< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Or, voici les descendants d'Ésaü, qui est Édom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Ésaü prit ses femmes parmi les filles de Canaan: Ada, fille d'Élon, le Héthien, et Oholibama, fille d'Ana, fille de Tsibeon, le Hévien.
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
Il prit aussi Basmath, fille d'Ismaël, sœur de Nébajoth.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada enfanta à Ésaü Éliphaz, et Basmath enfanta Réuël.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Et Oholibama enfanta Jéush, Jaelam et Korah. Voilà les fils d'Ésaü, qui lui naquirent au pays de Canaan.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Et Ésaü prit ses femmes, et ses fils et ses filles, et toutes les personnes de sa maison, et ses troupeaux, et tout son bétail, et tout le bien qu'il avait acquis au pays de Canaan; et il s'en alla dans un autre pays, loin de Jacob, son frère.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Car leurs biens étaient trop grands pour qu'ils pussent demeurer ensemble, et le pays où ils séjournaient ne pouvait pas les contenir, à cause de leurs troupeaux.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Et Ésaü habita sur la montagne de Séir. Ésaü est Édom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Et voici les descendants d'Ésaü, père des Iduméens, sur la montagne de Séir.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Voici les noms des fils d'Ésaü: Éliphaz, fils d'Ada, femme d'Ésaü; Réuël, fils de Basmath, femme d'Ésaü.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Et les fils d'Éliphaz furent Théman, Omar, Tsépho et Gaetham et Kénaz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Et Thimna fut concubine d'Éliphaz, fils d'Ésaü, et enfanta Amalek à Éliphaz. Voilà les fils d'Ada, femme d'Ésaü.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
Et voici les fils de Réuël: Nahath et Zérach, Shamma et Mizza. Ce furent là les fils de Basmath, femme d'Ésaü.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Et ceux-ci furent les fils d'Oholibama, fille d'Ana, fille de Tsibeon, et femme d'Ésaü: elle enfanta à Ésaü Jéush, Jaelam et Korah.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Voici les chefs des fils d'Ésaü: Fils d'Éliphaz, premier-né d'Ésaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Tsépho, le chef Kénaz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
Le chef Korah, le chef Gaetham, le chef Amalek. Voilà les chefs issus d'Éliphaz au pays d'Édom; voilà les fils d'Ada.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
Et voici les fils de Réuël, fils d'Ésaü: le chef Nahath, le chef Zérach, le chef Shamma, le chef Mizza. Voilà les chefs issus de Réuël au pays d'Édom, voilà les fils de Basmath, femme d'Ésaü.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
Et voici les fils d'Oholibama, femme d'Ésaü: le chef Jéush, le chef Jaelam, le chef Korah. Voilà les chefs issus d'Oholibama, fille d'Ana, femme d'Ésaü.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Voilà les fils d'Ésaü, qui est Édom, et voilà leurs chefs.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Voici les fils de Séir, le Horien, qui habitaient le pays: Lothan, Shobal, Tsibeon, Ana, Dishon, Etser et Dishan.
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Voilà les chefs des Horiens, fils de Séir, au pays d'Édom.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Et les fils de Lothan furent: Hori et Héman; et Thimna était sœur de Lothan.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Et voici les fils de Shobal: Alvan, Manahath, Ébal, Shépho et Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Et voici les fils de Tsibeon: Ajja et Ana. C'est Ana qui trouva les sources chaudes dans le désert, pendant qu'il paissait les ânes de Tsibeon, son père.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Et voici les enfants d'Ana: Dishon et Oholibama, fille d'Ana.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Et voici les fils de Dishon: Hemdan, Eshban, Jithran et Kéran.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Voici les fils d'Etser: Bilhan, Zaavan et Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Voici les fils de Dishan: Uts et Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Voici les chefs des Horiens: le chef Lothan, le chef Shobal, le chef Tsibeon, le chef Ana,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Le chef Dishon, le chef Etser, le chef Dishan. Voilà les chefs des Horiens, les chefs qu'ils eurent dans le pays de Séir.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Et voici les rois qui régnèrent au pays d'Édom, avant qu'un roi régnât sur les enfants d'Israël:
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Béla, fils de Béor, régna en Édom, et le nom de sa ville était Dinhaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Et Béla mourut; et Jobab, fils de Zérach, de Botsra, régna à sa place.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Et Jobab mourut; et Husham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Et Husham mourut; et Hadad, fils de Bedad, régna à sa place; il défit Madian, aux champs de Moab; et le nom de sa ville était Avith.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Et Hadad mourut; et Samla, de Masréka, régna à sa place.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Et Samla mourut; et Saül, de Rehoboth, sur le fleuve, régna à sa place.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Et Saül mourut; et Baal-Hanan, fils d'Acbor, régna à sa place.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Et Baal-Hanan, fils d'Acbor, mourut, et Hadar régna à sa place; et le nom de sa ville était Paü, et le nom de sa femme Méhétabeel, fille de Matred, fille de Mézahab.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Et voici les noms des chefs d'Ésaü, selon leurs familles, selon leurs lieux, par leurs noms: le chef Thimna, le chef Alva, le chef Jetheth,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
Le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
Le chef Kénaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Le chef Magdiel, le chef Iram. Voilà les chefs d'Édom, selon leurs demeures au pays de leur possession. C'est là Ésaü, le père des Iduméens.

< Mwanzo 36 >