asi gala ilima ososa: gisa asi.
13 Ulikuja kuwaokoa watu wako, kumwokoa uliyemtia mafuta. Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu, ukamvua toka kichwani hadi wayo.
Di da Dia fi dunu gaga: musa: gadili asi. Amola Dia ilegei hina bagade dunu gaga: musa: gadili asi. Be Di da wadela: i hamosu dunu ilia ouligisu dunu amo fane sali. Amola ema fa: no bobogesu dunu amo Di da wadela: lesili, gugunufinisi dagoi.
14 Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya, wakifurahi kama walio karibu kutafuna wale wanyonge waliokuwa mafichoni.
Wadela: i hamosu dunu ouligisu dunu ea dadi gagui wa: i da mulu agoane nini afagogolesimusa: manebe ba: i. Ilia da hidale, dunu amo da hame gagui dunu wamowane banenesisu defele, ninima osa: le heda: musa: manebe ba: i. Be amo dadi gagui wa: i ilia ouligisu dunu amo, Dia da Dia dadiga sone, fane sali dagoi.
15 Ulikanyaga bahari kwa farasi wako, ukisukasuka maji makuu.
Di da Dia hosiga hano wayabo bagade ososa: gi dagoi. Amola hano bagade da dubu hamonesi.
16 Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu, midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti; uchakavu ukanyemelea mifupa yangu, na miguu yangu ikatetemeka. Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.
Na da amo huluane naba amola yagugusa. Na lafi gadofo da beda: ga yagugusa. Na da: i da fofogosu agoane hamosa, amola na emoga ahoasea, gigiawasa. Gode da Ea eso ilegei amoga, ninima doagala: su dunu ilima se dabe imunu. Na da amo eso doaga: ma: ne, asabole ouligimu.
17 Ingawa mtini hauchanui maua na hakuna zabibu juu ya mizabibu, ingawaje mzeituni hauzai, na hata mashamba hayatoi chakula, iwapo hakuna kondoo katika banda, wala ngʼombe katika zizi,
Be amomane, figi ifa da fage hame legei galea, amola waini efe da dulu hame legei galea, amola olife ifa da fage hame legei galea, amola bugili nasu sogega, gagoma da hame heda: i galea, amola sibi huluane da bogogia: i dagoi galea, amola bulamagau sanasisu gagili amo ganodini bulamagau hamedafa esalebe ba: sea,
18 hata hivyo nitashangilia katika Bwana, nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
na da amoma mae dawa: le, gebewane, nodone hahawane esalumu. Bai Hina Gode da na Gaga: sudafa esala.
19 Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu; huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala, huniwezesha kupita juu ya vilima. Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.
Ouligisudafa Hina Gode da nama gasa iaha. Ea hamobeba: le, na da ‘dia’ ohe agoane noga: le ososa: ahoa. Na da goumi da: iya ahoasea, Hina Gode da na noga: le gaga: le ouligisa. Sia ama dagoi

< Habakuki 3 >