< Mwanzo 4 >

1 Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.”
O homem conhecia Eve, sua esposa. Ela concebeu, e deu à luz a Caim, e disse: “Consegui um homem com a ajuda de Javé”.
2 Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.
Novamente ela deu à luz, ao irmão de Caim, Abel. Abel era um criador de ovelhas, mas Caim era um lavrador do solo.
3 Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana.
Com o passar do tempo, Caim trouxe uma oferta a Javé a partir do fruto do solo.
4 Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,
Abel também trouxe alguns dos primogênitos de seu rebanho e de sua gordura. Javé respeitava Abel e sua oferenda,
5 lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.
mas não respeitava Caim e sua oferenda. Caim ficou muito zangado, e a expressão em seu rosto caiu.
6 Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?
Yahweh disse a Caim: “Por que você está com raiva? Por que a expressão de seu rosto caiu?
7 Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”
Se você se sair bem, ela não será levantada? Se você não se sair bem, o pecado se agacha à porta. Seu desejo é para você, mas você deve governar sobre ele”.
8 Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.
Caim disse a Abel, seu irmão: “Vamos para o campo”. Enquanto estavam no campo, Caim se levantou contra Abel, seu irmão, e o matou.
9 Kisha Bwana akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
Yahweh disse a Caim: “Onde está Abel, seu irmão?” Ele disse: “Eu não sei. Sou o guardião do meu irmão”?
10 Bwana akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.
Yahweh disse: “O que você fez? A voz do sangue de seu irmão chora para mim desde o chão.
11 Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.
Agora você está amaldiçoado por causa do chão, que abriu sua boca para receber o sangue de seu irmão de sua mão.
12 Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”
De agora em diante, quando você lavrar o chão, ele não lhe dará sua força. Você será um fugitivo e um vagabundo na terra”.
13 Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.
Caim disse a Javé: “Meu castigo é maior do que eu posso suportar”.
14 Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”
Eis que hoje você me expulsou da superfície do solo. Estarei escondido de seu rosto e serei um fugitivo e um vagabundo na terra”. Quem me encontrar, me matará”.
15 Lakini Bwana akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha Bwana akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.
Yahweh disse-lhe: “Portanto, quem matar Caim, será vingado sete vezes”. Yahweh apontou um sinal para Caim, para que quem o encontrasse não o atingisse.
16 Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.
Caim deixou a presença de Iavé e viveu na terra de Nod, a leste do Éden.
17 Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.
Caim conheceu sua esposa. Ela concebeu, e deu à luz a Enoque. Ele construiu uma cidade e deu à cidade o nome de seu filho Enoque.
18 Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.
Irad nasceu para Enoque. Irad tornou-se o pai de Mehujael. Mehujael tornou-se o pai de Methushael. Methushael se tornou o pai de Lamech.
19 Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
Lamech teve duas esposas: a primeira chamava-se Adah, e a segunda Zillah.
20 Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.
Adah deu à luz a Jabal, que era o pai daqueles que moram em barracas e têm gado.
21 Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.
O nome de seu irmão era Jubal, que era o pai de todos os que manuseiam a harpa e o cachimbo.
22 Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.
Zillah também deu à luz Tubal Cain, o falsificador de cada instrumento de corte de bronze e ferro. A irmã de Tubal Cain era Naamah.
23 Lameki akawaambia wake zake, “Ada na Sila nisikilizeni mimi; wake wa Lameki sikieni maneno yangu. Nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana mdogo kwa kuniumiza.
Lamech disse a suas esposas, “Adah e Zillah, ouçam minha voz. Vós, esposas de Lamech, escutai meu discurso, pois matei um homem por me ter ferido, um jovem por me machucar.
24 Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba, basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”
Se Cain será vingado sete vezes, verdadeiramente Lamech setenta e sete vezes”.
25 Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”
Adam conheceu sua esposa novamente. Ela deu à luz um filho e o nomeou Seth, dizendo: “pois Deus me deu outro filho ao invés de Abel, pois Caim o matou”.
26 Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi. Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.
Um filho também nasceu para Seth, e ele lhe deu o nome de Enosh. Naquela época, os homens começaram a invocar o nome de Javé.

< Mwanzo 4 >