< Mwanzo 26 >
1 Basi njaa kubwa ikawa katika nchi hiyo, kuliko ile njaa iliyotangulia iliyotokea wakati wa Abrahamu. Isaki akamwendea Abimeleki mfalme wa Wafilisti huko Gerari.
Soge huluane da ha: i bagade eno ba: i. Musa: , A: ibalaha: me ea esoga ha: i bagade ba: i, be amo da eno. Aisage da Abimelege amo Filisidini hina bagade Gila moilai bai bagade ganodini esalu, ema asi.
2 Bwana akamtokea Isaki, akamwambia, “Usiende Misri, bali ukae katika nchi nitakayokuambia.
Hina Gode da Aisagema misini, amane sia: i, “Idibidi amoga mae masa. Be na olelemu soge amo ganodini esaloma.
3 Kaa katika nchi hii kwa kitambo, mimi nitakuwa pamoja na wewe na nitakubariki. Kwa maana nitakupa wewe na uzao wako nchi hizi zote na nitatimiza kiapo nilichomwapia Abrahamu baba yako.
Amo soge ganodini fonobahadi ouesaloma. Amalalu, Na amola gilisili esalumu amola dima hahawane dogolegele fidimu. Bai Na da amo soge huluane Na da dima amola dia fa: no lalelegemu fi ilima imunu. Na da gousa: su dia ada A: ibalaha: mema hamoi, amo Na da didili hamomu.
4 Nitafanya wazao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa nchi hizi zote na kutokana na uzao wako mataifa yote yatabarikiwa,
Na da digaga fi dunu amo gasumuni ilia idi defele hamomu. Amo soge huluane ilima imunu. Amola ilia houba: le, osobo bagade fifi asi gala huluane da hahawane dogolegele hou ba: mu.
5 kwa sababu Abrahamu alinitii mimi akatunza kanuni zangu na maagizo yangu, amri zangu pamoja na sheria zangu.”
Bai A: ibalaha: me da Na sia: nabasu. E da Na hanai amola Na Sema amola Na hamoma: ne sia: i huluane mae fili, nabasu hou hamosu.
6 Hivyo Isaki akaishi huko Gerari.
Amaiba: le, Aisage da Gila moilai bai bagade ganodini esalu.
7 Watu wa mahali pale walipomuuliza habari za mke wake, akasema, “Huyu ni dada yangu,” kwa sababu aliogopa kusema, “Huyu ni mke wangu.” Alifikiri, “Watu wa mahali pale wataweza kumuua kwa sababu ya Rebeka, kwa kuwa alikuwa mzuri wa sura.”
Amo soge dunu da ea uda ea hou ema adole ba: loba, e da amane sia: i, “E da na dalusi.” E da, “Amo da na uda” sia: musa: bagade beda: i galu. Bai e agoane dawa: i, “Amo soge dunu da Lebega da na uda dawa: sea, na fane legemu. Bai e da noga: iwane ba: sa.”
8 Wakati Isaki alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki mfalme wa Wafilisti akachungulia dirishani, akaona jinsi Isaki alivyomkumbatia Rebeka mke wake.
Aisage amogai eso bagohame esaloba, Filisidini hina bagade dunu Abimelege, da ea fo misa: ne agenesi amoga gududili ba: loba, Aisage ea uda Lebega amo nonogonanebe ba: i.
9 Abimeleki akamwita Isaki akamwambia, “Hakika huyu ni mke wako! Mbona uliniambia, ‘Huyu ni dada yangu?’” Isaki akamjibu, “Kwa sababu nilifikiri ningeweza kuuawa kwa sababu yake.”
Amaiba: le, Abimelege da Aisagema misa: ne sia: i. E da amane sia: i, “Amo da dia uda. Di da abuli, ‘amo da na dalusi’ sia: bela: ?” Aisage da ema bu adole i, “Na da enoga medosa: besa: le, agoane hamoi.”
10 Ndipo Abimeleki akamjibu, “Ni nini hiki ulichotufanyia? Ingewezekana mtu yeyote akawa amekutana kimwili na mke wako, nawe ungeleta hatia juu yetu.”
