< Mwanzo 7 >

1 Ndipo Bwana akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.
Potom řekl Hospodin k Noé: Vejdiž ty i všecka čeled tvá do korábu; nebo jsem tě viděl spravedlivého před sebou v národu tomto.
2 Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike.
Ze všech hovad čistých vezmeš sobě sedmero a sedmero, samce a samici jeho, ale z hovad nečistých dvé a dvé, samce a samici jeho.
3 Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.
Z ptactva také nebeského sedmero a sedmero, samce a samici, aby živé zachováno bylo símě na vší zemi.
4 Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”
Nebo po dnech ještě sedmi já dštíti budu na zemi za čtyřidceti dnů a čtyřidceti nocí; a vyhladím se svrchku země všelikou podstatu, kterouž jsem učinil.
5 Noa akafanya yote kama Bwana alivyomwamuru.
Tedy učinil Noé všecko tak, jakž mu přikázal Hospodin.
6 Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.
(Byl pak Noé v šesti stech letech, když ta potopa přišla na zemi.)
7 Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.
A protož přišel Noé a synové jeho, i žena jeho, i ženy synů jeho s ním k korábu, pro vody potopy.
8 Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo,
Z hovad také čistých i z hovad nečistých, i z ptactva a ze všeho, což se hýbe na zemi,
9 wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa.
Po dvém vešli k Noé do korábu, samec a samice, tak jakž byl rozkázal Bůh Noé.
10 Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.
Stalo se pak po sedmi dnech, že vody potopy přišly na zemi.
11 Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.
Léta šestistého věku Noé, druhého měsíce, sedmnáctého dne téhož měsíce, v ten den protrženy jsou všecky studnice propasti veliké, a průduchové nebeští otevříni jsou.
12 Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.
I byl příval na zemi čtyřidceti dní a čtyřidceti nocí.
13 Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.
Toho dne všel Noé, Sem a Cham i Jáfet, synové Noé, žena Noé, a tři ženy synů jeho s ním do korábu.
14 Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa.
Oni i všeliký živočich podlé pokolení svého, i všeliké hovado podlé pokolení svého, a všeliký zeměplaz, kterýž se hýbe na zemi, podlé pokolení svého, i všeliké ptactvo vedlé pokolení svého, všelijací ptáci, všecko, což křídla má,
15 Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina.
Vešli k Noé do korábu, po dvém ze všelikého těla, v němž byl duch života.
16 Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo Bwana akamfungia ndani.
A což jich vešlo, samec a samice ze všelikého těla vešli, tak jakž byl přikázal jemu Bůh, a zavřel Hospodin po něm.
17 Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.
A když byla potopa za čtyřidceti dnů na zemi, tedy rozmnoženy jsou vody, až i vyzdvihly koráb, a vznesly jej od země.
18 Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
Nebo zmohly se vody a rozmnoženy jsou velmi nad zemí, i zplýval koráb na vodách.
19 Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote.
A tak náramně rozmohly se vody nad zemí, že přikryty jsou všecky hory nejvyšší, kteréž byly pode vším nebem.
20 Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.
Patnácte loktů zvýší rozmohly se vody, když přikryty jsou hory.
21 Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.
I umřelo všeliké tělo, kteréž se hýbe na zemi, tak z ptactva, jako z hovad a živočichů, i všelikého hmyzu, kterýž se plazí po zemi, i každého člověka.
22 Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.
Všecko, což mělo dýchání ducha života v chřípích svých, ze všeho, což bylo na suše, pomřelo.
23 Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
A tak vyhladil Bůh všelikou podstatu, kteráž byla na tváři země, od člověka až do hovada, až do zeměplazu, a až do ptactva nebeského, vyhlazeno jest, pravím, z země; a zůstal toliko Noé, a kteříž s ním byli v korábu.
24 Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.
I trvaly vody nad zemí za sto a padesáte dnů.

< Mwanzo 7 >

The Great Flood
The Great Flood