< Mwanzo 5 >
1 Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
Dies ist das Buch von Adams Geschlecht: Am Tage, da Gott den Menschen schuf, machte er ihn Gott ähnlich;
2 Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
männlich und weiblich schuf er sie und segnete sie und nannte ihren Namen Adam, am Tage, da er sie schuf.
3 Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
Und Adam war 130 Jahre alt, als er einen Sohn zeugte, ihm selbst gleich, nach seinem Bilde, und nannte ihn Seth.
4 Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Und nachdem er den Seth gezeugt, lebte Adam noch 800 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
5 Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
also daß Adams ganzes Alter 930 Jahre betrug, als er starb.
6 Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Seth war 105 Jahre alt, als er den Enosch zeugte;
7 Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Seth, nachdem er den Enosch gezeugt, lebte 807 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
8 Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
also daß Seths ganzes Alter 912 Jahre betrug, als er starb.
9 Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Enosch war 90 Jahre alt, als er den Kenan zeugte;
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Enosch, nachdem er den Kenan gezeugt, lebte 815 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
11 Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
also daß Enoschs ganzes Alter 905 Jahre betrug, als er starb.
12 Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Kenan war 70 Jahre alt, als er den Mahalaleel zeugte;
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Kenan, nachdem er den Mahalaleel gezeugt, lebte 840 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
14 Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
also daß Kenans ganzes Alter 910 Jahre betrug, da er starb.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Mahalaleel war 65 Jahre alt, als er den Jared zeugte;
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Mahalaleel, nachdem er den Jared gezeugt, lebte 830 Jahre und hat Söhne und Töchter gezeugt;
17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
also daß Mahalaleels ganzes Alter 895 Jahre betrug, als er starb.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
Jared war 162 Jahre alt, als er den Henoch zeugte;
19 Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Jared, nachdem er den Henoch gezeugt, lebte 800 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
20 Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
also daß Jareds ganzes Alter 962 Jahre betrug, da er starb.
21 Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Henoch war 65 Jahre alt, als er den Methusalah zeugte;
22 Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Henoch, nachdem er den Methusalah gezeugt, wandelte er mit Gott 300 Jahre lang und zeugte Söhne und Töchter;
23 Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
also daß Henochs ganzes Alter 365 Jahre betrug.
24 Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Und Henoch wandelte mit Gott und war nicht mehr, weil Gott ihn zu sich genommen hatte.
25 Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
Methusalah war 187 Jahre alt, als er den Lamech zeugte;
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
und Methusalah, nachdem er den Lamech gezeugt, lebte 782 Jahre und zeugte Söhne und Töchter;
27 Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
also daß Methusalahs ganzes Alter 969 Jahre betrug, da er starb.
28 Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Lamech war 182 Jahre alt, als er einen Sohn zeugte;
29 Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
den nannte er Noah, indem er sprach: Der wird uns trösten ob unserer Hände Arbeit und Mühe, die herrührt von dem Erdboden, den der HERR verflucht hat!
30 Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Und Lamech, nachdem er den Noah gezeugt, lebte 590 Jahre lang und zeugte Söhne und Töchter;
31 Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
also daß Lamechs ganzes Alter 772 Jahre betrug, da er starb.
32 Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
Und Noah war 500 Jahre alt, da er den Sem, Ham und Japhet zeugte.