< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Et ce sont ici les générations d’Ésaü, qui est Édom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Ésaü prit ses femmes d’entre les filles de Canaan: Ada, fille d’Élon, le Héthien; et Oholibama, fille d’Ana, fille de Tsibhon, le Hévien;
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
et Basmath, fille d’Ismaël, sœur de Nebaïoth.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Et Ada enfanta à Ésaü Éliphaz; et Basmath enfanta Rehuel.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Et Oholibama enfanta Jehush, et Jahlam, et Coré. Ce sont là les fils d’Ésaü, qui lui naquirent dans le pays de Canaan.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Et Ésaü prit ses femmes, et ses fils et ses filles, et toutes les personnes de sa maison, et ses troupeaux, et tout son bétail, et tout le bien qu’il avait acquis dans le pays de Canaan, et il s’en alla dans un pays, loin de Jacob, son frère;
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
car leur avoir était trop grand pour qu’ils puissent habiter ensemble, et le pays de leur séjour ne pouvait les porter à cause de leurs troupeaux.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Et Ésaü habita dans la montagne de Séhir: Ésaü, c’est Édom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Et ce sont ici les générations d’Ésaü, père d’Édom, dans la montagne de Séhir.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Ce sont ici les noms des fils d’Ésaü: Éliphaz, fils d’Ada, femme d’Ésaü; Rehuel, fils de Basmath, femme d’Ésaü.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
– Et les fils d’Éliphaz furent Théman, Omar, Tsepho, et Gahtam, et Kenaz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Et Thimna fut concubine d’Éliphaz, fils d’Ésaü, et elle enfanta à Éliphaz Amalek. Ce sont là les fils d’Ada, femme d’Ésaü.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
– Et ce sont ici les fils de Rehuel: Nakhath et Zérakh, Shamma et Mizza. Ceux-là furent fils de Basmath, femme d’Ésaü.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
– Et ceux-ci furent fils d’Oholibama, fille d’Ana, fille de Tsibhon, femme d’Ésaü: et elle enfanta à Ésaü Jehush, et Jahlam, et Coré.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Ce sont ici les chefs des fils d’Ésaü. Les fils d’Éliphaz, premier-né d’Ésaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Tsepho, le chef Kenaz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
le chef Coré, le chef Gahtam, le chef Amalek. Ce sont là les chefs [issus] d’Éliphaz, au pays d’Édom. Ce sont là les fils d’Ada.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
– Et ce sont ici les fils de Rehuel, fils d’Ésaü: le chef Nakhath, le chef Zérakh, le chef Shamma, le chef Mizza. Ce sont là les chefs [issus] de Rehuel, au pays d’Édom. Ce sont là les fils de Basmath, femme d’Ésaü.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
– Et ce sont ici les fils d’Oholibama, femme d’Ésaü: le chef Jehush, le chef Jahlam, le chef Coré. Ce sont là les chefs [issus] d’Oholibama, fille d’Ana, femme d’Ésaü.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
– Ce sont là les fils d’Ésaü; et ce sont là leurs chefs: c’est Édom.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Ce sont ici les fils de Séhir, le Horien, qui habitaient le pays: Lotan, et Shobal, et Tsibhon, et Ana,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
et Dishon, et Étser, et Dishan. Ce sont là les chefs des Horiens, fils de Séhir, au pays d’Édom.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Et les fils de Lotan furent Hori et Hémam; et la sœur de Lotan, Thimna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
– Et ce sont ici les fils de Shobal: Alvan, et Manakhath, et Ébal, Shepho et Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
– Et ce sont ici les fils de Tsibhon: et Aïa et Ana. C’est cet Ana qui trouva les sources chaudes au désert, tandis qu’il paissait les ânes de Tsibhon, son père.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
– Et ce sont ici les fils d’Ana: Dishon, et Oholibama, fille d’Ana.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
– Et ce sont ici les fils de Dishon: Hemdan, et Eshban, et Jithran, et Keran.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
– Ce sont ici les fils d’Étser: Bilhan, et Zaavan, et Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
– Ce sont ici les fils de Dishan: Uts et Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Ce sont ici les chefs des Horiens: le chef Lotan, le chef Shobal, le chef Tsibhon, le chef Ana,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
le chef Dishon, le chef Étser, le chef Dishan. Ce sont là les chefs des Horiens, selon leurs chefs, dans le pays de Séhir.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Et ce sont ici les rois qui régnèrent dans le pays d’Édom, avant qu’un roi règne sur les fils d’Israël.
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Béla, fils de Béor, régna en Édom, et le nom de sa ville était Dinhaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
– Et Béla mourut; et Jobab, fils de Zérakh, de Botsra, régna à sa place.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
– Et Jobab mourut; et Husham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
– Et Husham mourut; et à sa place régna Hadad, fils de Bedad, qui frappa Madian dans les champs de Moab; et le nom de sa ville était Avith.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
– Et Hadad mourut; et Samla, de Masréka, régna à sa place.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
– Et Samla mourut; et Saül, de Rehoboth sur le fleuve, régna à sa place.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
– Et Saül mourut; et Baal-Hanan, fils d’Acbor, régna à sa place.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
– Et Baal-Hanan, fils d’Acbor, mourut; et Hadar régna à sa place; et le nom de sa ville était Pahu; et le nom de sa femme, Mehétabeël, fille de Matred, fille de Mézahab.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Et ce sont ici les noms des chefs d’Ésaü, selon leurs familles, selon leurs lieux, par leurs noms: le chef Thimna, le chef Alva, le chef Jetheth,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
le chef Kenaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
le chef Magdiel, le chef Iram. Ce sont là les chefs d’Édom, selon leurs habitations dans le pays de leur possession. C’est Ésaü, père d’Édom.

< Mwanzo 36 >