< Mwanzo 31 >

1 Yakobo akawasikia wana wa Labani wakisema, “Yakobo amechukua kila kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa mali ya baba yetu.”
Ya: igobe da La: iba: ne egefelali ilia sia: i amane, “Ya: igobe da ninia ada ea gagui huluane wamolai dagoi. Ea gagui huluane da ninia ada ea musa: gagui liligi,” amo sia: Ya: igobe da nabi.
2 Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.
Musa: La: iba: ne da ema asigisu be wali da hame asigi, amo amola e da ba: i galu.
3 Ndipo Bwana akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu wako, nami nitakuwa pamoja nawe.”
Amalalu, Hina Gode da ema amane sia: i, “Dia ada amola dia fi dunu ilia sogega buhagima. Na da di sigi masunu.”
4 Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli na Lea waje machungani yalikokuwa makundi yake.
Amaiba: le, Ya: igobe da La: isele amola Lia amo ela da gisi odagiaba sogebi amo ganodini ea sibi gilisili dialebe ba: i, amoga e yosia: musa: misa: ne sia: i.
5 Akawaambia, “Naona moyo wa baba yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.
E da elama amane sia: i, “Alia ada da ea musa: hou fisili, wali nama hame asigisa, na da ba: i dagoi. Be na ada ea Gode da na fidimusa: lelu.
6 Mnajua kwamba nimemtumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote,
Alia dawa: ! Na da na gasa huluane amoga dia ada ea hawa: hamosu.
7 hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru.
Be e da nama ogogoi. Amola e da na muni logo nabuane afadenei. Be Gode da fidibiba: le, e da na hame wadela: lesi.
8 Kama alisema, ‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye madoadoa, kama alisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye mistari.
La: iba: ne da, ‘Daginisisi gadofo goudi da dia bidi lamu gala’ amo sia: noba, goudi huluane da daginisisi agoane lalelegei. Amola e da, ‘gadofo fifi hamoi goudi amola da dia bidi lamu gala’ amo sia: noba, goudi huluane da gadofo fifi agoane ba: i.
9 Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.
Gode da dia ada gebo fi huluane fadegale, nama i dagoi.
10 “Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.
Eso afaega, eso amoga lai ohe fi da mano lasu hou hamosa, amo esoga na da simasia ba: i agoane, goudi gawali huluane da aseme ilima mano lama: ne hamomusa: doaga: loba, ilia huluane da fifi amola daginisisi amola hoholei agoane ba: i.
11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Simasia ganodini, Gode Ea a: igele dunu da nama amane sia: i, ‘Ya: igobe!’ Na bu adole i, ‘Na wea!’
12 Akasema, ‘Inua macho yako uone wale mabeberu wote wanaopanda kundi wana mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa akikutendea.
Amalalu, E da amane sia: i, ‘Ba: le gadoma! Goudi gawali huluane da mano lasu hou hamosa, huluane da fifi amola daginisisi amola hoholei fawane. Na da La: iba: ne ea hou dima hamonana, amo Na ba: i dagoiba: le, amo hou hamoi dagoi.
13 Mimi ndiye Mungu wa Betheli, ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’”
Na da Bedele (amoga di da igi busafugulu modale ligiagamusa: , olife susuligi sogadigili, gasa bagade Nama fa: no bobogema: ne sia: i) amo sogebi Gode esala. Wahadafa dia liligi momagele, amo soge yolesili dia sogedafa amoga buhagima.’”
14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu?
La: isele amola Lia da Ya: igobema bu adole i, “Ania ada ema ani nana liligi lamu da hamedei.
15 Je, yeye hatuhesabu sisi kama wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.
Ea da ani ga fi agoane ba: sa. E da ani bidi lai dagoi amola wali e da muni huluane ani bidi lama: ne lai, amo huluane e da ha: digi dagoi.
16 Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto wetu. Hivyo fanya lolote lile Mungu alilokuambia.”
Muni amola liligi huluane amo Gode da La: iba: nema fadegai, amo huluane da ninia: amola ninia mano ilia: Di Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoma.”
17 Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,
Amalalu Ya: igobe da ea liligi huluane momagele, ea ada ea diasu Ga: ina: ne soge ganodini amoga buhagimusa: momagei. E da ea mano huluane amola ea uda ga: mele da: iya fila heda: ma: ne sia: i. Ea sibi amola ea goudi gilisisu, e bisima: ne sefasi. E da liligi huluane e da Mesoubouda: imia sogega lai, amo gaguli asi.
18 naye akawaswaga wanyama wote mbele yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma huko Padan-Aramu kwenda kwa baba yake Isaki katika nchi ya Kanaani.
19 Labani alipokuwa amekwenda kukata kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya nyumba ya baba yake.
La: iba: ne da ea sibi hinabo damumusa: asi dagoi ba: i. La: isele da ea ada ea loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi amo wamolai.