Amalalu, Abimelege da amane sia: i, “Di da ninima adi hamobela: ? Ninia fi dunu afae da ema gilisili golai ganiaba, ninia huluane da wadela: i dunu fi ba: la: loba.”
11 Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”
Amaiba: le, Abimelege da ea fi dunu ilima amane sia: i, “Nowa da amo dunu o ea uda wadela: sea, amo dunu ninia fane legemu.”
12 Isaki akapanda mazao katika nchi hiyo, kwa mwaka huo huo, akavuna mara mia, kwa sababu Bwana alimbariki.
Aisage da amo soge ganodini, ha: i manu bugi. Hina Gode da hahawane dogolegelewane fidibiba: le, amo bugi da ha: i manu bagade legei.
13 Isaki akawa tajiri, mali zake zikaendelea kuongezeka mpaka akawa tajiri sana.
E da bagade gagui dunu agoane ba: i. Ea gagui da asigilabeba: le, ea gagui da bagadedafa ba: i.
14 Akawa na mifugo ya kondoo na ngʼombe, na watumishi wengi sana, kiasi kwamba Wafilisti wakamwonea wivu.
E sibi, goudi amola bulamagau bagohame gaguiba: le, Filisidini dunu da e mudale ba: i.
15 Kwa hiyo visima vyote vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Abrahamu baba yake, Wafilisti wakavifukia, wakavijaza udongo.
Amaiba: le, Filisidini dunu da hano uli dogoi huluane amo ea ada hawa: hamosu dunu da A: ibalaha: me ea esoga dogoi, amo huluane ga: si. Ilia huluane osoboga nabasu.
16 Ndipo Abimeleki akamwambia Isaki, “Ondoka kwetu, kwa maana umetuzidi nguvu sana.”
Amalalu, Abimelege da Aisagema amane sia: i, “Di nini yolesili masa! Bai di da gasa bagade hamoi dagoi.”
17 Basi Isaki akatoka huko akajenga kambi katika Bonde la Gerari, akaishi huko.
Amaiba: le, Aisage da amo soge yolesili, Gila Fago amoga esalu.
18 Ndipo Isaki akavichimbua tena vile visima vya maji ambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamu baba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya kufa Abrahamu, akavipa majina yale yale ambayo baba yake alikuwa amevipa.
Amoga hano uli dogoi amo A: ibalaha: me ea esoga dogoi be Filisidini dunu da ga: i, amo Aisage bu doasi. Amola dio A: ibalaha: me da amo uli dogoi amoma asuli, amo dio Aisage bu asuli.
19 Watumishi wa Isaki wakachimba katika lile bonde wakagundua huko kisima chenye maji safi.
Aisage da umi amo ganodini dogolalu, noga: iwane hano ba: i.
20 Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaki wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.
Be Gila sibi ouligisu dunu da Aisage ea sibi ouligisu dunu ilima sia: ga gegei. Ilia amane sia: i, “Amo hano da ninia:” Amaiba: le, e da amo hanoma “Sia: ga Gegesu” dio asuli.
21 Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.
Amalalu ilia da hano uli dou eno dogoi. Be ilia amoga eno sia: ga gegei. Amaiba: le, e da amo hanoma Sidina (Ha Lai) dio asuli.
22 Akaondoka huko, akachimba kisima kingine, wala hakuna yeyote aliyekigombania. Akakiita Rehobothi, akisema, “Sasa Bwana ametufanyia nafasi, nasi tutastawi katika nchi.”
Bu asili, e da hano uli eno dogoi. Amoga ilia da hame sia: ga gegei. Amaiba: le, e da amo hano uli dogoima Lihoubode (Hahawane Halegale Lala) dio asuli. E amane sia: i, “Wali Hina Gode da sogebi defele ninima ia dagoiba: le, ninia da hahawane soge ganodini udigili lala.”
23 Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.
Amoga asili, e da Biasiba amoga asi.
