< Mwanzo 29 >

1 Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.
Yaaq'ub ayk'anna şargılyne milletbışde cigabışeeqa.
2 Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.
Çoleeab mang'uk'le sa kahrız g'ooce. Mançine k'anya'ad xhebılle vəq'əbışin syuru g'alitxhu eyxhe. Vəq'əbışis mane kahrızeençe xhyan hele ıxha. Kahrızne ghalelib xəbna g'aye vooxhe.
3 Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.
Gırgın vəq'əbı maqa sadıyng'a, çobanaaşe kahrızne ghalelyna g'aye qavaak'anav'u vəq'əbışis ats'esın xhyanbı huvu, g'aye giviyxhe vuxhana çine cigaylqa kahrızne ghalilyqa.
4 Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”
Yaaq'ubee manbışike qiyghanan: – Çocar, şu nençenbıne vob? Manbışe eyhen: – Şi Xaraneençenbı vob.
5 Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”
Yaaq'ubee manbışik'le eyhen: – Naxorna neva Lavan ats'anane? Manbışe eyhen: – Ats'ana.
6 Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?” Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”
Yaaq'ubee manbışike qiyghanan: – Mana yugrayee? Manbışe eyhen: – Ho'o, yugra vor. Haaşe, mang'una yiş Raahile cune vəq'əbışika qöövur.
7 Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”
Yaaq'ubee eyhen: – Verığ axtıvaleevub, vəq'əbı sa'ana vaxt vuxha deşub. Vəq'əbışis xhyan huvu, uxhiyxhanas ıkkee.
8 Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”
Manbışe eyhen: – Çobanaaşe gırgın vəq'əbı sacigeeqa sidi'ı, g'aye kahrızne ghalele qavaak'an hidyav'u, man ha'as ixhes deş. Man gırgın hı'iyle qiyğa şasse xhyan heles əxə.
9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.
Yaaq'ub manbışika yuşana'ang'a, Raahilee dekkın vəq'əbı qadayle. Raahileyib çobaniyvallaniy haa'a.
10 Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.
Yaaq'ubık'le dayisiy Lavanna yiş Raahileyiy con vəq'əbı g'acesse, mang'vee ark'ın g'aye qavaak'anav'u dayisiyne vəq'əbışis xhyan hele.
11 Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.
Qiyğa Yaaq'ubee Raahileys ubba hı'ı axtıra geşşe giyğal.
12 Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.
Mang'vee Raahileyk'le dekkıne ebanbışikena Rivq'ayna dix ıxhay eyhe. Raahilee g'adeexvan ark'ın man dekkıs yuşan ha'a.
13 Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.
Lavanık'le yiçeyna dix arıva g'ayxhımee, g'adayxvan ögiylqa qığeç'e. Mana xhılibışeqa sı'ı ubba hı'ı cune xaaqa qıkkekka. Yaaq'ubee gırgın kar Lavanıs yuşan ha'an.
14 Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,
Lavanee mang'uk'le eyhen: – Ğu hək'erar yizde ebanavur. Yaaq'ub manbışəng'ə sa vazna axuyle qiyğa,
15 Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”
Lavanee mang'uk'le eyhen: – Nya'a, ğu yizda ebanava, ğu zas q'ərabne iş haa'as? Zak'le eyhelan yiğna hək' hucoone vuxhes?
16 Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.
Lavanıqa q'öyre yişniy vor: xərıng'ı'n do Leaniy, k'ıning'ı'nıd Raahileniy vod.
17 Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Leayne uleppışik'le torandaniy g'ece, Raahileme ul givxhasda, xhyan ittuna içiy yixha.
18 Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”
Yaaq'ubus Raahile yikkiykınil-alla eyhen: – K'ınne yiş Raahileynimee zı vas yighılle senna iş g'ooce.
19 Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”
Lavanee eyhen: – Mana vas hiyvee, merne insanıs hiyvuyle, nimeexheyid yugda eyhe. Ğu şing'əəcar axve.
20 Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.
Yaaq'ubee Raahilel-alla yighılle senna iş haa'a. Mana yikkiykinil-alla mana vaxt mang'une ulesqa sa-q'ölle yiğ xhinne qavayle.
21 Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”
Yaaq'ubee Lavanık'le eyhen: – Vaxt g'abına, həşde yizda xhunaşşe zasqa qiyeele, məng'ı'ka ixhes.
22 Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.
Lavanee mane cigabışin gırgın insanar sav'u otxhun-ulyodğuy hele.
23 Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.
Xəmder Raahileyne cigee Lea akkeehe Yaaq'ubne k'anyaqa. Yaaq'ub məng'ı'ka g'ılexhana.
24 Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.
(Lavanee cuna nukar Zilypan Leays g'ulluxçiy xhinne heele.)
25 Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”
Yaaq'ubık'le mana Lea yixhay miç'eed ats'axhe! Mang'vee Lavanık'le eyhen: – Nya'a ğu zak məxdun kar hı'ı? Zı Raahileyneme dişde vas iş g'avcu? Nişil-allane ğu zas horbı hı'ı?
26 Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
Lavanee eyhen: – Yişde ine cigee k'ınna yiş xərıng'ı'le ögee adamiys heelen ədat deşin.
27 Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”
İn ülycüm bıkıre'e, Raahiler vas hiyles. Məng'ı'nimeeyir ğu yighılle senna yizde k'ane iş haa'as vukkan.
28 Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.
Yaaq'ubee həməxüdud ha'an: man ülycüm bıkıra'an. Lavaneeyir Raahile mang'us xhunaşşe yixhecenva heelena.
29 Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.
(Cuna nukar Bilyhanır, Raahileys g'ulluxçiy xhinne hiyvu.)
30 Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.
Yaaq'ub Raahileykar g'ılexhana. Raahile mang'us Leayle geer yikkiykan. Mana Lavanne k'ane sa yighılle sennar horaxana.
31 Bwana alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.
Rəbbik'le Lea deykan g'aycumee, məng'ı's uşaxar uxooxas vəvxı'y hele. Raahileyssemee vuxhne eexvas yeexə deşdiy.
32 Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni, kwa maana alisema, “Ni kwa sababu Bwana ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”
Lea vuxhne ayxu sa dix uxu. Mang'un do Ruven (ilyaake, dix!) gixhxhı eyhen: – Rəbbik'le zı höödəxən g'acuyn. Həşde zı yizde adamiys yikkiykanasda.
33 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.
Mana meer vuxhne eexva. Sayir dix uxu eyhen: – Rəbbik'le zı deykan yixhay g'ayxhı, inar huvuna. Mang'unud do Şimon (Mang'uk'le g'ayxhiyn) giyxhe.
34 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.
Lea xhebır'es vuxhne ayxu dix uxu eyhen: – İne yəqqə adamiy zaka ixhes, zak at'iq'anasda, zı mang'us xhebiyre dix uxuva. Mançil-allad mang'un do Levi (at'iq'anasda) giyxhe.
35 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda. Kisha akaacha kuzaa watoto.
Yoq'ur'es mana vuxhne ayxu meer dix uxu, eyhen: – İne yəqqə zı Rəbb axtı qa'as. Mançil-allad mang'un do Yahud (axtı qa'as) giyxhe. Mançile qiyğa məng'ee sabara gahna uxoxa deş.

< Mwanzo 29 >