< Mwanzo 31 >

1 Yakobo akawasikia wana wa Labani wakisema, “Yakobo amechukua kila kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa mali ya baba yetu.”
Un viņš dzirdēja, ka Lābana bērni sacīja: Jēkabs visu paņēmis, kas mūsu tēvam pieder, un no tā, kas mūsu tēvam piederēja, viņš visu šo mantu ir krājis.
2 Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.
Un Jēkabs redzēja Lābana vaigu, un redzi, tas nebija vairs, kā vakar un aizvakar.
3 Ndipo Bwana akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu wako, nami nitakuwa pamoja nawe.”
Un Tas Kungs sacīja uz Jēkabu: griezies atpakaļ uz savu tēva zemi un pie saviem radiem, un Es būšu ar tevi.
4 Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli na Lea waje machungani yalikokuwa makundi yake.
Tad Jēkabs sūtīja un aicināja Rahēli un Leū uz lauku pie savām avīm,
5 Akawaambia, “Naona moyo wa baba yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.
Un sacīja uz tām: es redzu jūsu tēva vaigu, ka tas nav pret mani kā vakar un aizvakar, bet mana tēva Dievs ir bijis ar mani.
6 Mnajua kwamba nimemtumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote,
Un jūs zināt, ka ar visu savu spēku jūsu tēvam esmu kalpojis.
7 hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru.
Bet jūsu tēvs mani pievīlis un manu algu desmitkārt pārgrozījis; tomēr Dievs tam nav vaļas devis, man ļaunu darīt.
8 Kama alisema, ‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye madoadoa, kama alisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye mistari.
Kad viņš tā sacīja: tām lāsainām būs tev būt par algu, tad visas avis vedās lāsainas; un kad viņš tā sacīja: tām strīpainām būs tev būt par algu, tad visas avis vedās strīpainas.
9 Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.
Tā Dievs jūsu tēvam tos lopus ir atņēmis un man devis.
10 “Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.
Un notikās tanī laikā, kad avis apgājās, ka es savas acis pacēlu un redzēju sapnī, un redzi, tie āži, kas apgājās, bija strīpaini, raibi un lāsaini.
11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Tad tas Dieva eņģelis uz mani sacīja sapnī: Jēkab; un es sacīju: še es esmu.
12 Akasema, ‘Inua macho yako uone wale mabeberu wote wanaopanda kundi wana mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa akikutendea.
Un tas sacīja: pacel jel savas acis un skaties, - visi tekuļi, kas apietās ar tām avīm, ir strīpaini, lāsaini un raibi; jo Es visu to esmu redzējis, ko tev Lābans dara.
13 Mimi ndiye Mungu wa Betheli, ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’”
Es esmu Bēteles Dievs, kur tu esi svaidījis piemiņas akmeni, kur tu man solīdamies esi solījies; celies nu un izej no šās zemes un griezies atpakaļ uz savu dzimteni.
14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu?
Tad Rahēle un Lea atbildēja un uz to sacīja: vai mums vēl ir kāda daļa un mantība mūsu tēva namā?
15 Je, yeye hatuhesabu sisi kama wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.
Vai mēs no viņa neesam turētas kā svešas? Jo viņš mūs ir pārdevis un arī mūsu maksu rīdams aprijis.
16 Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto wetu. Hivyo fanya lolote lile Mungu alilokuambia.”
Jo visa bagātība, ko Dievs mūsu tēvam ir atņēmis, pieder mums un mūsu bērniem; un nu dari visu to, ko Dievs tev ir sacījis.
17 Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,
Un Jēkabs cēlās un lika savus bērnus un savas sievas uz kamieļiem;
18 naye akawaswaga wanyama wote mbele yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma huko Padan-Aramu kwenda kwa baba yake Isaki katika nchi ya Kanaani.
Un aizveda visus savus lopus un visu savu mantu, ko Mezopotamijā bija pelnījis, ka ietu pie Īzaka, sava tēva, uz Kanaāna zemi.
19 Labani alipokuwa amekwenda kukata kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya nyumba ya baba yake.
Un Lābans bija aizgājis savas avis cirpt, un Rahēle nozaga tos elka dievus, kas bija viņas tēvam.
