< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Esta es la historia de las generaciones de Esaú (es decir, Edom).
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Esaú tomó sus esposas de las hijas de Canaán: Ada, hija de Elón, el hitita; y Aholibama, hija de Aná, hija de Zibeón, el heveo;
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
y Basemat, hija de Ismael, hermana de Nebaiot.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada dio a luz a Esaú, Elifaz. Basemat dio a luz a Reuel.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Aholibama dio a luz a Jeús, Jalam y Coré. Estos son los hijos de Esaú, que le nacieron en la tierra de Canaán.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Esaú tomó a sus esposas, a sus hijos, a sus hijas y a todos los miembros de su familia, con su ganado, todos sus animales y todas sus posesiones, que había reunido en la tierra de Canaán, y se fue a una tierra alejada de su hermano Jacob.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Porque su riqueza era demasiado grande para que pudieran habitar juntos, y la tierra de sus viajes no podía soportarlos a causa de su ganado.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Esaú vivió en la región montañosa de Seir. Esaú es Edom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Esta es la historia de las generaciones de Esaú, padre de los edomitas, en la región montañosa de Seír:
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Estos son los nombres de los hijos de Esaú Elifaz, hijo de Ada, esposa de Esaú; y Reuel, hijo de Basemat, esposa de Esaú.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Los hijos de Elifaz fueron Temán, Omar, Zefo, Gatam y Cenaz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Timna fue concubina de Elifaz, hijo de Esaú, y dio a luz a Amalec. Estos son los descendientes de Ada, esposa de Esaú.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
Estos son los hijos de Reuel: Nahat, Zera, Sama y Miza. Estos fueron los descendientes de Basemat, esposa de Esaú.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Estos fueron los hijos de Aholibama, hija de Aná, hija de Zibeón, mujer de Esaú; ella dio a luz a Esaú: Jeús, Jalam y Coré.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Estos son los jefes de los hijos de Esaú: los hijos de Elifaz, primogénito de Esaú: el jefe Temán, el jefe Omar, el jefe Zefo, el jefe Cenaz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
el jefe Coré, el jefe Gatam, el jefe Amalec. Estos son los jefes que vinieron de Elifaz en la tierra de Edom. Estos son los hijos de Ada.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
Estos son los hijos de Reuel, hijo de Esaú: el jefe Nahat, el jefe Zerah, el jefe Shammah, el jefe Mizzah. Estos son los jefes que vinieron de Reuel en la tierra de Edom. Estos son los hijos de Basemat, mujer de Esaú.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
Estos son los hijos de Aholibama, mujer de Esaú: el jefe Jeús, el jefe Jalam y el jefe Coré. Estos son los jefes que vinieron de Aholibama, hija de Aná, mujer de Esaú.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Estos son los hijos de Esaú (es decir, Edom), y estos son sus jefes.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Estos son los hijos de Seir el horeo, los habitantes de la tierra: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Disón, Ezer y Disán. Estos son los jefes que vinieron de los horeos, los hijos de Seír en la tierra de Edom.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Los hijos de Lotán fueron Hori y Hemán. La hermana de Lotán fue Timna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Estos son los hijos de Sobal: Alván, Manahat, Ebal, Sefo y Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Estos son los hijos de Zibeón Aja y Aná. Este es Aná, que encontró las aguas termales en el desierto, mientras alimentaba a los asnos de Zibeón, su padre.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Estos son los hijos de Aná: Disón y Aholibama, hija de Aná.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Estos son los hijos de Disón: Hemdán, Esbán, Itrán y Querán.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Estos son los hijos de Ezer Bilhán, Zaaván y Acán.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Estos son los hijos de Disán: Uz y Arán.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Estos son los jefes que vinieron de los horeos: el jefe Lotán, el jefe Sobal, el jefe Zibeón, el jefe Aná,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
el jefe Disón, el jefe Ezer y el jefe Disán. Estos son los jefes que vinieron de los horeos, según sus jefes en la tierra de Seir.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes de que ningún rey reinara sobre los hijos de Israel.
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Bela, hijo de Beor, reinó en Edom. El nombre de su ciudad fue Dinaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Bela murió, y en su lugar reinó Jobab, hijo de Zera de Bosra.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Murió Jobab, y en su lugar reinó Husam, del país de los temanitas.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Murió Husam, y reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, que hirió a Madián en el campo de Moab. El nombre de su ciudad fue Avit.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Murió Hadad, y en su lugar reinó Samlá de Masreca.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Murió Samlá, y en su lugar reinó Saúl, de Rehobot, junto al río.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Murió Saúl, y en su lugar reinó Baal Hanán, hijo de Acbor.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Murió Baal Hanán, hijo de Acbor, y en su lugar reinó Hadar. El nombre de su ciudad fue Pau. Su esposa se llamaba Mehetabel, hija de Matred, hija de Mezab.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Estos son los nombres de los jefes que vinieron de Esaú, según sus familias, por sus lugares y por sus nombres: el jefe Timna, el jefe Alva, el jefe Jetet,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
el jefe Aholibamah, el jefe Ela, el jefe Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
el jefe Kenaz, el jefe Teman, el jefe Mibzar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
el jefe Magdiel y el jefe Iram. Estos son los jefes de Edom, según sus domicilios en la tierra de su posesión. Este es Esaú, el padre de los edomitas.

< Mwanzo 36 >