< Mwanzo 36 >
1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
A ovo je pleme Isavovo, a on je Edom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Isav se oženi izmeðu kæeri Hananejskih Adom kæerju Eloma Hetejina, i Olivemom kæerju Ane sina Sevegona Evejina,
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
I Vasematom kæerju Ismailovom, sestrom Navaotovom.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
I rodi Ada Isavu Elifasa, a Vasemata rodi Raguila.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
A Olivema rodi Jeusa i Jegloma i Koreja. To su sinovi Isavovi, koji mu se rodiše u zemlji Hananskoj.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
I Isav uze žene svoje i sinove svoje i kæeri svoje i sve domašnje svoje, i stada svoja i svu stoku svoju i sve blago svoje što bješe stekao u zemlji Hananskoj; pa otide u drugu zemlju daleko od Jakova brata svojega.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Jer im blago bijaše vrlo veliko, te ne mogahu živjeti zajedno; niti ih zemlja gdje bijahu došljaci mogaše nositi od množine stoke njihove.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
I Isav življaše na planini Siru. Isav je Edom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
A ovo je pleme Isava oca Edomcima na planini Siru.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Ovo su imena sinova Isavovijeh: Elifas sin Ade žene Isavove, i Raguilo sin Vasemate žene Isavove.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
A Elifasovi sinovi bjehu: Teman, Omar, Sofar, Gotom i Kenez.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
A Tamna bješe inoèa Elifasu sinu Isavovu, i rodi Elifasu Amalika. To su sinovi Ade žene Isavove.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
A ovo su sinovi Raguilovi: Nahot, Zare, Some i Moze. To bjehu sinovi Vasemate žene Isavove.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
A ovo su sinovi Oliveme kæeri Ane sina Sevegonova, žene Isavove. Ona rodi Isavu Jeusa i Jegloma i Koreja.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Ovo su starješine sinovima Isavovijem: sinovi Elifasa prvenca Isavova: starješina Teman, starješina Omar, starješina Sofar, starješina Kenez,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
Starješina Korej, starješina Gotim, starješina Amalik. To su starješine od Elifasa u zemlji Edomskoj. To su sinovi Adini.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
A sinovi Raguila sina Isavova: starješina Nahot, starješina Zare, starješina Some, starješina Moze. To su starješine od Raguila u zemlji Edomskoj. To su sinovi Vasemate žene Isavove.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
A sinovi Oliveme žene Isavove: starješina Jeus, starješina Jeglom, starješina Korej. To su starješine od Oliveme kæeri Anine, žene Isavove.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
To su sinovi Isavovi, i to su starješine njihove; a on je Edom.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
A ovo su sinovi Sira Horejina, koji življahu u onoj zemlji: Lotan i Soval i Sevegon i Ana,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
I Dison i Asar i Rison. To su starješine Horejima, sinovi Sirovi u zemlji Edomskoj.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
A sinovi Lotanovi bjehu Horija i Eman, a sestra Lotanova bješe Tamna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
A ovo su sinovi Savalovi: Golam i Manahat i Gevil i Sofar i Omar.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
A ovo su sinovi Sevegonovi: Aije i Ana. A taj je Ana koji pronaðe tople izvore u pustinji pasuæi magarce Sevegona oca svojega.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
A ovo su djeca Anina: Dison i Olivema kæi Anina.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
A ovo su sinovi Disonovi: Amada i Asvan i Itran i Haran.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
A ovo su sinovi Asarovi: Valam i Zavan i Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
A ovo su sinovi Risonovi: Uz i Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
I ovo su starješine Horejima: starješina Lotan, starješina Soval, starješina Sevegon, starješina Ana,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Starješina Dison, starješina Asar, starješina Rison. To su starješine Horejima, kako im starješovahu u zemlji Siru.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
A ovo su carevi koji carovaše u zemlji Edomskoj prije nego se zacari car nad sinovima Izrailjevijem.
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Carova u Edomskoj Valak sin Veorov, a gradu mu bješe ime Denava.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
A kad umrije Valak, zacari se na njegovo mjesto Jovav sin Zarin od Vosore.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
A kad umrije Jovav, zacari se na njegovo mjesto Asom od zemlje Temanovske.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
A kad umrije Asom, zacari se na njegovo mjesto Adad sin Varadov, koji isijeèe Madijance u polju Moavskom, a gradu mu bješe ime Geten.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
A kad umrije Adad, zacari se na njegovo mjesto Samada iz Masekasa.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
A kad umrije Samada, zacari se na njegovo mjesto Saul iz Rovota na rijeci.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
A kad umrije Saul, zacari se na njegovo mjesto Valenon sin Ahovorov.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
A kad umrije Valenon sin Ahovorov, zacari se na njegovo mjesto Adar, a grad mu se zvaše Fogor, a ženi mu bješe ime Meteveilja, koja bješe kæi Matraide kæeri Mezevove.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
I ovo su imena starješinama od Isava po porodicama njihovijem, po mjestima njihovijem, po imenima njihovijem: starješina Tamna, starješina Gola, starješina Jeter,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
Starješina Olivema, starješina Ila, starješina Finon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
Starješina Kenez, starješina Teman, starješina Mazar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Starješina Magedilo, starješina Zafoj. To su starješine Edomske kako nastavahu u svojoj zemlji. Ovaj Isav bi otac Edomcima.