20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.
Un Jēkabs pievīla Lābanu, to Sīrieti, nesacīdams, ka bēgšot.
21 Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.
Un viņš bēga ar visu, kas tam bija, un cēlās un pārcēlās pār to lielo upi un grieza savu vaigu uz Gileād kalniem.
22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
Un trešā dienā Lābanam tapa sacīts, Jēkabu esam aizbēgušu.
23 Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.
Tad tas ņēma savus brāļus un dzinās tam pakaļ septiņu dienu gājumu un to panāca uz Gileād kalniem.
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”
Bet Dievs nāca pie Lābana, tā Sīrieša, sapnī un tam sacīja: sargies, ka tu ar Jēkabu nerunā no laba uz ļaunu.
25 Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.
Un Lābans panāca Jēkabu; un Jēkabs savu telti bija uzcēlis kalnā, un Lābans ar saviem brāļiem to uzcēla Gileād kalnos.
26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita.
Tad Lābans sacīja uz Jēkabu: ko tu esi darījis, ka tu mani esi pievīlis un manas meitas aizvedis, tā kā ar zobenu saņemtas?
27 Kwa nini ulikimbia kwa siri na kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?
Kam tu paslepen esi aizbēdzis un no manis nozadzies, un man to neesi sacījis, ka es tev būtu pavadījis ar līksmību un dziesmām, ar bungām un koklēm?
28 Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha kipumbavu.
Un tu man neesi ļāvis skūpstīt savus dēlus un savas meitas. Tu neprātīgi esi darījis.
29 Nina uwezo wa kukudhuru, lakini usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema nami, akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno lolote kwa Yakobo liwe zuri au baya.’
Spēka gan būtu manā rokā jums ļaunu darīt, bet jūsu tēva Dievs vakar uz mani runājis sacīdams: sargies, ka tu ar Jēkabu nerunā no laba uz ļaunu.
30 Sasa umeondoka kwa sababu umetamani kurudi nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?”
Un nu, tu esi ātri aizgājis, jo tu esi ilgodamies ilgojies pēc sava tēva nama; - kāpēc tu esi nozadzis manus dievus?
31 Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyangʼanya binti zako kwa nguvu.
Tad Jēkabs atbildēja un sacīja uz Lābanu: man bija bail un es domāju, ka tu man savas meitas ar varu atņemsi.
32 Lakini kama ukimkuta yeyote aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo, kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiba hiyo miungu.
Bet pie kura tu savus dievus atradīsi, tas lai nepaliek dzīvs mūsu brāļu priekšā. Izmeklē, kas man ir, un ņem tos. Bet Jēkabs nezināja, ka Rahēle tos bija nozagusi.
33 Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya hema la watumishi wawili wa kike, lakini hakukuta chochote. Baadaye alipotoka katika hema la Lea, akaingia hema la Raheli.
Un Lābans gāja Jēkaba teltī un Leas teltī un to abu kalpoņu teltī un neatrada nenieka; un izgāja no Leas telts un iegāja Rahēles teltī.
34 Basi Raheli ndiye alikuwa amechukua ile miungu ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila mahali kwenye hema lakini hakupata chochote.
Bet Rahēle tos elka dievus bija ņēmusi un nolikusi apakš kamieļa sedliem un uzsēdusies tiem virsū. Un Lābans apgrābstīja visu to telti un tos neatrada.
35 Raheli akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.” Labani akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya nyumbani kwake.
Un tā sacīja uz savu tēvu: neapskaisties, mans kungs, ka es priekš tevis nevaru celties, jo man klājās, kā sievām mēdz būt. Un viņš pārmeklēdams neatrada tos elka dievus.
36 Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda?
Tad Jēkabs apskaitās un bārās un sacīja uz Lābanu: kas ir mans noziegums, kas ir mani grēki, ka tu tik karsti man esi dzinies pakaļ?
37 Sasa kwa kuwa umepekua vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi wawili.
Ka tu visus manus rīkus esi aptaustījis; ko tu esi atradis no visiem tava nama rīkiem? Liec to priekšā maniem un taviem brāļiem, ka tie starp mums abiem tiesā.
38 “Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo dume kutoka makundi yako.
