< Mwanzo 36 >
1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Tämä on Esaun sukukunta, joka on Edom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Esau otti emännät Kanaanin tyttäristä: Adan, Hetiläisen Elonin tyttären, ja Oholibaman, Anan Heviläisen Zibeonin pojan tyttären.
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
Ja Basmatin, Ismaelin tyttären, Nebajotin sisaren.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada synnytti Esaulle Eliphan. Ja Basmat synnytti Reguelin.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Oholibama synnytti Jeun, Jaelamin ja Koran. Nämät ovat Esaun lapset, jotka hänelle syntyivät Kanaanin maalla.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Ja Esau otti emäntänsä, poikansa ja tyttärensä ja kaiki huoneensa sielut, ja karjansa ja kaikki juhtansa, ja kaiken sen tavaransa, kuin hän oli pannut kokoon Kanaanin maalla: ja meni (toiselle) maalle, veljensä Jakobin tyköä.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Sillä heidän tavaransa oli niin suuri, ettei he taitaneet asua ynnä: ja se maa, jossa he muukalaiset olivat, ei vetänyt heitä heidän karjansa (paljouden) tähden.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Niin asui Esau Seirin vuorella, ja tämä Esau on Edom.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Nämät ovat Esaun sukukunnat Edomilaisten isän Seirin vuorella.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Nämät ovat Esaun poikain nimet: Eliphas, Adan Esaun emännän poika: Reguel Basmatin Esaun emännän poika.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Ja Eliphan pojat olivat: Teman, Omar, Zepho, ja Gaetam ja Kenas.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Mutta Timna oli Eliphan Esaun pojan jalkavaimo, joka synnytti hänelle Amalekin. Ne ovat Adan Esaun emännän lapset.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
Mutta Reguelin lapset ovat nämät: Nahat, ja Zera, Samma, Missa. Ne ovat Basmatin Esaun emännän lapset.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
Mutta nämät olivat Oholibaman Esaun emännän pojat, Anan tyttären Zibeonin pojan tyttären lapset; jotka hän synnytti Esaulle: Jeus ja Jaelam ja Kora.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Nämät ovat ruhtinaat Esaun lapsista: Eliphan Esaun esikoisen lapset ovat nämät: se ruhtinas Teman, se ruhtinas Omar, se ruhtinas Zepho, se ruhtinas Kenas.
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
Se ruhtinas Kora, se ruhtinas Gaetam, se ruhtinas Amalek. Nämät ovat ruhtinaat Eliphasta Edomin maalla, ja ovat Adan lapset.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
Ja nämät ovat Reguelin Esaun pojan lapset: se ruhtinasa Nahat, se ruhtinas Sera, se ruhtinas Samma, se ruhtinas Missa. Nämät ovat ruhtinaat Reguelista Edomilaisten maalla ja ovat Basmatin Esaun emännän lapset.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
Mutta nämät ovat Oholibaman Esaun emännän lapset: se ruhtinas Jeus, se ruhtinas Jaelam, se ruhtinas Kora. Nämät ovat ruhtinaat Oholibamasta, Anan tyttärestä, Esaun emännästä.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Nämät ovat Esaun lapset, ja heidän ruhtinaansa. Hän on Edom.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Mutta nämät ovat Seirin Horilaisen lapset, jotka sillä maalla asuivat: Lotan, Sobal, Sibeon, Ana.
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Dison, Etser ja Disan. Nämät ovat Horilaisten ruhtinaat, Seirin lapset Edomin maalla.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Mutta Lotanin lapset ovat: Hori ja Heman: ja Lotanin sisar Timna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Sobalin lapset olivat nämät: Alvan, Manahat, Ebal, Sepho ja Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Nämät olivat Sibeonin lapset: Aja ja Ana. Tämä on se Ana, joka korvessa löi Jeminiläiset, kaitessansa isänsä Sibeonin aaseja.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Mutta Ananin lapset olivat: Dison ja Oholibama Ananin tytär.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Disonin lapset olivat: Hemdan, ja Esban, Jetran ja Karan.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Etserin lapset olivat: Bilhan, ja Savan ja Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Disanin lapset olivat: Uts ja Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Nämät ovat Horilaisten ruhtinaat: se ruhtinas Lotan, se ruhtinas Sobal, se ruhtinas Zibeon, se ruhtinas Ana.
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Se ruhtinas Dison, se ruhtinas Etser, se ruhtinas Disan. Nämät ovat Horilaisten ruhtinaat, heidän ruhtinastensa seassa Seirin maalla.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Mutta kuninkaat kuin Edomin maalla hallitsivat, ennenkuin joku kuningas hallitsi Israelin lapsia, ovat nämät:
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Niin hallitsi Edomissa Bela Beorin poika: ja hänen kaupunkinsa nimi on Dinhaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Ja koska Bela kuoli, tuli Jobab Seran poika Bosrasta kuninkaaksi hänen siaansa.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Kuin Jobab kuoli, tuli Husam Temanilaisten maalta kuninkaaksi hänen siaansa.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Koska Husam kuoli, tuli Hadad Bedadin poika kuninkaaksi hänen siaansa, joka löi Midianilaiset Moabilaisten kedolla, ja hänen kaupunkinsa nimi oli Avit.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Koska Hadad kuoli, hallitsi Samla Masrekasta hänen siassansa.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Koska Samla kuoli, tuli Saul kuninkaaksi hänen siaansa, Rehobotin virran tyköä.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Koska Saul kuoli, tuli Baalhanan Akborin poika kuninkaaksi hänen siaansa.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Koska Baalhanan Akborin poika kuoli, tuli Hadar kuninkaaksi hänen siaansa, ja hänen kaupunkinsa nimi oli Pagu: ja hänen emäntänsä nimi oli Mehetabeel, Matredin tytär, joka Mesahabin tytär oli.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Ja nämät ovat Esaun ruhtinasten nimet heidän suvuissansa, paikoissansa ja nimissänsä: se ruhtinas Timna, se ruhtinas Alva, se ruhtinas Jetet.
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
Se ruhtinas Oholibama, se ruhtinas Ela, se ruhtinas Pinon.
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
Se ruhtinas Kenas, se ruhtinas Teman, se ruhtinas Mibtsar.
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Se ruhtinas Magdiel, se ruhtinas Iram. Nämät ovat Edomin ruhtinaat, niin kuin he asuneet ovat perintö-maallansa, ja Esau on Edomilaisten isä.