< Mwanzo 45 >

1 Hapo Yosefu hakuweza kujizuia zaidi mbele ya wote waliokuwa wamesimama karibu naye, akapaza sauti, akasema, “Mwondoeni kila mtu mbele yangu!” Kwa hiyo hapakuwepo mtu yeyote pamoja na Yosefu alipojitambulisha kwa ndugu zake.
Joseph teh a teng kaawm e pueng hmalah kâsum thai hoeh toung dawkvah, tami pueng kai koehoi koung tâcawt awh, telah a hram. Hottelah Joseph ni a hmaunawnghanaw koe a kâpanuesak nah yunglam apihai ahni teng kangdout awh hoeh.
2 Naye akalia kwa sauti kubwa kiasi kwamba Wamisri walimsikia, hata watu wa nyumbani mwa Farao wakapata hizo habari.
Kacaipounglah a ka teh, Izipnaw ni a thai awh, Faro imthungkhu ni hai a thai awh.
3 Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ni Yosefu! Je, baba yangu angali hai bado?” Lakini ndugu zake hawakuweza kumjibu, kwa sababu walipatwa na hofu kuu mbele yake.
Joseph ni a hmaunawnghanaw koe kai teh Joseph doeh, apa atu sittouh a hring rah maw, telah ati. Hatei pato thai laipalah a hmaunaw roumkalue awh teh a hmalah sut a kangdue awh.
4 Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Sogeeni karibu nami.” Waliposogea, akasema, “Mimi ni ndugu yenu Yosefu, yule ambaye mlimuuza Misri!
Joseph ni a hmaunawnghanaw koe, pahren lahoi na hnai awh haw, telah ati. Hateh a hnai awh. Ahni ni na hmaunawngha Joseph, Izip ram vah na yo awh e hah ma.
5 Sasa, msihuzunike wala msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa sababu ilikuwa ni ili kuokoa maisha ya watu ndiyo sababu Mungu alinituma niwatangulie ninyi.
Hatei, hivah cei hanelah na yo awh dawkvah, na lungmathout hanh awh, namamouh hoi namamouh hai kâhmuhma hanh awh, bangkongtetpawiteh, hringnae rungngang hanelah Cathut ni nangmouh hmalah na patoun e doeh.
6 Kwa miaka miwili sasa imekuwepo njaa katika nchi, pia kwa miaka mitano ijayo hapatakuwepo kulima wala kuvuna.
Bangkongtetpawiteh, kum hni touh thung hete ram dawk takang a tho. Kum panga touh a ngai rah. Hat nah thung pueng teh laikawk kanawk awm mahoeh. Canga e hai awm mahoeh.
7 Lakini Mungu alinitanguliza mbele yenu ili kuhifadhi mabaki kwa ajili yenu katika nchi, na kuokoa maisha yenu kwa wokovu mkuu.
Hottelah talai van catoun ka tawn hanelah karingkung hoi rungngangnae kalen hoi na hringsakthai awh nahanlah, Cathut ni ahmaloe hoi nangmouh hmalah na patoun toe.
8 “Kwa hiyo basi, si ninyi mlionileta huku, bali ni Mungu. Alinifanya kuwa baba kwa Farao, bwana wa watu wa nyumbani mwake wote, na mtawala wa Misri yote.
Hottelah hie hmuen koe na kacetsakkung hah nangmouh laipalah Cathut doeh. Ahni ni Faro hanelah na pa lah, imthungkhu kahrawikung, hoi Izip ram pueng kaukkung lah na coung sak.
9 Sasa rudini haraka kwa baba yangu na mwambieni, ‘Hili ndilo mwanao Yosefu asemalo: Mungu amenifanya mimi kuwa bwana wa Misri yote. Shuka uje kwangu, wala usikawie.
Karanglah apa koe cet awh nateh, ahni koe na capa Joseph ni hettelah a dei, Cathut ni Izip ram pueng dawk bawi lah na sak, kai koe tho awh, uet awh hanh leih.
10 Nawe utaishi katika nchi ya Gosheni na kuwa karibu nami, wewe, watoto wako na wajukuu wako, makundi yako ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, pamoja na vyote ulivyo navyo.
Goshen ram vah na o han. Nang nama hoi, na capanaw hoi na mincanaw hoi, na tuhunaw, na maitohu hoi na tawn e puenghoi kai koe roeroe vah na o han.
11 Nitawatunza huko, kwa sababu bado iko miaka mingine mitano inayokuja ya njaa. La sivyo, wewe na nyumba yako na wote ulio nao mtakuwa fukara.’
Hawvah kai ni na kawk han. Bangkongtetpawiteh hawvah takang kum panga touh ao han rah. Hatdawkvah, na roedeng payon vaih nang hoi na imthung hoi na tawn e pueng hoi telah na ti pouh awh han.
12 “Mnaweza kujionea wenyewe, hata ndugu yangu Benyamini, kwamba hakika ni mimi ninayezungumza nanyi.
Hahoi khenhaw! nangmae mit roeroe hoi ka nawngha Benjamin e mit roeroe ni kaie ka pahni ni a dei lahun e hah na hmu awh.