20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.
Ya: igobe amola da La: iba: nema ogogoi. E da hobea: i be La: iba: ne hame adoi.
21 Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.
Amaiba: le, ea liligi huluane gaguli, e da hobea: i. E da Iufala: idisi Hano degele, Gilia: de goumi soge amoga doaga: musa: asi.
22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
Eso udiana asili, La: iba: ne da Ya: igobe ea hobea: i nabi.
23 Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.
E da ea fi dunu sigi asili, eso fesuale fa: no bobogele, Gilia: de goumi sogega, Ya: igobema doaga: i.
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”
Amalalu, La: iba: ne da simasia, Gode da ema amane sia: i, “Dawa: ma! Ya: igobema maedafa baduguma!”
25 Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.
La: iba: ne da Ya: igobema doaga: loba, Ya: igobe da ea abula diasu Gilia: de goumi soge amo ganodini gagui dialebe ba: i. La: iba: ne amola ea fi dunu da amoga ilia abula diasu gaguli esalu.
26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita.
Amalalu, La: iba: ne da Ya: igobema amane sia: i, “Di da abuliba: le nama ogogoi, amola na uda mano amo uda da gasawane gegei ganodini suguli lai defele, hiouginana asi dagoi.
27 Kwa nini ulikimbia kwa siri na kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?
Abuli nama ogogole, mae adole udigili hobea: i. Di da nama adole ba: loba, na da di hahawane asigi gesami hea: su amola sani baidama amola eno liligi dusa asili, di asunasila: loba.
28 Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha kipumbavu.
Di udigili hobea: iba: le, na mano amola na aowa asigibio nonogomu da hamedei ba: i. Amo da gagaoui hou di da hamoi.
29 Nina uwezo wa kukudhuru, lakini usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema nami, akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno lolote kwa Yakobo liwe zuri au baya.’
Na da di wadela: musa: gasa gala. Be aya gasia Gode da nama sisasu. E da di mae badugama: ne, nama sia: i.
30 Sasa umeondoka kwa sababu umetamani kurudi nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?”
Di da dia sogedafa amoga buhagimu hanaiba: le fisili asi, amo na dawa: Be di da abuliba: le na fi loboga hamoi ‘gode’ liligi wamolabala?”
31 Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyangʼanya binti zako kwa nguvu.
Ya: igobe da bu adole i, “Di da dia uda mano amo bu samogesa: besa: le, na hobea: i.
32 Lakini kama ukimkuta yeyote aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo, kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiba hiyo miungu.
Be nowa da dia loboga hamoi ‘gode’ liligi wamolai, amo ninia da fane legemu. Wali ninia fi dunu da ba: su dunu esala. Di hogoi helema. Adi liligi da dia liligi ba: sea, defea, bu lama.” La: isele da La: iba: ne ea ‘gode’ liligi wamolai, amo Ya: igobe da hame dawa: i galu.
33 Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya hema la watumishi wawili wa kike, lakini hakukuta chochote. Baadaye alipotoka katika hema la Lea, akaingia hema la Raheli.
La: iba: ne da asili, Ya: igobe ea abula diasu ganodini hogoi. Amalalu, e da Lia abula diasuga asi, amola udigili hawa: hamosu uda aduna amo ela diasu. Be ea ‘gode’ liligi hame ba: i. Amalalu, e da La: isele ea diasuga asi.
34 Basi Raheli ndiye alikuwa amechukua ile miungu ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila mahali kwenye hema lakini hakupata chochote.
La: isele da amo ‘gode’ liligi lale, ga: mele ea baligiga legesu esa amo ganodini salawane, amo da: iya fi galu. La: iba: ne da abula diasu huluane hogoi helele, hame ba: i.
35 Raheli akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.” Labani akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya nyumbani kwake.
La: isele da ea adama amane sia: i, “Ada! Nama mae ougima! Na da wa: legadomu gogolei galebe. Na da oubiga sioi fi galebe,” e ogogole amane sia: i. La: iba: ne da hogoi helele, be ea loboga hamoi ‘gode’ hame ba: i.
36 Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda?
Amalalu, Ya: igobe da mi hanai galu. E ougili amane sia: i, “Na da adi wadela: i hou hamobela: ? Na da adi sema fibiba: le, di da nama benea ahoasu dunu defele nama se bobogebela: ?
37 Sasa kwa kuwa umepekua vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi wawili.
Di da na liligi ganodini hogoi helebeba: le, dia liligi ba: bela: ? Amai galea, gadili ligisili, dia dunu amola na dunu da fofada: lalu, ninia da moloidafa dunu ba: mu.
38 “Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo dume kutoka makundi yako.
