< Mwanzo 3 >

1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini ambao Bwana Mungu aliwafanya. Nyoka akamwambia mwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwe msile matunda ya mti wowote wa bustanini’?”
and [the] serpent to be prudent from all living thing [the] land: country which to make LORD God and to say to(wards) [the] woman also for to say God not to eat from all tree [the] garden
2 Mwanamke akamjibu nyoka, “Tunaweza kula matunda ya miti iliyoko bustanini,
and to say [the] woman to(wards) [the] serpent from fruit tree [the] garden to eat
3 lakini Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio katikati ya bustani, wala kuugusa, la sivyo mtakufa.’”
and from fruit [the] tree which in/on/with midst [the] garden to say God not to eat from him and not to touch in/on/with him lest to die [emph?]
4 Lakini nyoka akamwambia mwanamke, “Hakika hamtakufa.
and to say [the] serpent to(wards) [the] woman not to die to die [emph?]
5 Kwa maana Mungu anajua ya kuwa wakati mtakapoyala, macho yenu yatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.”
for to know God for in/on/with day to eat you from him and to open eye your and to be like/as God to know pleasant and bad: evil
6 Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mti huo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendeza macho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima, basi akachuma katika matunda yake, akala, pia akampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, naye akala.
and to see: see [the] woman for good [the] tree to/for food and for desire he/she/it to/for eye and to desire [the] tree to/for be prudent and to take: take from fruit his and to eat and to give: give also to/for man: husband her with her and to eat
7 Ndipo macho yao wote wawili yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwa uchi; hivyo wakashona majani ya mtini, wakajifunika.
and to open eye two their and to know for naked they(masc.) and to sew leaf fig and to make to/for them belt
8 Ndipo yule mwanaume na mkewe, waliposikia sauti ya Bwana Mungu alipokuwa akitembea bustanini jioni, wakajificha kutoka mbele za Bwana Mungu katikati ya miti ya bustani.
and to hear: hear [obj] voice: sound LORD God to go: walk in/on/with garden to/for spirit: breath [the] day and to hide [the] the man (Adam) and woman: wife his from face LORD God in/on/with midst tree [the] garden
9 Lakini Bwana Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?”
and to call: call to LORD God to(wards) [the] the man (Adam) and to say to/for him where? you
10 Naye akajibu, “Nilikusikia katika bustani nikaogopa kwa sababu nilikuwa uchi, hivyo nikajificha.”
and to say [obj] voice: sound your to hear: hear in/on/with garden and to fear for naked I and to hide
11 Mungu akamuuliza, “Ni nani aliyekuambia ya kuwa ulikuwa uchi? Je, umekula matunda ya mti niliokuamuru usile?”
and to say who? to tell to/for you for naked you(m. s.) from [the] tree which to command you to/for lest to eat from him to eat
12 Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami alinipa sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami nikala.”
and to say [the] the man (Adam) [the] woman which to give: give with me me he/she/it to give: give to/for me from [the] tree and to eat
13 Ndipo Bwana Mungu akamuuliza mwanamke, “Ni nini hili ambalo umelifanya?” Mwanamke akajibu, “Nyoka alinidanganya, nami nikala.”
and to say LORD God to/for woman what? this to make: do and to say [the] woman [the] serpent to deceive me and to eat
14 Hivyo Bwana Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hili, “Umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa na wa porini! Utatambaa kwa tumbo lako na kula mavumbi siku zote za maisha yako.
and to say LORD God to(wards) [the] serpent for to make: do this to curse you(m. s.) from all [the] animal and from all living thing [the] land: country upon belly your to go: went and dust to eat all day life your
15 Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na wake, yeye atakuponda kichwa, nawe utamuuma kisigino.”
and enmity to set: put between you and between [the] woman and between seed: children your and between seed: children her he/she/it to bruise you head and you(m. s.) to bruise him heel
16 Kwa mwanamke akasema, “Nitakuzidishia sana utungu wakati wa kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto. Tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala.”
to(wards) [the] woman to say to multiply to multiply toil your and conception your in/on/with toil to beget son: child and to(wards) man: husband your desire your and he/she/it to rule in/on/with you
17 Kwa Adamu akasema, “Kwa sababu umemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenye mti niliokuamuru, ‘Msile tunda lake,’ “Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako, kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho humo siku zote za maisha yako.
and to/for Adam to say (for *LA(bh)*) to hear: hear to/for voice woman: wife your and to eat from [the] tree which to command you to/for to say not to eat from him to curse [the] land: soil in/on/with for the sake of you in/on/with toil to eat her all day life your
18 Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako, nawe utakula mimea ya shambani.
and thorn and thistle to spring to/for you and to eat [obj] vegetation [the] land: country
19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula chako hadi utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo, kwa kuwa wewe u mavumbi na mavumbini wewe utarudi.”
in/on/with sweat face your to eat food: bread till to return: return you to(wards) [the] land: soil for from her to take: take for dust you(m. s.) and to(wards) dust to return: return
20 Adamu akamwita mkewe Eva, kwa kuwa atakuwa mama wa wote walio hai.
and to call: call by [the] the man (Adam) name woman: wife his Eve for he/she/it to be mother all alive
21 Bwana Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
and to make LORD God to/for Adam and to/for woman: wife his tunic skin and to clothe them
22 Kisha Bwana Mungu akasema, “Sasa mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya. Sharti asiruhusiwe kunyoosha mkono wake na kuchuma pia kutoka mti wa uzima akala, naye akaishi milele.”
and to say LORD God look! [the] the man (Adam) to be like/as one from us to/for to know good and bad: evil and now lest to send: reach hand his and to take: take also from tree [the] life and to eat and to live to/for forever: enduring
23 Hivyo Bwana Mungu akamfukuzia mbali kutoka Bustani ya Edeni, akalime ardhi ambamo alitolewa.
and to send: depart him LORD God from garden Eden to/for to serve: labour [obj] [the] land: soil which to take: take from there
24 Baada ya kumfukuzia mbali Adamu, Mungu akaweka makerubi mashariki ya Bustani ya Edeni, pamoja na upanga wa moto ukimulika huku na huko kulinda njia ya kuuendea mti wa uzima.
and to drive out: drive out [obj] [the] the man (Adam) and to dwell from front: east to/for garden Eden [obj] [the] cherub and [obj] flame [the] sword [the] to overturn to/for to keep: guard [obj] way: road tree [the] life

< Mwanzo 3 >