13 Mwambieni baba yangu juu ya heshima yote niliyopewa huku Misri, na kuhusu kila kitu mlichokiona. Mleteni baba yangu huku haraka.”
Izip ram e ka bawilennae pueng hoi na hmu awh e hno pueng hah apa koe na dei awh vaiteh, apa teh karang poung lah na thokhai awh han, telah ati.
14 Ndipo akamkumbatia Benyamini ndugu yake na kulia, naye Benyamini akamkumbatia akilia.
Hahoi a lungtabue hoi Benjamin lungtabue rekkâbet lah a tapam teh a ka. Benjamin ni hai a tapam teh a ka.
15 Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye.
A hmaunawngha pueng a paco hnukkhu, a hmaunawnghanaw ni lawk a dei awh.
16 Habari zilipofika kwenye jumba la Farao kwamba ndugu zake Yosefu wamefika, Farao na maafisa wake wote wakafurahi.
Joseph e hmaunawnghanaw a tho awh tie kamthang teh Faro im vah a thai awh teh, hote kamthang ni Faro hoi a sannaw a lunghawi sak.
17 Farao akamwambia Yosefu, “Waambie ndugu zako, ‘Fanyeni hivi: Pakieni wanyama wenu mrudi mpaka nchi ya Kanaani,
Faro ni Joseph koe, na hmaunawnghanaw koe, hettelah dei pouh, na saringnaw teh cakang phu sak hoi tâcawt awh nateh, Kanaan ram vah cet awh.
18 mkamlete baba yenu na jamaa zenu kwangu. Nitawapa sehemu nzuri sana ya nchi ya Misri nanyi mtafurahia unono wa nchi.’
Hahoi na pa hoi a imthung hah kaimouh koe thokhai awh. Izip ram e hnokahawi na poe awh vaiteh, hete ram dawk kaawm e hnokahawipoung hah na ca awh han telah dei pouh awh.
19 “Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri, kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Kâ na poe, hettelah dei pouh. Na canaw hoi na canunaw hane hoi na yunaw hanelah Izip ram hoi lengnaw sin awh nateh, na pa hah thokhai awh.
20 Msijali kamwe kuhusu mali zenu, kwa sababu mema yote ya Misri yatakuwa yenu.’”
Na hnopai kong dawk lungpuen hanh awh. Bangkongtetpawiteh, Izip ram e hnokahawi pueng teh nangmae doeh, telah ati.
21 Hivyo wana wa Israeli wakafanya hivyo. Yosefu akawapa magari ya kukokotwa, kama Farao alivyoagiza, pia akawapa mahitaji kwa ajili ya safari yao.
Hahoi teh, Isarel canaw ni hottelah a sak awh. Joseph ni Faro kâpoe e patetlah leng hah ahnimouh koe a poe. Lam vah a ca awh hane hai a poe.
22 Kila mmoja mavazi mapya, lakini Benyamini akampa shekeli 300 za fedha, na jozi tano za nguo.
Ahnimouh abuemlah koe khohna kâthung hanelah a poe. Benjamin koe teh tangka cumthum touh hoi khohna kâthung hane panga touh a poe.
23 Hivi ndivyo vitu alivyotuma kwa baba yake: punda kumi waliochukua vitu vizuri vya Misri, punda wake kumi waliobeba nafaka, mikate na mahitaji mengine ya safari.
Hahoi a na pa koevah, la hra touh, Izip ram hnokahawi kapawtkung hoi lamanu hra touh, lam vah a na pa hane cakang hoi vaiyei hoi canei han kaphawtkung lah a patoun.
24 Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”
Hottelah a hmaunawnghanaw hah a patoun teh a ceisak. Ahni ni lam vah na kâyue awh hoeh nahanlah kâhruetcuet awh telah ati.
25 Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.
Izip hoi a tâco awh teh a na pa Jakop koe a pha awh.
26 Wakamwambia baba yao, “Yosefu angali hai! Ukweli ni kwamba yeye ndiye mtawala wa Misri yote.” Yakobo akapigwa na bumbuazi; hakuwasadiki.
Hatei, Joseph a hring rah Izip ram pueng ukkung lah ao telah a dei pouh awh. Jakop a lungmit teh, ahnimouh ni dei e tang thai hoeh.
27 Lakini walipokwisha kumweleza kila kitu ambacho Yosefu alikuwa amewaambia, na alipoona magari ya kukokotwa Yosefu aliyokuwa amempelekea ya kumchukua aende Misri, roho ya baba yao Yakobo ikahuishwa.
Hatei, ahni koe Joseph ni lawk dei e pueng hah a dei pouh awh. Hahoi a kâcui hane leng Joseph ni a patawn e hah a hmu toteh, a na pa Jakop e lungthin bout a kâhlaw.
28 Ndipo Israeli akasema, “Nimesadiki! Mwanangu Yosefu bado yu hai. Nitakwenda nikamwone kabla sijafa.”
Isarel ni a khout toe, ka capa Joseph teh a hring doeh rah, ka cei vaiteh, ka due hoehnahlan ka hmu han telah ati.

< Mwanzo 45 >