< Mwanzo 44 >

1 Kisha Yosefu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: “Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.
Ahnimouh ni imkaringkung koevah, ahnimouh ni aphu thai yit touh, cawngko pakawi pouh nateh, amamae tangka rip hah amamae cawngko som koe lengkaleng tat pouh.
2 Kisha weka kikombe changu kile cha fedha kwenye mdomo wa gunia la yule mdogo wa wote pamoja na fedha zake ambazo angenunulia nafaka yake.” Naye akafanya kama Yosefu alivyosema.
Hahoi kaie manang, ngun manang hah a cahnoung e cawngko som dawkvah cakang phu tangka hoi na ta pouh han, telah kâ a poe.
3 Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwa kuondoka pamoja na punda zao.
Khodai tahma vah ahnimouh teh amamae lanaw hoi a kamthaw awh.
4 Kabla hawajafika mbali kutoka mjini, Yosefu akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale watu mara moja, utakapowakuta, waambie, ‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya?
Kho thung hoi a kamthaw awh teh ahlapoungnae koe a pha awh hoehnahlan, Joseph ni imkaringkung koe thaw nateh ahnimanaw hah pâlei haw. Hahoi na pha toteh ahnimouh koe, bangkongmaw hawinae hah hawihoehnae hoi na patho awh.
5 Je, kikombe hiki sicho anachonywea bwana wangu na pia hukitumia kwa kutabiri mambo yajayo? Hili ni jambo ovu mlilolitenda.’”
Hot hah, kaie bawipa e misur neinae hoi hma lae ka tho hane kong a panuenae nahoehmaw. Het patet lae na o awh e heh puenghoi na payon awh, na ti pouh han.
6 Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao.
Hahoi, rek a pha toteh hottelah a dei pouh.
7 Lakini wakamwambia mtumishi, “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya jambo kama hilo!
Ahnimouh ni ahni koe, bawipa, bangkongmaw het patet lae lawk na dei, na sannaw ni hot patet e hno ka sak awh hoeh.
8 Hata hivyo tulikurudishia zile fedha kutoka nchi ya Kanaani ambazo tulizikuta kwenye midomo ya magunia yetu. Hivyo kwa nini tuibe fedha au dhahabu kutoka nyumbani kwa bwana wako?
Khenhaw! kaimae cawngko som dawk ka hmu awh e tangka hoi Kanaan kho hoi nang koe bout ka thokhai awh nahoehmaw. Bangtelamaw na bawipa im e tangka hoi sui teh ka paru thai awh han namaw.
9 Ikiwa yeyote miongoni mwa watumishi wako atapatikana nacho, auawe, na sisi wengine tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”
Na sannaw thung dawk hote hno na hmunae pueng dout seh. Kaimouh hai bawipa e san lah ka o awh yawkaw han, ati awh.
10 Akajibu, “Vema sana; na iwe kama msemavyo. Yeyote atakayekutwa nacho atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine mtakuwa hamna lawama.”
Ahni ni bokheiyah, atu hai nangmae lawk patetlah lawiseh, hno ka hmunae tami hah ka san lah ao vaiteh, nangmouh teh toun kaawm hoeh lah na o awh han telah ati.
11 Kila mmoja wao akafanya haraka kushusha gunia lake chini na kulifungua.
Hat nah tahma vah amamae cawngko lengkaleng a patue awh teh lengkaleng a paawng awh.
12 Ndipo msimamizi akaendelea kutafuta, akianzia kwa mkubwa wa wote na akaishia kwa mdogo wa wote. Basi kikombe kikapatikana katika gunia la Benyamini.
Ahni ni kacuepoung koehoi kanawpoung totouh a tawng pouh. Hattoteh Benjamin e cawngko dawk manang teh a hmu.
13 Kwa jambo hili, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda zao na kurudi mjini.
Hat nah tahma vah a khohna a phi awh, lanaw a phu sak awh teh kho dawk a ban awh.
14 Yosefu alikuwa bado yuko nyumbani mwake wakati Yuda na kaka zake walipoingia, wote wakajitupa chini mbele yake.
Judah hoi a hmaunawnghanaw teh Joseph im a pha awh, ama teh haw vah a la o rah. Hahoi a hmalah a tabo awh.
15 Yosefu akawaambia, “Ni jambo gani hili mlilolifanya? Hamjui kuwa mtu kama mimi anaweza kufahamu mambo kwa njia ya kutabiri?”
Hahoi Joseph ni bangmaw na sak awh. Kai patetlae tami ni hmalah ka tho hane hno a panue han tie na panuek awh hoeh maw, telah ati.
16 Yuda akajibu, “Tutaweza kusema nini kwa bwana wangu? Tutaweza kuzungumza nini? Tutawezaje kuthibitisha kwamba hatuna hatia? Mungu amefunua hatia ya watumishi wako. Sasa sisi tu watumwa wa bwana wangu, sisi wenyewe pamoja na yule aliyepatikana na kikombe.”
Judah ni ka bawipa nang koe bangvai ka dei awh toung. Bangmaw ka pâpha thai awh han. Cathut ni na sannaw yonnae teh a hmu toe. Khenhaw! ka bawipa kaimouh hoi ahnie kut dawk manang a hmu e hoi na san lah doeh ka o awh toe telah ati.
17 Lakini Yosefu alisema, “Liwe mbali nami kufanya jambo kama hili! Mtu yule tu aliyekutwa na kikombe ndiye atakayekuwa mtumwa wangu. Ninyi wengine, rudini kwa baba yenu kwa amani.”
