< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Torej to so rodovi Ezava, ki je Edóm.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Ezav je svoje žene vzel iz Kánaana: Ado, hčer Hetejca Elóna, Oholibámo, hčer Anája, hčer Hivéjca Cibóna
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
in Basemáto, Izmaelovo hčer, Nebajótovo sestro.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada je Ezavu rodila Elifáza, Basemáta je rodila Reguéla,
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Oholibáma je rodila Jeúša, Jaláma in Koraha. To so Ezavovi sinovi, ki so se mu rodili v kánaanski deželi.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Ezav je vzel svoje žene, svoje sinove, svoje hčere, vse osebe svoje hiše, svojo živino, vse svoje živali in vse svoje imetje, ki ga je pridobil v kánaanski deželi in odšel v deželo izpred obličja svojega brata Jakoba.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Kajti njunih bogastev je bilo preveč, da bi mogla prebivati skupaj. Dežela, v kateri sta bila tujca, ju ni mogla podpirati zaradi njune živine.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Tako je Ezav prebival na gorovju Seír. Ezav je Edóm.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
To so rodovi Ezava, očeta Edómcev na gorovju Seír.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
To so imena Ezavovih sinov: Elifáz, sin Ezavove žene Ade in Reguél, sin Ezavove žene Basemáte.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Elifázovi sinovi so bili: Temán, Omár, Cefó, Gatám in Kenáz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Timna je bila priležnica Ezavovemu sinu Elifázu in Elifázu je rodila Amáleka. To so bili sinovi Ezavove žene Ade.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
To so sinovi Reguéla: Nahat, Zerah, Šamá in Mizá. To so bili sinovi Ezavove žene Basemáte.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Ti so bili sinovi Ezavove žene Oholibáme, hčere Anája, Cibónove hčere; Ezavu je rodila Jeúša, Jaláma in Koraha.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
To so bili vojvode Ezavovih sinov. Sinovi Elifáza, prvorojenega Ezavovega sina: vojvoda Temán, vojvoda Omár, vojvoda Cefó, vojvoda Kenáz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
vojvoda Korah, vojvoda Gatám in vojvoda Amálek. To so vojvode, ki so izšli iz Elifáza v deželi Edóm. To so bili Adini sinovi.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
To so sinovi Ezavovega sina Reguéla: vojvoda Nahat, vojvoda Zerah, vojvoda Šamá in vojvoda Mizá. To so vojvode, ki so izšli iz Reguéla v Edómovi deželi. To so sinovi Ezavove žene Basemáte.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
To pa so sinovi Ezavove žene Oholibáme: vojvoda Jeúš, vojvoda Jalám, vojvoda Korah. To so bili vojvode, ki so izšli iz Ezavove žene Oholibáme, Anájeve hčere.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
To so Ezavovi sinovi, ki je Edóm in to so njihove vojvode.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
To so sinovi Horéjca Seírja, ki je naselil deželo: Lotán, Šobál, Cibón, Anáj,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Dišón, Ecer in Dišán. To so vojvode Horéjcev, Seírjevi otroci v deželi Edóm.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Lotánova sinova sta bila Horí in Hemám; Lotánova sestra pa je bila Timna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Šobálovi otroci so bili tile: Alván, Manáhat, Ebál, Šefo in Onám.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
To sta Cibónova otroka: oba, Ajá in Aná. To je bil ta Anáj, ki je našel mule v divjini, ko je pasel osle svojega očeta Cibóna.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Anájeva otroka sta bila ta: Dišón in Oholibáma, Anájeva hči.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
To so Dišónovi otroci: Hemdán, Ešbán, Jitrán in Kerán.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Ecerjevi otroci so tile: Bilhán, Zaaván in Akán.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Dišánova otroka sta tale [dva]: Uc in Arán.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
To so vojvode, ki so izšli iz Horéjcev: vojvoda Lotán, vojvoda Šobál, vojvoda Cibón, vojvoda Anáj,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
vojvoda Dišón, vojvoda Ecer in vojvoda Dišán. To so vojvode, ki so izšli iz Horéjcev, med njihovimi vojvodami v deželi Seír.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
To so kralji, ki so kraljevali v edómski deželi, preden je katerikoli kralj kraljeval nad Izraelovimi otroki.
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Beórjev sin Bela je kraljeval v Edómu in ime njegovega mesta je bilo Dinhába.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Bela je umrl in namesto njega je zakraljeval Zerahov sin Jobáb iz Bocre.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Jobáb je umrl in namesto njega je zakraljeval Hušám iz dežele Temáncev.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Hušám je umrl in namesto njega je zakraljeval Bedádov sin Hadád, ki je udaril Midján na moábskem polju in ime tega mesta je bilo Avít.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadád je umrl in namesto njega je zakraljeval Samlá iz Masréke.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Samlá je umrl in namesto njega je zakraljeval Šaúl iz Rehobóta ob reki.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Šaúl je umrl in namesto njega je zakraljeval Ahbórjev sin Báal Hanán.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Ahbórjev sin Báal Hanán je umrl in namesto njega je zakraljeval Hadár. Ime njegovega mesta je bilo Pagú in ime njegove žene je bilo Mehetabéla, hči Me-Zahábove hčere Matréde.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
To so imena vojvod, ki so izšli iz Ezava, glede na njihove družine, po njihovih krajih, po njihovih imenih: vojvoda Timná, vojvoda Alvá, vojvoda Jetét,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
vojvoda Oholibáma, vojvoda Elá, vojvoda Pinón,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
vojvoda Kenáz, vojvoda Temán, vojvoda Mibcár,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
vojvoda Magdiél, vojvoda Irám. To so edómski vojvode, glede na njihova prebivališča v deželi njihove posesti. On je Ezav, oče Edómcev.

< Mwanzo 36 >