< Mwanzo 4 >
1 Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.”
Nandrèndreke i Haova, vali’e t’i Dame, le nivesatse naho nisamake i Kàine vaho nanao ty hoe: Nahazoako lahilahy t’Iehovà.
2 Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.
Nisamake indraike re, le i Hèbele zai’e. Nimpihare añondry t’i Hèbele le nimpiava tane t’i Kàine.
3 Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana.
Ie te indraike, nibanabana ty lengom-boñe’ i taney am’ Iehovà t’i Kàine,
4 Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,
le ninday ty valohan’ ana’ o hare’eo naho ty sabora’e t’i Hèbele. Aa le nitoliha’ Iehovà t’i Hèbele naho i banabana’ey,
5 lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.
fe tsy hinao’e t’i Kàine naho i enga’ey. Niforoforo ami’ty habose’e amy zao t’i Kàine vaho nilonjom-bintañe
6 Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?
Inoñe ty iviñera’o hoe t’Iehovà amy Kàine vaho ino ty mahalonjets’ azo?
7 Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”
Tsy hiampokòfañe hao irehe naho toloñe’o ty hiti’e? Aa naho tsy soa ty anoe’o le mangonònoke anjili-dalañe ao ty hakeo milelalela te hahazo azo, f’ie feheo.
8 Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.
Nifanaontsy amy Hèbele rahalahi’e t’i Kàine, aa ie nimb’an-teteke mb’ eo, niambotraha’ i Kàine t’i Hèbele naho nañohofa’e loza.
9 Kisha Bwana akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
Aa le hoe t’Iehovà amy Kàine, Aia t’i Hèbele rahalahi’o? Tsy fantako, hoe re, mpiambeñ’ an-drahalahiko hao iraho?
10 Bwana akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.
Hoe re: Ino o nanoe’oo? Inao! mitoreo amako boak’ an-tane ao ty feon-dion-drahalahi’o;
11 Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.
le fa nafà’ i taney irehe henane zao, ie nanoka-bava handrambe an-taña’o i lion-drahalahi’oy.
12 Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”
Aa ie miava tane henane zao le tsy hafoe’e ama’o ty haozara’e; ie ho mpirererere naho mpitralantralañe an-tane atoy.
13 Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.
Hoe t’i Kàine am’ Iehovà, Tsy leoko babeñe o fandilovañe ahio;
14 Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”
anindroany irehe nanao soik’ ahy amo tarehe’ ty tane toio, naho hampietaheñe amy lahara’oy iraho, le ho mpiriorio naho mpirererere an-tane atoy, vaho songa hañoho-doza amako ze mifanojeha amako.
15 Lakini Bwana akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha Bwana akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.
Le hoe t’Iehovà ama’e, Aiy! ho valeñe im-pito ze mamono i Kàine; vaho namiloñe i Kàine t’i Andrianañahare tsy ho vonoe’ ze hifanalaka ama’e.
16 Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.
Aa le nienga boak’ añatrefa’ Iehovà t’i Kàine, noly an-tane Rererere, atiñana’ i Edene añe.
17 Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.
Nifohi’ i Kàine ty vali’e, le niareñe, nisamake i Kanòke; ie nañoren-drova vaho nitokave’e ami’ty añara’ i Kanoke ana’e.
18 Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.
Nisamake Irade t’i Kanoke; le nisamak’ i Mehojaèle t’Irade le nisamak’ i Metosaele t’i Mehojaèle vaho nisamake i Lemeke t’i Metosaele.
19 Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
Nampirafe roe t’i Lemeke; le natao ty hoe Adae ty raike naho i Zilae ty raike.
20 Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.
Nisamake Iabale t’i Adae; ie ty raem-pimoneñe an-kibohotse naho mpihare.
21 Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.
Natao Iobale ty rahalahi’e, ie ty rae’ o mpititike kararàke naho solio.
22 Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.
Nisamake i Tobale-kaine t’i Zilae, ie ty nitsene ze hene haraotse torisìke naho viñe. I Naamae ty rahavave’ i Tobale-kaine.
23 Lameki akawaambia wake zake, “Ada na Sila nisikilizeni mimi; wake wa Lameki sikieni maneno yangu. Nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana mdogo kwa kuniumiza.
Hoe t’i Lemek’ amo vali’eo: Tsanoño ty feoko ry Adae naho Zilae; Ry vali’ i Lemekeo: mitsendreña o entakoo: Vinonoko t’indaty nandratse ahy, naho ty ajalahy nandafa ahiko.
24 Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba, basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”
Aa naho i Kàine ro valeañe im-pito, Le toe impitompolo fito amby ka t’i Lemeke.
25 Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”
Nifohi’ i Dame indraike i vali’ey, le nisamak’ ana-dahy vaho natao’e Sete ty añara’e, fa hoe i rakembay: Fa nanendre anake ho ahy t’i Andrianañahare handimbe i Hèbele vinono’ i Kàine.
26 Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi. Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.
Nahatoly anake ka t’i Sete, le natao’e Enose ty añara’e. Nifototse amy zay te nikanjy ty tahina’ Iehovà ondatio. izay ty takelam-piantoño’ i Dame.