< Mwanzo 33 >
1 Yakobo akainua macho akamwona Esau akija na watu wake 400, kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike.
Jacob levantou os olhos e olhou, e eis que Esaú estava chegando, e com ele quatrocentos homens. Ele dividiu as crianças entre Leah, Raquel e os dois criados.
2 Akawaweka wale watumishi wa kike na watoto wao mbele, Lea na watoto wake wakafuata, Raheli na Yosefu wakaja nyuma.
Ele colocou os servos e seus filhos na frente, Leah e seus filhos depois, e Rachel e Joseph atrás.
3 Yeye mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara saba alipomkaribia ndugu yake.
Ele mesmo passou na frente deles, e se curvou ao chão sete vezes, até chegar perto de seu irmão.
4 Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki na kumkumbatia, akamwangukia shingoni na kumbusu. Nao wakalia.
Esaú correu para encontrá-lo, abraçou-o, caiu em seu pescoço, beijou-o e eles choraram.
5 Esau akainua macho akawaona wale wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa uliofuatana nao ni nani?” Yakobo akamjibu, “Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”
Ele levantou os olhos e viu as mulheres e as crianças; e disse: “Quem são estes com você?”. Ele disse: “As crianças que Deus graciosamente deu a seu servo”.
6 Kisha wale watumishi wa kike na watoto wao wakakaribia na kusujudu.
Então os servos se aproximaram com seus filhos, e eles se curvaram.
7 Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yosefu na Raheli, nao pia wakasujudu.
Leah também e seus filhos se aproximaram, e se curvaram. Depois deles, José se aproximou com Raquel, e eles se curvaram.
8 Esau akauliza, “Una maana gani kuhusu makundi hayo yote niliyokutana nayo?” Akasema, “Ni ili kupata kibali machoni pako, bwana wangu.”
Esau disse: “O que você quer dizer com toda essa empresa que eu conheci?” Jacob disse: “Para encontrar um favor aos olhos de meu senhor”.
9 Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”
Esau disse: “Já tenho o suficiente, meu irmão; que aquilo que você tem seja seu”.
10 Yakobo akasema, “La hasha! Tafadhali, kama nimepata kibali machoni pako, upokee zawadi hii kutoka kwangu. Kwa maana kuuona uso wako, ni kama kuuona uso wa Mungu, kwa kuwa umenipokea kwa takabali kubwa.
Jacob disse: “Por favor, não, se eu agora encontrei favor em sua visão, então receba meu presente em minhas mãos, porque eu vi seu rosto, como se vê o rosto de Deus, e você ficou satisfeito comigo.
11 Tafadhali ukubali zawadi iliyoletwa kwako, kwa kuwa Mungu amenineemesha na ninavyo vyote ninavyohitaji.” Kwa sababu Yakobo alisisitiza, Esau akapokea.
Por favor, aceite o presente que lhe trouxe, porque Deus tratou-me com bondade, e porque tenho o suficiente”. Ele o exortou, e ele o aceitou.
12 Ndipo Esau akasema, “Na tuendelee na safari, nitakuwa pamoja nawe.”
Esau disse: “Vamos fazer nossa viagem, e vamos, e eu irei antes de você”.
13 Lakini Yakobo akamwambia, “Bwana wangu unajua kwamba watoto ni wachanga na kwamba ni lazima nitunze hawa kondoo wake na ngʼombe wanaonyonyesha. Wakipelekwa kwa haraka hata kama ni kwa siku moja tu, wanyama wote watakufa.
Jacob disse-lhe: “Meu senhor sabe que as crianças são tenras, e que os rebanhos e rebanhos comigo têm seus filhotes, e se um dia eles os superarem, todos os rebanhos morrerão.
14 Hivyo bwana wangu umtangulie mtumishi wako, wakati mimi nikija polepole kwa mwendo wa makundi yaliyo mbele yangu na mwendo wa watoto, mpaka nifike kwa bwana wangu huko Seiri.”
Por favor, deixe meu senhor passar diante de seu servo, e eu seguirei suavemente, de acordo com o ritmo do gado que está diante de mim e de acordo com o ritmo das crianças, até que eu chegue a meu senhor para Seir”.
15 Esau akamwambia, “Basi na niwaache baadhi ya watu wangu pamoja nawe.” Yakobo akauliza, “Lakini kwa nini ufanye hivyo, niache tu nipate kibali machoni pa bwana wangu.”
Esau disse: “Deixe-me agora deixar com você algumas das pessoas que estão comigo”. Ele disse: “Por quê? Deixe-me encontrar um favor aos olhos de meu senhor”.
16 Hivyo siku hiyo Esau akashika njia akarudi Seiri.
Então Esau retornou naquele dia a caminho de Seir.
17 Pamoja na hayo, Yakobo akaenda Sukothi, mahali alipojijengea makazi kwa ajili yake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hii ndiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothi.
Jacob viajou para Succoth, construiu ele mesmo uma casa e fez abrigos para seu gado. Portanto, o nome do lugar é chamado Succoth.
18 Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu, alifika salama katika mji wa Shekemu huko Kanaani na kuweka kambi yake karibu na mji.
Jacob veio em paz para a cidade de Shechem, que fica na terra de Canaã, quando veio de Paddan Aram; e acampou diante da cidade.
19 Akanunua kiwanja kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa bei ya vipande mia vya fedha, ambapo alipiga hema lake.
Ele comprou a parcela de terreno onde havia estendido sua tenda, nas mãos dos filhos de Hamor, pai de Shechem, por cem peças de dinheiro.
20 Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.
Ele ergueu ali um altar, e o chamou de El Elohe Israel.