< Mwanzo 36 >
1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Voici les générations d’Esaü; c’est le même qu’Edom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Esaü prit pour femmes d’entre les filles des Chananéens: Ada, fille d’Elon l’Hétéen, et Oolibama, fille d’Ana, fille elle-même de Sébéon l’Hévéen;
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
Et aussi Bazemath, fille d’Ismaël, sœur de Nabaïoth.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada enfanta Eliphaz; Bazemath enfanta Rahuel;
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Oolibama enfanta Jéhus, Ihélon et Coré. Ce sont là les fils d’Esaü, qui lui naquirent dans la terre de Chanaan.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Or Esaü prit ses femmes, ses fils, ses filles et toutes les âmes de sa maison, ses richesses, ses bestiaux et tout ce qu’il pouvait avoir dans la terre de Chanaan, et il s’en alla dans une autre contrée, et s’éloigna de son frère Jacob.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Car ils étaient extrêmement riches, et ils ne pouvaient habiter ensemble; et la terre de leur pèlerinage ne leur suffisait pas, à cause de la multitude de leurs troupeaux.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Ainsi Esaü habita sur la montagne de Séir: Esaü est le même qu’Edom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Or, voici les générations d’Esaü père des Iduméens sur la montagne de Séir;
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Et voici les noms de ses fils: Eliphaz, fils d’Ada, femme d’Esaü, Rahuel aussi, fils de Bazemath sa femme.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Et les fils d’Eliphaz furent Théman, Omar, Sépho, Gatham et Cénez.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Il y avait encore Thamna, seconde femme d’Eliphaz, fils d’Esaü, laquelle lui enfanta Amalech: ce sont là les fils d’Ada, femme d’Esaü;
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
Mais les fils de Rahuel: Nathat et Zara, Samma et Meza: ce sont là les fils de Bazemath, femme d’Esaü.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Il y avait aussi les fils d’Oolibama (fille d’Ana, fille elle-même de Sébéon), femme d’Esaü, qu’elle lui enfanta: Jéhus, Ihélon et Coré.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Voici les chefs des fils d’Esaü: les fils d’Eliphaz, premier-né d’Esaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Sépho, le chef Cénez,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
Le chef Coré, le chef Gatham, le chef Amalech. Ce sont là les fils d’Eliphaz, dans le pays d’Edom, et ce sont les fils d’Ada.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
Et voici les fils de Rahuel fils d’Esaü: le chef Nahath, le chef Zara, le chef Samma, le chef Meza: ce sont là les chefs issus de Rahuel dans le pays d’Edom; et ce sont les fils de Bazemath, femme d’Esaü.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
Mais voici les fils d’Oolibama, femme d’Esaü: le chef Jéhus, le chef Ihélon, le chef Coré: ce sont là les chefs issus d’Oolibama, femme d’Esaü, fille d’Ana.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Ce sont là les enfants d’Esaü, et ce sont là leurs chefs: Esaü est le même qu’Edom.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Voici les fils de Séir Horréen, habitants de ce pays: Lotan, Sobal, Sébéon, Ana,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Dison, Eser et Disan: ce sont là les chefs Horréens, fils de Séir, dans le pays d’Edom.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Mais les fils de Lotan furent Hori et Héman: or, la sœur de Lotan était Thamna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Voici les fils de Sobal: Alvan, Manahat, Ebal, Sépho et Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Et voici les fils de Sébéon: Aïa et Ana. Celui-ci est Ana, qui trouva les eaux chaudes dans le désert, pendant qu’il paissait les ânes de Sébéon son père;
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Il eut pour fils Dison, et pour fille Oolibama.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Or, voici les fils de Dison: Hamdan, Eséban, Jéthram et Charan;
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Et les fils d’Eser: Balaan, Zavan et Achan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Mais Disan eut pour fils Hus et Aram.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Voici les chefs des Horréens: le chef Lotan, le chef Sobal, le chef Sébéon, le chef Ana,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Le chef Dison, le chef Eser et le chef Disan: ce sont là les chefs qui ont commandé dans le pays de Séir.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Mais les rois qui régnèrent dans le pays d’Edom, avant que les enfants d’Israël eussent un roi, furent ceux-ci:
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Béla, fils de Béor, et le nom de sa ville était Denaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Mais Béla mourut, et à sa place régna Jobab, fils de Zara de Bosra.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Et quand Jobab mourut, à sa place régna Husam du pays des Thémanites.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Celui-ci mort aussi, régna à sa place Adad, fils de Badad, qui battit Madian dans les champs de Moab; et le nom de sa ville était Avith.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Et quand Adad mourut, régna à sa place Semla de Masréca.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Celui-ci mort aussi, régna à sa place Saül, du fleuve de Rohoboth.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Et quand celui-ci mourut, Balanan, fils d’Achobor, succéda au royaume.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Celui-ci mort aussi, régna à sa place Adar; et le nom de sa ville était Phaü; et sa femme s’appelait Méétabel, fille de Matred, fille elle-même de Mézaab.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Voici donc les noms des chefs issus d’Esaü, selon leurs familles et leurs demeures et leurs noms: le chef Thamna, le chef Alva, le chef Jétheth,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
Le chef Oolibama, le chef Ela, le chef Phinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
Le chef Cénez, le chef Théman, le chef Mabsar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Le chef Magdiel, le chef Hiram: ce sont là les chefs issus d’Edom, qui habitaient dans le pays de leur domination: Edom est le même qu’Esaü père des Iduméens.