< Mwanzo 35 >

1 Kisha Mungu akamwambia Yakobo, “Panda uende Betheli ukakae huko na ukamjengee Mungu madhabahu huko, Yeye aliyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau ndugu yako.”
Cathut ni Jakop koevah, thaw nateh Bethel kho vah cet nateh hawvah awm, na hmau Esaw koehoi na yawng nah nang koe ka kamnuek e Cathut hanelah thuengnae khoungroe hah sak telah ati.
2 Hivyo Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake pamoja na wote waliokuwa naye, “Iondoeni miungu ya kigeni ile iliyoko katikati yenu, jitakaseni na mkabadilishe nguo zenu.
Jakop ni a imthung hoi ama koe kaawm e tami pueng koe, nangmouh koe Jentelnaw e cathut kaawm e hah tâkhawng awh, kamthoung awh, na khohna hah kâthung awh.
3 Kisha njooni, twende Betheli, mahali nitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwa pamoja nami popote nilipokwenda.”
Bethel vah luen awh sei. Rucatnae kâhmo awh lahun navah, na pathung teh ka cei nah tangkuem koevah, na ka awmkhaikung Cathut hanelah khoungroe ka sak han ati.
4 Kwa hiyo wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni waliyokuwa nayo, pamoja na pete zilizokuwa masikioni mwao. Yakobo akavizika chini ya mti wa mwaloni huko Shekemu.
Hottelah hoi miphun alouke cathutnaw e a kut dawk e kaawm e pueng hoi a hnânaw dawk a pacap awh e naw hah Jakop a poe awh. Jakop ni Shekhem teng e kathen kung rahim vah a hro awh.
5 Kisha wakaondoka, na hofu ya Mungu ikawapata miji yote iliyowazunguka. Kwa hiyo hakuna aliyewafuatia wana wa Yakobo.
A cei awh teh, Cathut takinae hah a tengpam e khonaw pueng dawk ao teh Jakop capa hah pâlei awh hoeh.
6 Yakobo na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika Luzu (ndio Betheli), katika nchi ya Kanaani.
Jakop teh ama koe kaawm e naw pueng hoi Kanaan ram Luz vah a pha awh (Luz teh Bethel doeh).
7 Huko akajenga madhabahu na akapaita mahali pale El-Betheli, kwa sababu mahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwake alipokuwa akimkimbia ndugu yake.
Hawvah khoungroe a sak teh, haw e hmuen teh El Bethel telah ati. Bangkongtetpawiteh a hmau koehoi a yawng lahun navah hawvah ahni koe Cathut a kamnue.
8 Wakati huu Debora, mlezi wa Rebeka, akafa na akazikwa chini ya mti wa mwaloni ulioko chini ya Betheli. Kwa hiyo pakaitwa Alon-Bakuthi.
Rebekah ka awmkhaikung Deborah hah a due teh, khoungroe rahim e bengkengkung rahim vah a pakawp awh. Hottelah hoi hote bengkeng e a min teh Allon Bakuth telah ati awh.
9 Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Jakop teh Padam Aram ram lahoi a ban toteh, ahni koe Cathut bout a kamnue teh yawhawi a poe.
10 Mungu akamwambia, “Jina lako ni Yakobo, lakini hutaitwa tena Yakobo, jina lako utakuwa Israeli.” Kwa hiyo akamwita Israeli.
Cathut ni ahni koe na min teh Jakop eiteh, na min teh Jakop telah tet awh mahoeh toe, na min teh Isarel ti han toe telah ati. Hottelah hoi a min hah Isarel telah ati.
11 Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi, ukazae na kuongezeka. Taifa na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme watatoka viunoni mwako.
Hahoi Cathut ni ahni koevah, kai teh Athakasaipounge Cathut lah ka o. Canaw pungdaw nateh, nange miphun dawk hoi siangpahrangnaw a tâco han.
12 Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”
Abraham hoi Isak koevah, ka poe e ram heh nang na poe, na catounnaw totouh ka poe telah ati.
