< Mwanzo 31 >

1 Yakobo akawasikia wana wa Labani wakisema, “Yakobo amechukua kila kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa mali ya baba yetu.”
Aftir that Jacob herde the wordis of the sones of Laban, that seiden, Jacob hath take awei alle thingis that weren oure fadris, and of his catel Jacob is maad riche, and noble.
2 Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.
Also Jacob perseyuede the face of Laban, that it was not ayens hym as yistirdai, and the thridde dai agoon,
3 Ndipo Bwana akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu wako, nami nitakuwa pamoja nawe.”
moost for the Lord seide to hym, Turne ayen into the lond of thi fadris, and to thi generacioun, and Y shal be with thee.
4 Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli na Lea waje machungani yalikokuwa makundi yake.
He sente, and clepide Rachel, and Lya, in to the feeld, where he kepte flockis, and he seide to hem,
5 Akawaambia, “Naona moyo wa baba yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.
Y se the face of youre fadir, that it is not ayens me as `yisterdai and the thridde dai agoon; but God of my fadir was with me.
6 Mnajua kwamba nimemtumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote,
And ye witen that with alle my strengthis Y seruede youre fadir;
7 hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru.
but and youre fadir disseyuyde me, and chaungide my meede ten sithis; and netheles God suffride not hym to anoye me.
8 Kama alisema, ‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye madoadoa, kama alisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye mistari.
If he seide ony tyme, Dyuerse colourid sheep schulen be thi medis, alle sheep brouyten forth dyuerse colourid lambren; forsothe whanne he seide ayenward, Thou shalte take alle white for mede, alle the flockis brouyten forth white beestis;
9 Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.
and God took a wey the substaunce of youre fadir, and yaf to me.
10 “Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.
For aftir that the tyme of conseyuyng of sheep cam, Y reiside myn iyen, and seiy in sleep malis dyuerse, and spotti, and of dyuerse colouris, stiynge on femalis.
11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
And the aungel of the Lord seide to me in sleep, Jacob! and Y answeride, Y am redy.
12 Akasema, ‘Inua macho yako uone wale mabeberu wote wanaopanda kundi wana mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa akikutendea.
Which seide, Reise thin iyen, and se alle malis dyuerse, byspreynt, and spotti, stiynge on femalis; for Y seiy alle thingis whiche Laban dide to thee;
13 Mimi ndiye Mungu wa Betheli, ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’”
Y am God of Bethel, where thou anoyntidist a stoon, and madist auow to me. Now therefor rise thou, and go out of this lond, and turne ayen in to the lond of thi birthe.
14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu?
And Rachel and Lya answeriden, Wher we han ony thing residue in the catels, and eritage of oure fadir?
15 Je, yeye hatuhesabu sisi kama wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.
Wher he `arettide not vs as aliens, and selde, and eet oure prijs?
16 Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto wetu. Hivyo fanya lolote lile Mungu alilokuambia.”
But God took awei the richessis of oure fadir, and yaf tho to vs, and to oure sones; wherfor do thou alle thingis whiche God hath comaundide to thee.
17 Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,
Forsothe Jacob roos, and puttide hise fre children and wyues on camels, and yede forth;
18 naye akawaswaga wanyama wote mbele yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma huko Padan-Aramu kwenda kwa baba yake Isaki katika nchi ya Kanaani.
and he took al his catel, flockis, and what euer thing he hadde gete in Mesopotanye, and yede to Isaac, his fadir, into the lond of Canaan.
19 Labani alipokuwa amekwenda kukata kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya nyumba ya baba yake.
In that tyme Laban yede to schere scheep, and Rachel stal the idols of hir fadir.
20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.
And Jacob nolde knouleche to the fadir of his wijf, that he wolde fle;
21 Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.
and whanne he hadde go, as wel he as alle thingis that weren of his riyt, and whanne he hadde passid the water, and he yede ayens the hil of Galaad,
22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
it was teld to Laban, in the thridde dai, that Jacob fledde.
23 Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.
And Laban took his britheren, and pursuede hym seuene daies, and took hym in the hil of Galaad.
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”
And Laban seiy in sleep the Lord seiynge to him, Be war that thou speke not ony thing sharpli ayens Jacob.
25 Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.
And thanne Jacob hadde stretchid forth the tabernacle in the hil; and whanne he hadde sued Jacob with his britheren, `he settide tente in the same hil of Galaad; and he seide to Jacob,
26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita.
Whi hast thou do so, that the while I wiste not thou woldist dryue awey my douytris as caitifs by swerd?
27 Kwa nini ulikimbia kwa siri na kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?
Whi woldist thou fle the while Y wiste not, nether woldist shewe to me, that Y shulde sue thee with ioie, and songis, and tympans, and harpis?
28 Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha kipumbavu.
Thou suffridist not that Y schulde kisse my sones and douytris; thou hast wrouyt folili.
29 Nina uwezo wa kukudhuru, lakini usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema nami, akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno lolote kwa Yakobo liwe zuri au baya.’
And now sotheli myn hond mai yelde yuel to thee, but the God of thi fadir seide to me yisterdai, Be war that thou speke not ony harder thing with Jacob.
