< Mwanzo 5 >
1 Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
Inilah daftar keturunan Adam: Pada waktu Allah menciptakan manusia, Allah membuat mereka mencerminkan sifat-sifat-Nya.
2 Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
Allah menciptakan mereka sebagai laki-laki dan perempuan, memberkati mereka, dan menyebut mereka ‘manusia’.
3 Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
Adam berumur 130 tahun ketika anak laki-lakinya yang ketiga lahir. Adam menamai anaknya itu Set. Dia mencerminkan sifat-sifat Adam.
4 Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Set lahir, Adam masih hidup selama 800 tahun. Sepanjang hidupnya, Adam mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
5 Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
Umur Adam mencapai 930 tahun, dan dia pun mati.
6 Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Set berumur 105 tahun ketika anaknya yang bernama Enos lahir.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Enos lahir, Set masih hidup selama 807 tahun. Sepanjang hidupnya, Set mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
8 Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
Umur Set mencapai 912 tahun, dan dia pun mati.
9 Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Enos berumur 90 tahun ketika anaknya yang bernama Kenan lahir.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Kenan lahir, Enos masih hidup selama 815 tahun. Sepanjang hidupnya, Enos mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
11 Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
Umur Enos mencapai 905 tahun, dan dia pun mati.
12 Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Kenan berumur 70 tahun ketika anaknya yang bernama Mahalalel lahir.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Mahalalel lahir, Kenan masih hidup selama 840 tahun lagi. Sepanjang hidupnya, Kenan mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
14 Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
Umur Kenan mencapai 910 tahun, dan dia pun mati.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Mahalalel berumur 65 tahun ketika anaknya yang bernama Yared lahir.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Yared lahir, Mahalalel masih hidup selama 830 tahun. Sepanjang hidupnya, Mahalalel mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
Umur Mahalalel mencapai 895 tahun, dan dia pun mati.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
Yared berumur 162 tahun ketika anaknya yang bernama Henok lahir.
19 Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Henok lahir, Yared masih hidup selama 800 tahun. Sepanjang hidupnya, Yared mempunyai beberapa anak laki-laki dan perempuan lainnya.
20 Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
Umur Yared mencapai 962 tahun, dan dia pun mati.
21 Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Henok berumur 65 tahun ketika anaknya yang bernama Metusalah lahir.
22 Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Metusalah lahir, Henok hidup bersekutu erat dengan Allah selama 300 tahun. Sepanjang hidupnya, Henok mempunyai beberapa anak laki-laki dan perempuan lainnya.
23 Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
Jadi Henok hidup selama 365 tahun.
24 Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Henok hidup bersekutu erat dengan Allah. Pada suatu hari, dia tidak ada lagi di bumi karena Allah membawanya ke surga.
25 Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
Metusalah berumur 187 tahun ketika anaknya yang bernama Lamek lahir.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Lamek lahir, Metusalah masih hidup selama 782 tahun. Sepanjang hidupnya, Metusalah mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
27 Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
Umur Metusalah mencapai 969 tahun, dan dia pun mati.
28 Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Lamek berumur 182 tahun ketika anaknya, Nuh, dilahirkan. Lamek berkata, “Anak ini akan membawa kelegaan atas semua usaha dan susah payah kita untuk menghasilkan makanan dari tanah yang sudah dikutuk TUHAN.” Maka dia menamai anak itu Nuh.
29 Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
30 Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Sesudah Nuh lahir, Lamek masih hidup selama 595 tahun. Sepanjang hidupnya, Lamek mempunyai beberapa anak laki-laki dan anak perempuan lainnya.
31 Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
Umur Lamek mencapai 777 tahun, dan dia pun mati.
32 Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
Sejak Nuh berumur 500 tahun, dia mempunyai tiga anak laki-laki, yaitu Sem, Yafet, dan Ham.