< Mwanzo 29 >

1 Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.
Wtedy Jakub wyruszył w drogę i poszedł do ziemi ludów Wschodu.
2 Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.
I spojrzał, a oto w polu studnia i trzy stada owiec leżących przy niej. Z tej studni pojono bowiem stada, a wielki kamień [przykrywał] wierzch tej studni.
3 Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.
A gdy schodziły się wszystkie stada, odsuwano kamień z wierzchu studni i pojono owce. Potem znów zasuwano kamień na wierzch studni na jego miejsce.
4 Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”
Jakub zapytał ich: Moi bracia, skąd jesteście? I odpowiedzieli: Jesteśmy z Charanu.
5 Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”
Zapytał ich: Czy znacie Labana, syna Nachora? Odpowiedzieli: Znamy.
6 Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?” Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”
Potem zapytał: Czy dobrze się miewa? A oni odpowiedzieli: Dobrze. Oto właśnie jego córka Rachela nadchodzi ze stadem.
7 Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”
Wtedy powiedział: Oto jeszcze jest jasny dzień i nie czas zganiać stada. Napójcie owce i idźcie, popaście je.
8 Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”
Oni odpowiedzieli: Nie możemy, dopóki nie zbiorą się wszystkie stada i nie odsuną kamienia z wierzchu studni. Wtedy napoimy stada.
9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.
A gdy jeszcze tak z nimi rozmawiał, nadeszła Rachela z owcami swego ojca, bo [je] pasła.
10 Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.
I gdy Jakub ujrzał Rachelę, córkę Labana, brata swej matki, z owcami Labana, brata swej matki, podszedł, odsunął kamień z wierzchu studni i napoił owce Labana, brata swojej matki.
11 Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.
Potem Jakub pocałował Rachelę i głośno zapłakał.
12 Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.
I Jakub powiedział Racheli, że jest bratem jej ojca i że jest synem Rebeki. Ona pobiegła więc i oznajmiła to swemu ojcu.
13 Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.
A gdy Laban usłyszał wieść o Jakubie, synu swojej siostry, wybiegł mu naprzeciw, objął go, ucałował i zaprowadził do swego domu. A [on] opowiedział Labanowi o wszystkim.
14 Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,
Wtedy Laban powiedział mu: Ty naprawdę [jesteś] z moich kości i z mojego ciała. I [Jakub] mieszkał u niego przez cały miesiąc.
15 Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”
Potem Laban powiedział do Jakuba: Czyż dlatego, że jesteś moim bratem, będziesz mi służyć za darmo? Powiedz mi, jaka [ma być] twoja zapłata.
16 Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.
A Laban miał dwie córki: starsza miała na imię Lea, młodsza zaś Rachela.
17 Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Lea miała czułe oczy, Rachela zaś była piękna i miła dla oka.
18 Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”
Jakub kochał Rachelę i powiedział: Będę ci służył siedem lat za twoją młodszą córkę Rachelę.
19 Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”
Laban odpowiedział: Lepiej mi ją dać tobie niż innemu mężczyźnie. Zamieszkaj ze mną.
20 Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.
I Jakub służył za Rachelę siedem lat, które wydawały mu się jak kilka dni, bo ją kochał.
21 Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”
Potem Jakub powiedział do Labana: Daj mi moją żonę, bo wypełniły się moje dni, abym z nią obcował.
22 Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.
Wtedy Laban zebrał wszystkich mężczyzn tego miejsca i wyprawił ucztę.
23 Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.
A gdy nastał wieczór, wziął swoją córkę Leę i wprowadził ją do [Jakuba], a on obcował z nią.
24 Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.
Laban dał też swoją służącą Zilpę swej córce Lei za służącą.
25 Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”
Rano okazało się, że to była Lea. Powiedział więc do Labana: Cóż mi zrobiłeś? Czy nie za Rachelę ci służyłem? Dlaczego mnie oszukałeś?
26 Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
Laban odpowiedział: Nie ma u nas zwyczaju, aby młodszą wydawać za mąż przed starszą.
27 Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”
Dopełnij jej tydzień, a dam ci i tę za służbę, którą mi odsłużysz drugie siedem lat.
28 Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.
I Jakub tak zrobił, i dopełnił jej tydzień. Potem [Laban] dał mu swoją córkę Rachelę za żonę.
29 Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.
Laban dał też swoją służącą Bilhę swej córce Racheli za służącą.
30 Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.
Wtedy [Jakub] obcował też z Rachelą i kochał Rachelę bardziej niż Leę, [i] służył mu jeszcze drugie siedem lat.
31 Bwana alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.
A gdy PAN widział, że Lea była znienawidzona, otworzył jej łono. Rachela zaś [była] bezpłodna.
32 Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni, kwa maana alisema, “Ni kwa sababu Bwana ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”
Lea poczęła więc i urodziła syna, i nadała mu imię Ruben. Powiedziała bowiem: PAN naprawdę wejrzał na moje utrapienie. Dlatego teraz mój mąż będzie mnie kochać.
33 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.
Gdy znów poczęła i urodziła syna, powiedziała: PAN usłyszał, że byłam znienawidzona. Dlatego dał mi także tego [syna]. I nadała mu imię Symeon.
34 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.
Potem znów poczęła i urodziła syna, i powiedziała: Tym razem mój mąż przywiąże się do mnie, bo urodziłam mu trzech synów. Dlatego nadała mu imię Lewi.
35 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda. Kisha akaacha kuzaa watoto.
Gdy jeszcze raz poczęła i urodziła syna, powiedziała: Teraz już będę chwalić PANA. Dlatego nadała mu imię Juda. I przestała rodzić.

< Mwanzo 29 >