< Mwanzo 5 >
1 Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
Adam catounnaw cauk teh a rahim lae patetlah doeh. Cathut ni tami a sak navah amae meikalat lah a sak.
2 Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
Tongpa hoi napui a sak teh yawhawinae a poe. A sak hnin ahnimouh roi teh tami telah min a phung.
3 Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
Adam teh kum 130 touh a pha navah, ama hoi kâlat e ama hoi mei kâvan e ca tongpa a khe teh Seth telah min a phung.
4 Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Seth a khe hnukkhu, Adam teh kum 800 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw hai bout a khe.
5 Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
Adam teh kum 930 touh akuep navah a due.
6 Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Seth teh kum 105 touh a pha navah Enosh a khe.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Enosh a khe hnukkhu Seth teh kum 807 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
8 Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
Seth teh a kum 912 touh akuep navah a due.
9 Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Enosh teh kum 90 touh a pha navah Kenan a khe.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Kenan a khe hnukkhu, Enosh teh kum 815 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw khe.
11 Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
Enosh teh kum 905 touh a hring teh a due.
12 Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Kenan teh kum 70 touh a pha navah Mahalalel a khe.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Mahalalel a khe hnukkhu, Kenan teh kum 840 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
14 Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
Kenan teh kum 910 touh a hring teh a due.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Mahalalel teh kum 65 touh a pha navah Jared a khe.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Jared a khe hnukkhu, Mahalalel teh kum 830 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
Mahalalel teh kum 895 touh a hring teh a due.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
Jared teh kum 162 touh a pha navah Enok a khe.
19 Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Enok a khe hnukkhu Jared teh kum 800 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
20 Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
Jared teh kum 962 touh a hring teh a due.
21 Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Enok teh kum 65 touh a pha navah Methuselah a khe.
22 Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Methuselah a khe hnukkhu Enok teh kum 300 touh thung Cathut hoi rei a ceio teh, ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
23 Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
Enok teh kum 365 touh a hring.
24 Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Enok teh Cathut hoi cungtalah a ceio teh bout awmhoeh toe. Bangkongtetpawiteh, Cathut ni a la toe.
25 Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
Methuselah teh kum 187 touh a pha nah Lamek a khe.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Lamek a khe hnukkhu Methuselah teh kum 782 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
27 Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
Methuselah teh kum 969 touh a hring teh a due.
28 Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Lamek teh kum 182 touh a pha navah ca tongpa a khe.
29 Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
BAWIPA ni thoebonae talai dawk kut hoi thaw tawk awh teh, patang khangnae dawk hoi lung na pahawi han ati teh, Noah telah min a phung.
30 Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Noah a khe hnukkhu Lamek teh kum 595 touh a hring teh ca tongpanaw hoi napuinaw bout a khe.
31 Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
Lamek teh kum 777 touh a hring teh a due.
32 Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
Noah teh kum 500 touh a pha nah Shem, Ham hoi Japheth a khe.