< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
Ovo su potomci Ezava, koji se zvao i Edom.
2 Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
Ezav je uzeo sebi žene od kanaanskih djevojaka: Adu, kćer Hetita Elona; Oholibamu, kćer Ane, unuku Sibeona Horijca;
3 pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
i Basematu, kćer Jišmaelovu, sestru Nebajotovu.
4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
Ada Ezavu rodi Elifaza, a Basemata rodi Reuela,
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Oholibama rodi Jeuša, Jalama i Koraha. To su Ezavovi sinovi koji se rodiše u zemlji kanaanskoj.
6 Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
Ezav uzme svoje žene, svoje sinove, svoje kćeri, svu čeljad svoga doma; svoju stoku - krupnu i sitnu; svu imovinu što ju je namakao u zemlji kanaanskoj, pa ode u zemlju seirsku, daleko od svog brata Jakova.
7 Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
Njihov se, naime, posjed jako uvećao te nisu mogli ostati zajedno: kraj u kojem su boravili nije ih mogao izdržavati zbog njihova blaga.
8 Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Tako se Ezav - Edom nazvani - naseli u brdskom kraju Seiru.
9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
Ovo je, dakle, potomstvo Ezava, praoca Edomaca, u brdskom kraju Seiru.
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Ovo su imena Ezavovih sinova: Elifaz, sin Ezavove žene Ade; Reuel, sin Ezavove žene Basemate.
11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Elifazovi su sinovi bili: Teman, Omar, Sefo, Gatam i Kenaz.
12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
Timna je bila inoča Ezavova sina Elifaza; ona je Elifazu rodila Amaleka. To su potomci Ezavove žene Ade.
13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
A ovo su sinovi Reuelovi: Nahat, Zerah, Šama i Miza. Oni su bili sinovi Ezavove žene Basemate.
14 Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
A ovo su opet sinovi Ezavove žene Oholibame, Anine kćeri, unuke Sibeonove; ona je Ezavu rodila Jeuša, Jalama i Koraha.
15 Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
Ovo su rodovske glave Ezavovih potomaka. Potomci Ezavova prvorođenca Elifaza: knez Teman, knez Omar, knez Sefo, knez Kenaz,
16 Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
knez Korah, knez Gatam i knez Amalek. To su rodovski glavari Elifazovi u zemlji edomskoj; to su potomci Adini.
17 Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
A ovo su potomci Ezavova sina Reuela: knez Nahat, knez Zerah, knez Šama i knez Miza. To su rodovski glavari Reuelovi u zemlji edomskoj; to su potomci Ezavove žene Basemate.
18 Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
A ovo su potomci Ezavove žene Oholibame: knez Jeuš, knez Jalam i knez Korah. To su rodovski glavari Ezavove žene Oholibame, kćeri Anine.
19 Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
To su bili sinovi Ezava-Edoma, njihovi knezovi.
20 Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
A ovo su sinovi Seira Horijca, žitelji one zemlje: Lotan, Šobal, Sibeon, Ana,
21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Dišon, Eser i Dišan. To su koljenovići Horijci, sinovi Seirovi, u zemlji edomskoj.
22 Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
Lotanovi sinovi bili su: Hori i Hemam; a sestra Lotanova bila je Timna.
23 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Ovo su bili sinovi Šobalovi: Alvan, Manahat, Ebal, Šefo i Onam.
24 Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
Sinovi Sibeonovi bijahu Aja i Ana. Ana je onaj koji je našao vruća vrela u pustari dok je čuvao magarad svoga oca Sibeona.
25 Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Ovo su bila djeca Ane: sin Dišon i Anina kći Oholibama.
26 Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Ovo su bili sinovi Dišonovi: Hemdan, Ešban, Jitran i Keran.
27 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Ovo su bili sinovi Eserovi: Bilhan, Zaavan i Akan.
28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
A sinovi Dišanovi bili su: Uz i Aran.
29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Ovo su knezovi Horijaca: knez Lotan, knez Šobal, knez Sibeon, knez Ana,
30 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
knez Dišon, knez Eser i knez Dišan. To su bili knezovi Horijaca, glavar za glavarom, u zemlji seirskoj.
31 Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
Evo kraljeva koji su kraljevali u edomskoj zemlji prije nego je zavladao kralj sinova Izraelovih.
32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
Beorov sin Bela vladao je u Edomu; njegov se grad zvao Dinhaba.
33 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Kad je umro Bela, na njegovo se mjesto zakraljio Jobab, sin Zeraha iz Bosre.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Kad je umro Jobab, zakraljio se na njegovo mjesto Hušam iz temanske zemlje.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Kad je umro Hušam, zakraljio se na njegovo mjesto Bedadov sin Hadad, koji je potukao Midjance na Moapskom polju. Ime je njegovu gradu bilo Avit.
36 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Kad je umro Hadad, zakraljio se na njegovo mjesto Samla iz Masreke.
37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
Kad je umro Samla, zakraljio se na njegovo mjesto Šaul iz Rehobota na Rijeci.
38 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Kad umrije Šaul, zavlada Baal Hanan, Akborov sin.
39 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Kad je umro Baal Hanan, Akborov sin, vladaše Hadad. Ime je njegovu gradu bilo Pai. Žena mu se zvala Mehetabela. Bila je kći Matredova, iz Me Zahaba.
40 Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Ovo su imena Ezavovih knezova s njihovim nazivima po rodovima i smještaju: knez Timna, knez Alva, knez Jetet,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
knez Oholibama, knez Ela, knez Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mibsari,
knez Kenaz, knez Teman, knez Mibzar,
43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
knez Magdiel i knez Iram. To su bili knezovi edomski, prema njihovim naseljima u zemlji koju su zaposjeli. To je Ezav, praotac Edomaca.

< Mwanzo 36 >