30 Sasa umeondoka kwa sababu umetamani kurudi nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?”
Suppose, if thou coueitedist to go to thi kynesmen, and the hows of thi fadir was in desir to thee, whi hast thou stole my goddis?
31 Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyangʼanya binti zako kwa nguvu.
Jacob answeride, That Y yede forth while thou wistist not, Y dredde lest thou woldist take awey thi douytris violentli;
32 Lakini kama ukimkuta yeyote aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo, kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiba hiyo miungu.
sotheli that thou repreuest me of thefte, at whom euer thou fyndist thi goddis, be he slayn bifor oure britheren; seke thou, what euer thing of thine thou fyndist at me, and take awei. Jacob seide these thingis, and wiste not that Rachel stal the idols.
33 Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya hema la watumishi wawili wa kike, lakini hakukuta chochote. Baadaye alipotoka katika hema la Lea, akaingia hema la Raheli.
And so Laban entride into the tabernacle of Jacob, and of Lya, and of euer eithir meyne, and foond not; and whanne Laban hadde entrid in to the tente of Rachel,
34 Basi Raheli ndiye alikuwa amechukua ile miungu ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila mahali kwenye hema lakini hakupata chochote.
sche hastide, and hidde the idols vndur the strewyngis of the camel, and sat aboue. And sche seide to Laban, sekynge al the tente and fyndynge no thing,
35 Raheli akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.” Labani akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya nyumbani kwake.
My lord, be not wrooth that Y may not rise bifore thee, for it bifelde now to me bi the custom of wymmen; so the bisynesse of the sekere was scorned.
36 Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda?
And Jacob bolnyde, and seide with strijf, For what cause of me, and for what synne of me, hast thou come so fersly aftir me,
37 Sasa kwa kuwa umepekua vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi wawili.
and hast souyt al `the portenaunce of myn hous? What `hast thou founde of al the catel of thin hows? Putte thou here bifore my britheren and thi britheren, and deme thei betwixe me and thee.
38 “Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo dume kutoka makundi yako.
Was I with thee herfore twenti yeer? Thi sheep and geet weren not bareyn, Y eet not the rammes of thi flok,
39 Sikukuletea mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo kwa chochote kilichoibwa mchana au usiku.
nether Y schewide to thee ony thing takun of a beeste; Y yeldide al harm; what euer thing perischide bi thefte, thou axidist of me;
40 Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi ulinipa.
Y was angwischid in dai and nyyt with heete and frost, and sleep fledde fro myn iyen;
41 Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili, miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe ulibadilisha ujira wangu mara kumi.
so Y seruede thee bi twenti yeer in thin hows, fourtene yeer for thi douytris, and sixe yeer for thi flockis; and thou chaungidist my mede ten sithis.
42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”
If God of my fadir Abraham, and the drede of Isaac hadde not helpid me, perauenture now thou haddist left me nakid; the Lord bihelde my turmentyng and the traueyl of myn hondis, and repreuyde thee yistirdai.
43 Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto wangu na makundi haya ni makundi yangu. Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu, au kuhusu watoto waliowazaa?
Laban answeride hym, The douytris, and thi sones, and flockis, and alle thingis whiche thou seest, ben myne, what mai Y do to my sones, and to the sones of sones?
44 Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”
Therfor come thou, and make we boond of pees, that it be witnessyng bitwixe me, and thee.
45 Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.
And so Jacob took a stoon, and reiside it in to a signe, and seide to hise britheren,
46 Akawaambia jamaa yake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.
Brynge ye stoonus; whiche gadriden, and maden an heep, and eten on it.
47 Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
And Laban clepide it the heep of wittnesse, and Jacob clepide it the heep of witnessyng; euer eithir clepide bi the proprete of his langage.
48 Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
And Laban seide, This heep schal be witnesse bytwixe me and thee to day, and herfor the name therof was clepid Galaad, that is, the heep of witnesse.
49 Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “Bwana na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.
And Laban addide, The Lord biholde, and deme bitwixe vs, whanne we schulen go awei fro yow;
50 Kama ukiwatenda mabaya binti zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni shahidi kati yako na mimi.”
if thou schalt turmente my douytris, and if thou schal brynge yn othere wyues on hem, noon is witnesse of oure word, outakun God, whiche is present, and biholdith.
51 Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.
And eft he seide to Jacob, Lo! this heep, and stoon, whiche Y reiside bitwixe me and thee, schal be witnesse;
52 Lundo hili ni shahidi na nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande wangu kunidhuru.
sotheli this heep, and stoon be in to witnessyng, forsothe if Y schal passe it, and go to thee, ether thou shalt passe, and thenke yuel to me.
53 Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue kati yetu.” Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya baba yake Isaki.
God of Abraham, and God of Nachor, God of the fadir of hem, deme bitwixe vs. Therfor Jacob swoor by the drede of his fadir Ysaac;
54 Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko.
and whanne slayn sacrifices weren offrid in the hil, he clepyde his britheren to ete breed, and whanne thei hadden ete, thei dwelliden there.
55 Kesho yake asubuhi na mapema, Labani akawabusu wajukuu zake, binti zake na kuwabariki. Kisha akaondoka, akarudi nyumbani.
Forsothe Laban roos bi nyyt, and kisside his sones, and douytris, and blesside hem, and turnede ayen in to his place.

< Mwanzo 31 >