< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Pa inge fwilin tulik natul Esau, su oayapa pangpang Edom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Esau el payuk sin mutan Canaan inge: Adah, acn natul Elon mwet Hit; Oholibamah, acn natul Anah wen natul Zibeon mwet Hiv;
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
ac Basemath, acn natul Ishmael ac tamtael lal Nebaioth.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Adah el oswella Eliphaz. Basemath el oswella Reuel.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Oholibamah el oswella Jeush, Jalam, ac Korah. Mukul inge nukewa isusyang nu sel Esau in acn Canaan.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Na Esau el us mutan kial, wen natul, acn natul, ac mwet nukewa in lohm sel, wi kosro nukewa natul ac ma lal nukewa ma el eis in acn Canaan, ac som lukel Jacob, tamulel lal, nu ke sie pac acn.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
El som mweyen acn ma el ac Jacob tukeni orekmakin sufalla nu ke enenu laltal. Arulana puseni kosro natultal kewa, pwanang eltal tia ku in tukeni muta.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Ouinge Esau el som ac muta infulan eol in acn Edom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Pa inge fwilin tulik natul Esau, papa tumun mwet Edom.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Inen wen natul Esau pa inge: Eliphaz wen natul Adah, mutan kial Esau. Reuel wen natul Basemath, sie pac mutan kial Esau.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Wen natul Eliphaz pa Teman, Omar, Zepho, Gatam ac Kenaz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
(Timna el mutan kulansap se kial Eliphaz, wen natul Esau, ac el oswella Amalek nu sel Eliphaz.) Elos inge wen natul Adah, mutan se meet kial Esau.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
Ac wen natul Reuel pa Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah. Elos inge wen natul Basemath, mutan se akluo kial Esau.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Oholibamah, acn natul Anah wen natul Zibeon, el oswela wen tolu nu sel Esau, inelos pa Jeush, Jalam, ac Korah.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Pa inge sou lulap ma tuku ke fwilin tulik natul Esau. Eliphaz, wen se omeet natul Esau, pa sifen sou lulap inge: Teman, Omar, Zepho, Kenaz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
Korah, Gatam, ac Amalek. Elos inge nukewa ma natul Adah, mutan se meet kial Esau.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
Reuel, wen natul Esau, pa sifen sou lulap inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah. Elos inge kewa ma natul Basemath, mutan se akluo kial Esau.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
Sou lulap inge ma tuku kacl Oholibamah, mutan se aktolu kial Esau, su acn natul Anah: Jeush, Jalam, ac Korah.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Sou lulap inge nukewa tuku ke fwilin tulik natul Esau.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Pa inge mukul natul Seir mwet Hor, su mwet na pwaye lun acn Edom: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Dishon, Ezer, ac Dishan. Elos pa sou lulap lun mwet Hor, su wen natul Seir in acn Edom.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Lotan pa sifen sou lulap lal Hori ac Heman. (Oasr pac tamtael se lal Lotan pangpang Timna.)
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Shobal pa sifen sou lulap lal Alvan, Manahath, Ebal, Shepho, ac Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Oasr wen luo natul Zibeon, inelos pa Aiah ac Anah. (Pa inge Anah se ma konauk unon in kof fol se in acn mwesis ke pacl se el liyaung donkey natul Zibeon, papa tumal.)
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Oasr mukul se natul Anah, inel pa Dishon, ac mutan se natul pa Oholibamah.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Ac wen natul Dishon pa Hemdan, Eshban, Ithran, ac Cheran.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Ezer pa papa tumun sou lulap lun Bilhan, Zaavan, ac Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Dishan pa papa tumun sou lulap lun Uz ac Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Pa inge inen sou lulap lun mwet Hor: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Dishon, Ezer, ac Dishan. Pa inge kais sie sou lulap lun mwet Hor in facl Seir.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Pa inge tokosra ma leumi acn Edom, meet liki mutawauk in oasr tokosra lun mwet Israel:
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Bela, wen natul Beor, el leum fin acn Edom. Inen siti sel pa Dinhabah.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Bela el misa, ac Jobab, wen natul Zerah mwet Bozrah, el aolulla in tokosra.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Jobab el misa, ac Husham, su muta in acn sin mwet Teman, el aolulla in tokosra.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Husham el misa, ac Hadad wen natul Bedad, su tuh kutangla mwet Midia in acn Moab, el aolulla in tokosra. Inen siti sel pa Avith.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadad el misa, ac Samlah, sie mwet Masrekah, el aolulla in tokosra.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Samlah el misa, ac Shaul mwet Rehoboth, sie siti sisken Infacl Euphrates, el aolulla in tokosra.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Shaul el misa, ac Baal Hanan, wen natul Achbor, el aolulla in tokosra.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Baal Hanan wen natul Achbor el misa, ac Hadar el aolulla in tokosra. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial uh pa Mehetabel, acn natul Matred, su acn natul Mezahab.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Pa inge inen sifen sou lulap lal Esau, ke sou lalos ac inen acn selos: Timna, Alvah, Jetheth,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibamah, Elah, Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mibzar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Magdiel, ac Iram. Pa inge sou lulap lal Edom. Edom pa Esau, su papa tumun Edom, fal nu ke oakwuk lalos in acn selos.

< Mwanzo 36 >