< Mwanzo 40 >

1 Baada ya muda, mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.
Hathnukkhu hoi teh, Izip siangpahrang misur kapoekung hoi vaiyei kasakkung roi teh Izip siangpahrang koe lungyouk hoeh e lah ao roi.
2 Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,
Hatdawkvah, Faro teh a sannaw kahrawikung kacue kahni touh, misur kapoekung kacue hoi vaiyei kasakkungnaw dawk kacuepoung koe a lungphuen.
3 akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yosefu.
Hottelah ama karingkung Joseph a bonae thongim koe a pabo awh.
4 Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,
Im karingkung kacue ni ahnimouh teh Joseph kut dawk hnin moikasaw lah a poe teh thaw a tawk roi.
5 kila mmoja wa hao wawili waliokuwa wamewekwa gerezani, yaani mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, waliota ndoto usiku mmoja, na kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti.
Thongim thung katek laihoi kaawm roi e Izip siangpahrang misur kapoekung hoi vaiyei kasakkung roi teh tangmin buet touh dawk mang alouklouke reirei a sak roi.
6 Yosefu alipowajia asubuhi yake, akawaona kwamba walikuwa na huzuni.
A tangtho vah Joseph teh ahnimouh koe a kâen van teh, a kâhmo, hahoi a khet navah a minhmai a mathoe roi.
7 Ndipo Yosefu akawauliza maafisa hao wa Farao waliokuwa chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa bwana wake, akasema, “Mbona nyuso zenu zimejaa huzuni leo?”
Hottelah Faro e im karingkung bawipa im e thongim ka bawt e tami koevah, bangkongmaw sahnin na minhmai a mathoe roi telah a pacei.
8 Wakamjibu, “Sisi sote tuliota ndoto, lakini hapakuwa na mtu yeyote wa kuzifasiri.” Ndipo Yosefu akawaambia, “Je, kufasiri ndoto si kazi ya Mungu? Niambieni ndoto zenu.”
Ahnimouh roi ni mang ka sak roi, ka deicaikung apihai awm hoeh telah ati roi. Joseph ni ahni koe mang dei thainae teh Cathut e nahoehmaw. Pahren lahoi na dei pouh haw atipouh.
9 Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yosefu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Hottelah misur kapoenaw kahrawikung ni a mang teh Joseph koe a dei pouh. Ahni koe ka mang lavah khenhaw! ka hmalah misurkung a la o.
10 nao mzabibu ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipua, maua yalichanua na vishada vyake vikawa zabibu zilizoiva.
Misurkung dawkvah a cakang kathum touh ao. Ka dawn e patetlah ao teh, a peinaw hah a pei. Hote a peinaw ni ka hmin e misur paw a tâco sak.
11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nikazitwaa zabibu, nikazikamua katika kikombe cha Farao, na nikaweka kikombe mkononi mwake.”
Hahoi Faro manang hah ka kut dawk ao teh, misur paw hah ka khi. Faro e manang dawk kasu teh manang hah Faro kut dawk ka poe telah ati.
12 Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Matawi matatu ni siku tatu.
Joseph ni ahni koe hettelah han doeh. A cakang kathum touh e teh, hnin thum touh doeh.
13 Katika siku hizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuweka tena kwenye nafasi yako, nawe utaweka kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vile ulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshaji wake.
Hnin thum touh thung Faro ni na tawm takhang vaiteh, na tawk e thaw hah bout na tawk sak han. Hottelah misur kapoekung lah na o navah, ouk na poe e patetlah Faro manang hah a kut dawk bout na poe han.
14 Lakini wakati mambo yatakapokuwia mazuri, unikumbuke, unifanyie wema, useme mema juu yangu kwa Farao ili niondoke huku gerezani.
Hatei, onae hmuen kahawi dawk na pha navah, kai na pahnim hanh lah a. Pahren lahoi na pahrennae hah kai koehai kamnuek sak. Faro koe kaie konglam na dei pouh van lah a, hete im dawk hoi na tâcawt sak van loe.
15 Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvu kutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa nilipo sikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.”
Bangtelah tetpawiteh, Hebru taminaw e ram thung hoi tami ni arulahoi na paru awh e doeh. Hete ram thung dawk hoi thongim thung a thung patuen lah bo nahan hai banghai ka sak hoeh ei nan heh ma telah ati.
16 Yule mwokaji mkuu alipoona kuwa Yosefu amefasiri ikiwa na maana nzuri, akamwambia Yosefu, “Mimi pia niliota ndoto: Kichwani mwangu kulikuwepo vikapu vitatu vya mikate.
Vaiyei ka sak e ni hete deicainae hah ahawi tie a panue toteh, Joseph koevah, kai hai mang ka sak van. Khenhaw! ka lû dawk ka pangaw e takho yung thum touh ao.
17 Katika kikapu cha juu kulikuwa na aina zote za vyakula vilivyookwa kwa ajili ya Farao, lakini ndege walikuwa wakivila kutoka kwenye kikapu nilichokuwa nimebeba kichwani.”
Avanlah kabang e takho dawk, Faro hanlah kahawi e vaiyei phunkuep ao. Hahoi ka lû dawk ka thueng e takho dawk e vaiyei hah tava ni a la ca telah ati.
18 Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Vikapu vitatu ni siku tatu.
Joseph ni, takho yung thum touh teh hnin thum touh doeh,
19 Katika siku hizi tatu, Farao atakata kichwa chako na kukutundika juu ya mti. Nao ndege watakula nyama ya mwili wako.”
Hnin thum touh thung Faro ni na lû tâtueng vaiteh, thing dawk bang e lah na o han. Hahoi tavanaw ni na moi hah a ca han telah ati.
20 Mnamo siku ya tatu, ilikuwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Farao, naye akawaandalia maafisa wake wote karamu. Akawatoa gerezani mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu, akawaweka mbele ya maafisa wake:
Hahoi, apâthum hnin Faro khenae hnin a pha toteh, ahni ni a sannaw pueng hanelah buvennae pawi a sak pouh. Hahoi misur kapoekung hoi vaiyei kasakkung naw e lû teh, a tawmrasang.
21 Ndipo akamrudisha mnyweshaji mkuu kwenye nafasi yake, ili aweke kikombe mikononi mwa Farao tena,
Joseph ni ahnimouh koe a deicai pouh e patetlah misur kapoekung teh amae tawk tangcoung e misur hah bout a poe teh, Faro kut dawk manang hai bout a poe.
22 lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake.
Vaiyei kasakkung teh thing dawk a vo awh.
23 Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuu hakumkumbuka Yosefu, bali alimsahau.
Hatei, misurtui kapoenaw kahrawikung ni Joseph hah panuek laipalah yout a pahnim.

< Mwanzo 40 >