24 Usiku ule Bwana akamtokea, akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa Abrahamu baba yako. Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe, nitakubariki na kuongeza idadi ya wazao wako kwa ajili ya Abrahamu mtumishi wangu.”
Amo gasia, Hina Gode da ema misini amane sia: i, “Na da dia ada A: ibalaha: me amo ea Gode esala. Mae beda: ma! Na da di amola gilisili lala. Na da Na hawa: hamosu dunu A: ibalaha: mema hahawane sia: beba: le, Na dima hahawane dogolegele hamomu amola digaga lalelegemu fi amo bagade hamomu.”
25 Isaki akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la Bwana. Akapiga hema lake huko, nao watumishi wake wakachimba kisima.
Aisage da amo sogega oloda hamone, Hina Godema nodone sia: ne gadoi. E amoga abula diasu gagui, amola ea hawa: hamosu dunu da hano uli dogoi.
26 Wakati huo, Abimeleki alikuwa amemjia kutoka Gerari, akifuatana na Ahuzathi mshauri wake, pamoja na Fikoli jemadari wa majeshi yake.
Abimelege, ea fidisu dunu Ahusa: de amola ea dadi gagui dunu hina amo Fa: igole da Gila moilai bai bagade yolesili, Aisagema doaga: i.
27 Isaki akawauliza, “Mbona mmekuja kwangu na ninyi mlinichukia na kunifukuza?”
Amalalu, Aisage ema amane adole ba: i, “Di da musa: nama ha laiba: le, dia soge fisili masa: ne nama sia: i dagoi. Amaiba: le, di abuliba: le nama waha misi?”
28 Wakamjibu, “Tuliona wazi kuwa Bwana alikuwa pamoja nawe, kwa hiyo tukasema, ‘Inabidi kuwe na kiapo cha mapatano kati yetu, kati yetu na wewe. Na tufanye mkataba pamoja nawe
Ilia bu adole i, “Wali ninia dawa: ! Hina Gode da dia fidisu esala. Ninia wali gousa: sudafa hamomu da defea.
29 kwamba hutatudhuru, kama jinsi nasi hatukuwanyanyasa bali tuliwatendea mema wakati wote na kuwaondoa kwetu kwa amani. Tena sasa umebarikiwa na Bwana.’”
Di ninima se maedafa ima: ne sia: ma. Ninia da dima se hame i, amo defele di da nini fidimu da defea. Ninia da dima asigi hou hamonanu, dia ga masa: ne logo doasi dagoi. Amola wali Hina Gode da dima hahawane dogolegele ilegei dagoi.”
30 Basi Isaki akawaandalia karamu, nao wakala na kunywa.
Aisage da ili moma: ne, lolo nasu hamoi. Ilia huluane ha: i amola waini hano mai dagoi.
31 Kesho yake asubuhi na mapema, wakaapizana wao kwa wao. Kisha Isaki akawaruhusu waende zao, wakamwacha Isaki kwa amani.
Aya hahabedafa, Aisage amola Filisidini dunu da gousa: su hamoi. Aisage da ilima “asigibio” sia: nanu, ilia olofole agoane afafai.
32 Siku hiyo watumishi wa Isaki wakaja wakampa habari kuhusu kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, “Tumepata maji!”
Amo esoga, Aisage ea hawa: hamosu dunu da ema misini, ilia da hano uli dogoi amo olelei. Ilia da amane sia: i, “Ninia hano ba: i dagoi.”
33 Naye akakiita Shiba, mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.
E da amo hano Siba (“hou ilegele sia:” o eno dawaloma: ne da “fesuale hano”). Biasiba da amoga ea dio lai dagoi.
34 Esau alipokuwa na umri wa miaka arobaini, akamwoa Yudithi binti Beeri Mhiti, kisha akamwoa Basemathi binti Eloni Mhiti.
Iso da ode 40 lai dagoi. Amalalu, e da Hidaide a: fini aduna lai dagoi. Afae ea dio da Yudide amo Bieli ea mano. Eno da Basemade amo Ilone ea mano.
35 Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na Rebeka.
Aisage amola Lebega da amo hou ba: beba: le, se bagade nabasu.