Šos divdesmit gadus es pie tevis esmu bijis, tavas avis un tavas kazas nav izmetušās, un tos aunus no tavām avīm es neesmu ēdis.
39 Sikukuletea mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo kwa chochote kilichoibwa mchana au usiku.
To saplosīto es tev neesmu pārnesis, tas man bija jāmaksā; no manas rokas tu to esi prasījis, vai tas bija zagts dienā, vai tas bija zagts naktī.
40 Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi ulinipa.
Es esmu tāds bijis, ka mani dienā karstums nomāca un naktī aukstums, un miegs nenāca manās acīs.
41 Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili, miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe ulibadilisha ujira wangu mara kumi.
Divdesmit gadus esmu bijis tavā namā, četrpadsmit gadus tev esmu kalpojis par tavām divām meitām un sešus gadus par tavām avīm, un tu manu algu desmitkārt esi pārgrozījis.
42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”
Ja mana tēva Dievs, tas Ābrahāma Dievs un Tas, ko Īzaks bijās, pie manis nebūtu bijis, tu nu mani tukšu būtu aizsūtījis. Dievs manas bēdas un manu roku darbu ir uzlūkojis un tevi izgājušā naktī apsaucis.
43 Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto wangu na makundi haya ni makundi yangu. Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu, au kuhusu watoto waliowazaa?
Tad Lābans atbildēja un sacīja uz Jēkabu: tās meitas ir manas meitas, un tie bērni ir mani bērni, un tās avis ir manas avis, un viss, ko tu redzi, tas ir mans; un ko es šodien darīšu šīm manām meitām vai viņu bērniem, ko tās ir dzemdējušas?
44 Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”
Un nu nāc, darīsim derību, es un tu, ka tā ir par liecību starp mani un tevi.
45 Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.
Un Jēkabs ņēma akmeni un to uzcēla par zīmi.
46 Akawaambia jamaa yake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.
Un Jēkabs sacīja uz saviem brāļiem: salasiet akmeņus; un tie ņēma akmeņus un salika tos vienā kopā, un ēda tur virs tās kopas.
47 Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
Un Lābans to nosauca Jegar-Sahāduta (āramiski: liecības kopa), bet Jēkabs to nosauca Galed (ebrejiski: liecības kopa).
48 Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
Un Lābans sacīja: šī kopa lai šodien liecību dod starp mani un tevi; tāpēc viņas vārdu nosauca Galedu
49 Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “Bwana na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.
Un Micpu, tāpēc ka viņš sacīja: Tas Kungs lai skatās uz mani un uz tevi, kad mēs viens otru neredzēsim.
50 Kama ukiwatenda mabaya binti zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni shahidi kati yako na mimi.”
Ja tu apbēdināsi manas meitas un ņemsi citas sievas pie manām meitām klāt, - neviens nav pie mums, redzi, Dievs būs liecinieks starp mani un tevi.
51 Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.
Tad Lābans sacīja uz Jēkabu: redz, šī kopa, un redz, šī piemiņas zīme, ko es esmu uzcēlis starp mani un tevi.
52 Lundo hili ni shahidi na nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande wangu kunidhuru.
Šī kopa lai dod liecību un šī zīme lai dod liecību, ka es gar šo kopu nenoiešu pie tevis, ļauna darīt, un ka tev gar šo kopu un šo zīmi nebūs pie manis nākt, ļauna darīt.
53 Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue kati yetu.” Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya baba yake Isaki.
Ābrahāma Dievs un Nahora Dievs un viņu tēvu Dievs lai tiesā starp mums.
54 Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko.
Un Jēkabs zvērēja pie tā, ko viņa tēvs Īzaks bijās, un upurēja upuri kalnā un aicināja savus brāļus maizi ēst. Un tie ēda maizi un palika par nakti uz tā kalna.
55 Kesho yake asubuhi na mapema, Labani akawabusu wajukuu zake, binti zake na kuwabariki. Kisha akaondoka, akarudi nyumbani.
Un Lābans cēlās rītā agri un skūpstīja savus bērnus un savas meitas un tos svētīja. Un Lābans aizgāja un griezās atpakaļ uz savu vietu.

< Mwanzo 31 >