< Mwanzo 46 >

1 Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.
Tada poðe Izrailj sa svijem što imaše, i došav u Virsaveju prinese žrtvu Bogu oca svojega Isaka.
2 Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!” Akajibu, “Mimi hapa.”
I Bog reèe Izrailju noæu u utvari: Jakove! Jakove! A on odgovori: evo me.
3 Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.
I Bog mu reèe: ja sam Bog, Bog oca tvojega; ne boj se otiæi u Misir; jer æu ondje naèiniti od tebe narod velik.
4 Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”
Ja æu iæi s tobom u Misir, i ja æu te odvesti onamo, i Josif æe metnuti ruku svoju na oèi tvoje.
5 Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha.
I poðe Jakov od Virsaveje; i sinovi Izrailjevi posadiše Jakova oca svojega i djecu svoju i žene svoje na kola koja posla Faraon po nj.
6 Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri.
I uzeše stoku svoju i blago svoje što bijahu stekli u zemlji Hananskoj; i doðoše u Misir Jakov i sva porodica njegova.
7 Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.
Sinove svoje i sinove sinova svojih, kæeri svoje i kæeri sinova svojih, i svu porodicu svoju dovede sa sobom u Misir.
8 Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.
A ovo su imena djece Izrailjeve što doðoše u Misir: Jakov i sinovi njegovi. Prvenac Jakovljev Ruvim;
9 Wana wa Reubeni ni: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
I sinovi Ruvimovi: Enoh, Faluj, Esron i Harmija.
10 Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.
A sinovi Simeunovi: Jemuilo, Jamin, Aod, Jahin, Soar i Saul, sin jedne Hananejke.
11 Wana wa Lawi ni: Gershoni, Kohathi na Merari.
Sinovi Levijevi: Girson, Kat i Merarije.
12 Wana wa Yuda ni: Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani). Wana wa Peresi ni: Hesroni na Hamuli.
Sinovi Judini: Ir, Avnan, Silom, Fares i Zara; a umrli bjehu Ir i Avnan u zemlji Hananskoj, ali bijahu sinovi Faresovi Esrom i Jemuilo.
13 Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.
Sinovi Isaharovi: Tola, Fuva, Jov i Simron.
14 Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni na Yaleeli.
Sinovi Zavulonovi: Sered, Alon, i Ahojilo.
15 Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
To su sinovi Lijini, koje rodi Jakovu u Padan-Aramu, i jošte Dina kæi njegova. Svega duša, sinova njegovijeh i kæeri njegovijeh bješe trideset i tri.
16 Wana wa Gadi ni: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.
Sinovi Gadovi: Sifon, Agije, Sunije, Esvon, Irije, Arodije i Arilije.
17 Wana wa Asheri ni: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera. Wana wa Beria ni: Heberi na Malkieli.
Sinovi Asirovi: Jemna, Jesva, Jesvija i Verija, i sestra njihova Sara. A sinovi Verijini Hovor i Melhilo.
18 Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.
To su sinovi Zelfe, koju dade Lavan Liji kæeri svojoj, i ona ih rodi Jakovu, šesnaest duša.
19 Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yosefu na Benyamini.
A sinovi Rahilje žene Jakovljeve: Josif i Venijamin.
20 Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.
A Josifu se rodiše u Misiru od Asenete kæeri Potifere sveštenika Onskoga: Manasija i Jefrem.
21 Wana wa Benyamini ni: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.
A sinovi Venijaminovi: Vela, Veher, Asvil, Gira, Naman, Ihije, Ros, Mupim, Upim i Arad.
22 Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.
To su sinovi Rahiljini što se rodiše Jakovu, svega èetrnaest duša.
23 Mwana wa Dani ni: Hushimu.
I sin Danov: Asom.
24 Wana wa Naftali ni: Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.
A sinovi Neftalimovi: Asilo, Gunije, Jeser i Silim.
25 Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.
To su sinovi Vale, koju dade Lavan Rahilji kæeri svojoj i ona ih rodi Jakovu; svega sedam duša.
26 Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita.
A svega duša što doðoše s Jakovom u Misir a izaðoše od bedara njegovijeh, osim žena sinova Jakovljevijeh, svega duša bješe šezdeset i šest.
27 Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.
I dva sina Josifova koji mu se rodiše u Misiru; svega dakle duša doma Jakovljeva, što doðoše u Misir, bješe sedamdeset.
28 Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni,
A Judu posla Jakov naprijed k Josifu, da mu javi da izaðe preda nj u Gesem. I doðoše u zemlju Gesemsku.
29 gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.
A Josif upreže u kola svoja, i izaðe na susret Izrailju ocu svojemu u Gesem; i kad ga vidje Jakov, pade mu oko vrata, i plaka dugo o vratu njegovu.
30 Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”
I reèe Izrailj Josifu: sada ne marim umrijeti kad sam te vidio da si jošte živ.
31 Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu.
A Josif reèe braæi svojoj i domu oca svojega: idem da javim Faraonu; ali æu mu kazati: braæa moja i dom oca mojega iz zemlje Hananske doðoše k meni;
32 Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’
A ti su ljudi pastiri i svagda su se bavili oko stoke, i dovedoše ovce svoje i goveda svoja i što god imaju.
33 Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
A kad vas Faraon dozove, reæi æe vam: kakvu radnju radite?
34 Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”
A vi kažite: pastiri su bile sluge tvoje od mladosti, i mi i stari naši; da biste ostali u zemlji Gesemskoj; jer su Misircima svi pastiri neèisti.

< Mwanzo 46 >