< Mwanzo 6 >

1 Watu walipoanza kuongezeka idadi katika uso wa dunia na watoto wa kike wakazaliwa kwao,
Osobo bagadega dunu fi idi da bagade heda: i. Uda mano da ilima lalelegeloba,
2 wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua.
Gode egefelali da dunu fi ilia uda manolali hahawane ba: loba, ilia hanaiga amo uda mano lasu.
3 Ndipo Bwana akasema, “Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.”
Amalalu Hina Gode da amane sia: i, “Na A: silibu da dunu ilima eso huluane hame gegenanumu. Bau osobo bagade dunu ilia bogosu dawa: Ilia da wali ode 120 fawane esalumu.
4 Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.
Amo esoga, amola fa: no, dunu bagade amo ilia dio da Nefilime da osobo bagadega esalu. Gode egefelali amola osobo bagade dunu ilia uda manolali da gilisili golaiba: le, amo dunu bagade da lalelegei. Amo dunu da gasa bagade hamobeba: le, dunu huluane da ilia hou nabi dagoi.
5 Bwana akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu.
Hina Gode da osobo bagade dunu ilia wadela: i hou bagade amo ba: lalu. Ilia asigi dawa: su da wadela: lesi dagoi. Ilia dogo ganodini wadela: i hou fawane dawa: lalu. Amo Gode da ba: i dagoi.
6 Bwana akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.
Hina Gode da Ea musa: hou amo E da osobo bagadega esaloma: ne dunu fi hamoi, amo E da higale ba: i. Ea dogo ganodini se bagade nabi.
7 Kwa hiyo Bwana akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”
Amaiba: le Gode da amane sia: i. “Na da dunu fi hamoi dagoi be wali Na da huluane medole legemu. Dunu huluane, ohe fi, sania fi amola sio fi huluane Na da hamoiba: le hahawane hame gala. Amaiba: le, Na da huluane fane legemu.”
8 Lakini Noa akapata kibali machoni pa Bwana.
Be Hina Gode da dunu afae amo Nowa: , hahawane ba: i. (Amabela: ? Sede egefelali - ilia da lafidili Gode dawa: i udigili sia: bela: ?)
9 Hivi ndivyo vizazi vya Noa. Noa alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu.
Nowa: ea sia: dedei da agoane. Nowa: da hou moloidafa dunu, e da wadela: i hame dawa: i. Ea fi amo ganodini, e da ida: iwane Gode amola gilisili lalu.
10 Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.
Nowa: da dunu mano udiana esalu amo Sieme, Ha: me amola Ya: ifede.
11 Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu na ukatili machoni pa Mungu.
Be osobo bagadega dunu fi huluane ilia hou da wadela: lesi dagoi. Gegene nimi dasu bagade fawane ba: i.
12 Mungu akaona jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote duniani walikuwa wameharibu njia zao.
Dunu huluane da ilia hou wadela: lesiba: le, Gode da osobo bagade gugunufinisi dagoi ba: i.
13 Kwa hiyo Mungu akamwambia Noa, “Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa dunia imejaa ukatili kwa sababu yao. Hakika mimi nitaangamiza watu pamoja na dunia.
Amaiba: le, Gode da Nowa: ma amane sia: i, “Na da dunu fi huluane ebelema: ne medole legemu. Ilia hamobeba: le, osobo bagade da nimi bagade hou amola gegesu, amoga nabai gala. Amaiba: le, na da dunu fi amola osobo bagade gilisili gugunufinisimu.
14 Kwa hiyo jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje, tengeneza vyumba ndani yake na uipake lami ndani na nje.
Amaiba: le, di dusagai bagade amo ‘saibalase’ ifa amoga hamoma. Amo ganodini sesei hamoma. Ganodini amola gadili ea gadofo amoga edele agoai legema.
15 Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300, upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini.
Dia dusagai agoane hiougima. Ea afo sedade defei da 133 mida amola ea da: iyamogoa dunumuni defei da 22 mida amola ea da: iyamogoa gado defei 13 mida.
16 Itengenezee paa na umalizie safina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja juu. Weka mlango ubavuni mwa safina, na uifanye ya ghorofa ya chini, ya kati na ya juu.
Gadodili figisu hamoma! Dusagai ea dobea fesa heda: le, figisu mae doaga: le dibi 44 sedamida agoane yolesima. Dusagai la: idi logo ga: su hamoma amola hada: i fa: i udiana agoane hamoma.
17 Nitaleta gharika ya maji juu ya nchi ili kuangamiza uhai wote chini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi ya uhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchi kitaangamia.
Na da esalebe liligi mu hagudu esala amo huluane mifo labe liligi wadela: ma: ne, hano bagade osobo bagadega iasimu. Osobo bagadega esalebe liligi huluane da bogogia: mu.
18 Lakini Mimi nitaweka Agano langu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina, wewe pamoja na mke wako, wanao na wake zao.
Be Na da dima gousa: su hamomu. Amalalu, di, dia manolali, dia uda, amola dia mano ilia uda da dusagai bagade ganodini golili sa: ima: mu.
19 Utaingiza ndani ya Safina kila aina ya kiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike, ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe.
Di esalebe liligi hisu hisu amo aduna - gawali amola aseme, amo esaloma: ne dusagai ganodini oule masa.
20 Wawili wa kila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama na wa kila aina ya kitambaacho ardhini watakuja kwako ili wahifadhiwe hai.
Sio fi hisu hisu aduna aduna, ohe fi huluane aduna aduna, amola fi huluane da osoboga sugi ahoabe, amo huluane da aduna aduna di ouligima: ne, dima doaga: mu.
21 Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”
Ha: i manu liligi huluane amola, di amola osobo bagade ohe fi huluane moma: ne, amo gilisima.
22 Noa akafanya kila kitu kama vile Mungu alivyomwamuru.
Nowa: da Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, huluane hamoi dagoi.

< Mwanzo 6 >

The World is Destroyed by Water
The World is Destroyed by Water