< Mwanzo 29 >
1 Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.
Jakop ni pou a cei teh Kanîtholae taminaw e ram dawk a pha.
2 Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.
A khet navah tuikhu kaawm e lawpam vah tuhu kathum touh a kamkawn e hah a hmu. Bangkongtetpawiteh, tuikhu thung e tui hah tunaw ouk a pânei awh. Tuikhu koe lungsong ao.
3 Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.
Hote hmuen koe tunaw pueng pâkhueng lah ao han. Tuikhu khannae lungsong hah takhoe vaiteh, tu tui pânei hoi talung teh ama onae hmuen dawk bout teng lah ao han.
4 Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”
Jakop ni ahnimouh koevah, ka hmaunawnghanaw api kho maw, telah a pacei. Ahnimouh ni, Haran taminaw doeh telah atipouh awh.
5 Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”
Ahni ni ahnimouh koevah, Nahor capa Laban na panue awh maw telah a pacei. Ahnimouh ni, Oe ka panue awh, telah atipouh awh.
6 Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?” Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”
Ahni ni ahnimouh koevah, a hring rah maw, telah a pacei. Ahnimouh ni, Oe a dam rah doeh, khenhaw! a canu Rachel hai tu hoi a tho lahun, telah atipouh awh.
7 Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”
Ahni ni, Khenhaw! Kanî asaw rah, saring pâkhueng hanelah khout hoeh rah. Tunaw hah tui pânei awh nateh bout tha awh ei, telah atipouh.
8 Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”
Hateiteh, ahnimouh ni, tuhunaw pueng pâkhueng teh tuikhu tengnae talung takhoe hoehnahlan pueng teh tui pânei thai lah awm awh hoeh. Takhoe hnukkhu to doeh tu heh tui ouk ka pânei awh, telah atipouh awh.
9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.
Hottelah, lawk a kâpan navah, Rachel teh a na pa e tunaw hoi a tho, bangkongtetpawiteh ahni teh tu ka khoum e napui lah ao.
10 Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.
Hahoi, hettelah ao. Jakop ni a manu e a thangroi Laban e canu Rachel hoi tunaw a hmu toteh, a cei sin teh tuikhu tengnae talung hah a takhoe pouh teh a manu e a thangroi e tu hah tui a pânei pouh.
11 Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.
Hahoi, Jakop ni Rachel hah a paco teh ngawngngawng a ka.
12 Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.
Jakop ni Rachel koe a na pa e a na minca lah a onae hoi Rebekah e capa lah a onae kong hah a dei pouh. Hatdawkvah, Rachel ni a na pa koe ayawng teh a dei pouh.
13 Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.
Hahoi, Laban ni a tawncanu e capa Jakop kong a thai tahma, ahni dawn hanelah ayawng. A tapam teh a paco hnukkhu, a im vah a hrawi. Jakop ni Laban koe hno kâhmo e akongnaw pueng a dei pouh.
14 Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,
Laban ni ahni koe, nang teh ka misa katang doeh, telah atipouh teh ahni koevah thapa yung touh ao.
15 Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”
Laban ni Jakop koevah, Ka minca lah na o dawkvah, aphu laipalah ka thaw na tawk han na maw. Bangmaw na poe han dei haw, telah atipouh.
16 Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.
Laban ni canu kahni touh a tawn teh a camin teh Leah a phung, a cahnoung teh Rachel a phung.
17 Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Leah teh a mit roumkawt e lah ao. Hatei, Rachel teh a tungtang hoi a mei kahawi e tami lah ao.
18 Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”
Jakop ni Rachel a ngai dawkvah, na canu kanaw e Rachel hanlah kum sari touh na thaw ka tawk han, telah atipouh.
19 Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”
Laban ni, ayâ alouke ka poe hlak teh nang na poe e heh ahawihnawn han doeh, kai koe awmh, telah atipouh.
20 Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.
Hatdawkvah, Jakop ni Rachel hanlah kum sari touh a thaw a tawk pouh, a lungpataw poung dawkvah hnin dawngdengca e patetlah a pouk.
21 Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”
Jakop ni Laban koe, ka ikhai thai nahanlah ka yu teh na poe leih, bangkongtetpawiteh, ahnintha teh akuep toe, telah atipouh.
22 Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.
Laban ni khoca pueng a pâkhueng teh bu canae pawi a sak.
23 Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.
Hahoi, kho a hmo nah a canu Leah a hrawi teh Jakop koevah a thak pouh teh a ikhai.
24 Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.
Laban ni a sannu Zilpah hah a canu Leah koevah san hanlah a poe.
25 Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”
Khodai toteh, khenhaw! Leah lah a o, Jakop ni Laban koevah, ka lathueng vah na sak e heh bangmaw. Rachel ka yu nahanlah na thaw ka tawk hoeh na maw. Bangkongmaw na dum, telah atipouh.
26 Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
Laban ni, Ka ram dawk a hmau hoehnahlan a nawngha ceisak phung roeroe nahoeh.
27 Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”
Hete napui hanlah hnin sari kuep sak ei, hahoi, kum sari touh ka thaw bout na tawk han e dawk alouknaw hai na poe han, telah atipouh e patetlah,
28 Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.
Jakop ni hottelah a sak teh hnin sari touh a kuep sak teh Laban ni a canu Rachel haiyah a yu hanlah a poe.
29 Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.
Hahoi, Laban ni a sannu Bilhah hah a canu Rachel koevah a san hanlah a poe.
30 Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.
Rachel bout a ikhai. Leah hlakvah Rachel heh a lung hoe a pataw dawkvah, Laban e thaw kum sari touh bout a tawk pouh.
31 Bwana alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.
BAWIPA ni Leah teh lungpataw hoeh tie a panue dawkvah a thun a kamawng sak. Hatei, Rachel teh a carôe.
32 Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni, kwa maana alisema, “Ni kwa sababu Bwana ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”
Leah teh camo a vawn teh ca tongpa a khe, a min lah Reuben a phung. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni runae ka kâhmo e a panue. Hatdawkvah, atu teh ka vâ ni na lungpataw han toe, telah ati.
33 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.
Camo bout a vawn teh ca tongpa bout a khe. Kai na hnoun e BAWIPA ni a thai dawkvah, hete ca tongpa hai na poe telah ati teh Simeon telah min a phung.
34 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.
Camo bout a vawn teh ca tongpa bout a khe. Atu teh ca tongpa kathum touh ka khe pouh toe dawkvah, ka vâ ni na tha mahoeh toe, telah ati. Hatdawkvah, a min lah Levih a sak.
35 Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda. Kisha akaacha kuzaa watoto.
Hahoi, camo bout a vawn teh ca tongpa bout a khe. Atu teh, BAWIPA ka pholen han, telah ati. Hatdawkvah, a min Judah a phung. Hahoi teh, camo khe hoeh toe.