Na da wali ode 20 agoane, dia hawa: hamosu. Dia sibi amola dia goudi da mano bagohame lai dagoi. Sibi gawali dia sibi gilisisu amo ganodini esalebe, na da hamedafa mai.
39 Sikukuletea mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo kwa chochote kilichoibwa mchana au usiku.
Sibi da gasonasu ohe fi amoga medole legei ba: loba, na da nisu dabe i. Na da na hou dodofemusa: amo medole legei liligi dima hame gaguli misi. Esoga o gasi ganodini, liligi wamolai ba: loba, di da nama fawane dabe lai dagoi.
40 Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi ulinipa.
Eso bagohame na da se nabi. Esoga eso gia: i bagade amola gasi ganodini anegagi. Na da golamu gogolei.
41 Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili, miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe ulibadilisha ujira wangu mara kumi.
Amo hou da ode 20 agoane na da dia sogega esalu, agoaiwane ba: i. Ode 14 na da dia uda mano aduna bidi lama: ne udigili hawa: hamosu. Ode 6 amoga na da dia lai gebo gilisisu ouligisu. Na da na sibi amola goudi gilisisu lama: ne hawa: hamosu. Di amola da amo ganodini na bidi nabuane agoane afadenei.
42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”
Na ada A: ibalaha: me amola Aisage ela Gode da na hame fidi ganiaba, di da na udigili bidi mae lalewane asunasila: loba. Be Gode da na se nabasu amola na hawa: hamosu ba: i dagoi. Aya gasia E da dima gagabole sia: ne, Ea fofada: su hamoi dima olelei dagoi.”
43 Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto wangu na makundi haya ni makundi yangu. Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu, au kuhusu watoto waliowazaa?
La: iba: ne da Ya: igobema bu adole i, “Amo uda da na mano esala. Ilia manolali da na manolali. Lai gebo gilisisu huluane guiguda: goe da na: Liligi huluane di guiguda: ba: sa, amo da na liligi. Be na da na mano amola ilia mano gagumusa: hamedei ba: sa.
44 Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”
Amaiba: le, na da dima gousa: su hamomu gala. Ninia amo mae gogolema: ne, igi gilisili bi ilegele hamomu da defea.”
45 Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.
Amaiba: le, Ya: igobe da igi afae lale, wanonesisu hamoma: ne ligisi.
46 Akawaambia jamaa yake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.
Ea sia: beba: le, ea dunu da igi eno gilisili, bi hamoi. Amalalu, amo igi gilisi bi dafulili, ilia da lolo mai.
47 Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
La: iba: ne da amo igi bi dio asuli amo Yiga Sa: ihaduda. Ya: igobe da amo igi bi dio eno asuli amo Ga: liede. (Hibulu sia: - Mae Gogolema: ne Bi Gagui).
48 Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
La: iba: ne da Ya: igobema amane sia: i, “Amo igi bi da anima mae gogolema: ne ilegei dialumu.” Amaiba: le, amo sogebi ea dio da Ga: liede.
49 Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “Bwana na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.
La: iba: ne da eno amane sia: i, “Ania da afafamuba: le, Gode da ani noga: le ba: mu da defea.” Amaiba: le, amo sogebi dio eno da Misiba. (Ba: su Sogebi).
50 Kama ukiwatenda mabaya binti zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni shahidi kati yako na mimi.”
La: iba: ne e da amane sia: i, “Di da na uda mano wadela: lesisia o eno uda lasea, ania da afafamuba: le na da hame dawa: mu. Be mae gogolema. Gode da ani ba: lala.
51 Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.
Igi bi na hamoi da goea. Amola amo da mae gogolema: ne igi diala.
52 Lundo hili ni shahidi na nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande wangu kunidhuru.
Amo igi bi amola igi ilegei da agoane olelesa. Na da di doagala: musa: masea, amo igi bi baligimu da sema bagade. Amola di da nama doagala: musa: ahoasea, amo baligimu da sema bagade.
53 Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue kati yetu.” Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya baba yake Isaki.
A: ibalaha: me ea Gode amola Na: iho ea Gode da anima fofada: su dunu esala.” Amalalu Ya: igobe da Gode (Ema ea eda Aisage da nodone sia: ne gadosu) amo Ea Dioba: le, amo sema noga: le dawa: ma: ne, dafawane ilegele sia: i.
54 Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko.
E da ohe afae fane, gobele salasu hou amo goumia hamone, ea fi dunu amo lolo moma: ne sia: i. Ha: i nanu, ilia amo gasia goumi da: iya esalu.
55 Kesho yake asubuhi na mapema, Labani akawabusu wajukuu zake, binti zake na kuwabariki. Kisha akaondoka, akarudi nyumbani.
Hahabedafa, La: iba: ne da ea aowa huluane amola ea uda mano ilima asigibio nonogonanu, hi diasuga buhagimusa: fisili asi.

< Mwanzo 31 >