Hatei ahni ni, hottelah khoeroe ka sak mahoeh, a kut dawk manang a hmunae dueng doeh ka san lah ao vaiteh nangmouh teh na pa koe karoumcalah cet awh, telah ati.
18 Ndipo Yuda akamwendea na kumwambia: “Tafadhali bwana wangu, mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa bwana wangu. Usimkasirikie mtumishi wako, ingawa wewe ni sawa na Farao mwenyewe.
Hat nah tahma vah, Judah ni Joseph hah a hnai teh, Oe ka bawipa, pahren lahoi na san heh, ka bawipa na san heh na hnâthainae koe lawk kam touh na dei sak haw. Na lungkhueknae hah na san koe kaman sak hanh. Bangtelah tetpawiteh, nang teh Faro patetlah doeh na o.
19 Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’
Ka bawipa nang ni, na pa nakunghai, hmaunawngha nakunghai na tawn maw telah na sannaw hah na pacei.
20 Nasi tukakujibu, ‘Tunaye baba yetu ambaye ni mzee; pia yupo mwanawe mdogo aliyezaliwa katika uzee wake. Ndugu yake amekufa, na huyu mdogo ndiye mwana pekee kwa mama yake aliyebaki, naye baba yake anampenda.’
Kaimouh ni nang koe ka matawngpoung e na pa ka tawn awh. Matawng sawi a sak e camoca ka tawn awh teh buet touh teh a due toe, a manu ni a khe e dawk ahni dueng ao teh a na pa ni a pahren poung, ka ti awh.
21 “Ndipo ulipowaambia watumishi wako, ‘Mleteni kwangu ili niweze kumwona kwa macho yangu mwenyewe.’
Nang ni, ahni ka hmu thai nahanlah kai koe thokhai awh ati.
22 Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’
Ka bawipa kaimouh ni tongpaca ni a na pa cettakhai thai mahoeh, bangkongtetpawiteh, a na pa cettakhai pawiteh a na pa a due han doeh ka ti awh.
23 Lakini ukawaambia watumishi wako, ‘Ndugu yenu mdogo asiposhuka pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.’
Hatei, nang ni na nawngha cahnoung nangmouh koe tho van hoehpawiteh, ka mei na hmawt awh mahoeh toe, ati.
24 Tuliporudi nyumbani kwa mtumwa wako baba yangu, tulimwambia lile bwana wangu alilokuwa amesema.
Hahoi, na sannaw apa koe ka pha awh toteh, ka bawipa, bawipa nange lawk hah ka dei pouh awh.
25 “Ndipo baba yetu aliposema, ‘Rudini Misri mkanunue chakula kingine.’
Apa ni bout cet awh nateh, mamouh hanelah cakang youn touh bout ran awh, ati.
26 Lakini tukamwambia, ‘Hatuwezi kushuka Misri mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi ndipo tutakapokwenda. Hatutaweza kuuona uso wa yule mtu mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi.’
Hatei kaimouh ni ka cet thai awh mahoeh, nawngha cahnoung kaimouh koe tho van pawiteh dueng doeh ka cei awh han. Bangkongtetpawiteh, nawngha cahnoung kaimouh koe tho van hoehpawiteh ahnie mei ka hmawt thai awh mahoeh toe, telah ka ti pouh awh.
27 “Mtumwa wako baba yangu alituambia, ‘Mnajua mke wangu alinizalia wana wawili.
Na san kaimae na pa ni, ka yu ni capa kahni touh na khe pouh tie na panue awh.
28 Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakika ameraruliwa vipande vipande.” Nami sijamwona tangu wakati huo.
Buet touh teh kai koehoi a tâco teh koung paset e lah ao mue toe, hahoi teh ahni ka hmawt boihoeh toe.
29 Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol h7585)
Hahoi hete camo heh kai koe hoi na ceikhai teh, runae kâhmo pawiteh, ka sampo hah lungmathoenae lahoi phuen dawk na loum sak awh toe, telah ati. (Sheol h7585)
30 “Hivyo sasa, kama kijana hatakuwa pamoja nasi nitakaporudi kwa mtumishi wako baba yangu, na kama baba yangu, ambaye maisha yake yamefungamanishwa na uhai wa kijana huyu,
Hatdawkvah, tongpaca heh kaimouh koe tho van laipalah na san apa koe ka tho pawiteh, a hringnae hoi tongpaca e hringnae mekkawme lah ao dawkvah,
31 akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
tongpaca tho van hoeh tie hah a panue tahma kadout han doeh. Hattoteh na sannaw ni na san apa e sampo hah lungmathoenae hoi phuen koe ka loum sak yawkaw han doeh. (Sheol h7585)
32 Mtumwa wako alimhakikishia baba yangu usalama wa kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, baba yangu, maisha yangu yote!’
Bangtelah tetpawiteh, na san ni nang koe ka thokhai hoehpawiteh, a yungyoe na hmalah yonpen e lah ka o han telah apa koe tongpaca kong dawk thoe yo ka bo toe.
33 “Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishi abaki hapa kama mtumwa wa bwana wangu badala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi na ndugu zake.
Pahren lahoi na san hah tongpaca yueng lah ka bawipa, na san lah na awm sak nateh, tongpaca heh a hmaunaw hoi ban sak leih.
34 Ninawezaje kurudi kwa baba yangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? La hasha! Usiniache nikaone huzuni ile itakayompata baba yangu.”
Bangkongtetpawiteh, kai koe tongpaca tho van hoehpawiteh bangtelamaw apa koe ka cei thai awh han vaw. Telah hoehpawiteh, apa koe ka phat hane thoenae teh ka hmu payon awh han doeh, telah ati.

< Mwanzo 44 >