13 Kisha Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale alipozungumza naye.
Hattoteh Cathut ni ahni a patonae hmuen koehoi Jakop teh a luen takhai.
14 Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe mahali pale Mungu alipozungumza naye, akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia akamimina mafuta juu yake.
A patonae hmuen koe Jakop ni talung a ung. A ung e teh talung doeh. A lathueng vah nei thuengnae hah a awi teh, satui hai a van vah a awi.
15 Yakobo akapaita mahali pale Mungu alipozungumza naye Betheli.
Cathut ni a patonae hmuen hah Bethel telah min a phung.
16 Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa umbali fulani kabla ya kufika Efrathi, Raheli akaanza kusikia uchungu na alipata shida kuu.
Bethel hoi a cei awh teh, Ephrath a pha awh nahanelah ahlapoung. Rachel camo o hane a pataw teh pueng hoi patawnae a khang.
17 Alipokuwa katika shida hii katika kujifungua, mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababu umempata mwana mwingine.”
Hahoi, hettelah doeh. A patawnae a khang lahun nah camo kaawm sak e ni taket hanh ca tongpa alouke na khe han dawk doeh telah atipouh.
18 Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni. Lakini babaye akamwita Benyamini.
Hahoi, a muitha a tâco tawmlei vah, a min hah Benoni ati teh, a na pa ni Benjamin telah a phung.
19 Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando ya njia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu).
Rachel a due teh Epharath ceinae lamthung dawk a pakawp awh.
20 Juu ya kaburi lake, Yakobo akasimamisha nguzo, ambayo mpaka leo inatambulisha kaburi la Raheli.
A tangkom van vah Jakop ni talung a ung teh, hothateh nout nahanelah Rachel pakawpnae tangkom lah ao.
21 Israeli akaendelea tena na safari yake na kupiga hema mbele mnara wa Ederi.
Isarel teh pou bout a cei teh, Mikdaleder imrasang hloilah rim a sak.
22 Wakati Israeli alipokuwa akiishi katika nchi ile, Reubeni mwanawe alikutana kimwili na suria wa baba yake aitwaye Bilha, naye Israeli akasikia jambo hili. Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili:
Hahoi, Isarel teh haw e ram dawk ao lahun navah, Reuben ni a na pa e ado Bilhah a ikhai e hah Isarel ni a thai.
23 Wana wa Lea walikuwa: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuloni.
Jakop capanaw teh 12 touh a pha awh. Leah capanaw thung dawk Reuben teh Jakop e camin la ao teh Simeon, Levih, Judah, Issakhar hoi Zebulun tinaw doeh.
24 Wana wa Raheli walikuwa: Yosefu na Benyamini.
Rachel capanaw teh Joseph hoi Benjamin doeh.
25 Wana waliozaliwa na Bilha mtumishi wa kike wa Raheli walikuwa: Dani na Naftali.
Rachel e a san Bilhah capanaw teh Dan hoi Naphtali doeh.
26 Wana waliozaliwa na Zilpa mtumishi wa kike wa Lea walikuwa: Gadi na Asheri. Hawa walikuwa wana wa Yakobo, waliozaliwa kwake akiwa Padan-Aramu.
Leah e sannu Zilpah canaw teh Gad hoi Asher doeh. Hetnaw teh Paddanaram Jakop ni khe e ca tongpanaw doeh.
27 Yakobo akarudi nyumbani kwa baba yake Isaki huko Mamre, karibu na Kiriath-Arba (yaani Hebroni), ambapo walikuwa wameishi Abrahamu na Isaki.
Jakop ni Mamre Kiriatharba (Hebron) e a na pa Isak hoi Abraham onae koe a pha.
28 Isaki aliishi miaka 180.
Isak a hringyung teh kum 180 touh a pha.
29 Kisha Isaki akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.
Isak ni hnukteng a kâha a phout teh a hnin pakhit lahoi a due. A due toteh a huikonaw koe pakawp e lah ao van teh a capa Esaw hoi Jakop ni a pakawp roi.

< Mwanzo 35 >