< Mwanzo 23 >
1 Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.
Sarah teh kum 127 touh a hring. Sarah e a hringnae kum teh ama het doeh toe.
2 Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.
Sarah teh Kanaan ram Hebron tie Kiriatharba kho dawk a due. Abraham hai Sarah kecu dawk khuika hanelah a tho.
3 Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,
Hahoi Abraham teh a yu e ro hmalah a kangdue teh Hit taminaw koe,
4 “Mimi ni mpitaji na mgeni miongoni mwenu. Niuzieni sehemu ya ardhi yenu ili niweze kumzika maiti wangu.”
Kai teh nangmouh koe imyin hoi kahlong tami lah doeh ka o. Ka yu e ro ka pakawp nahanelah nangmouh koe e talai lem na poe awh haw atipouh.
5 Wahiti wakamjibu Abrahamu,
Hit taminaw ni Abraham koe a dei pouh e teh,
6 “Bwana, tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika maiti wako.”
Ka bawipa kaimae lawk thai haw, nang teh kaimouh rahak vah Cathut e khobawi doeh. Hatdawkvah na ngai e hmuen rawi nateh pakawp ngoun. Na tami ro pakawp nahanelah apinihai phuen hmuen pasoung hoeh laipalah awm mahoeh, telah atipouh awh.
7 Abrahamu akainuka na akasujudu mbele ya wenyeji wa nchi, yaani Wahiti.
Hathnukkhu, Abraham teh a thaw teh, Hit taminaw hoi hote ram dawk e taminaw hmalah a tabo.
8 Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu
Hahoi, ahnimouh koe, ka tami ro pakawp nahanelah, na lungkuep awh pawiteh ka lawk thai awh haw.
9 ili aniuzie pango la Makpela, lililo mali yake, nalo liko mwisho wa shamba lake. Mwambieni aniuzie kwa bei kamili atakayosema ili liwe mahali pangu pa kuzikia miongoni mwenu.”
Nangmouh koe, phuen hmuen ka tawn thai nahanelah, Zohar capa Ephron ni, amae law apout koe lah kaawm e Makpelah talungkhu hah, aphu hoi kâki lah kai koe a yo thai nahane, ahni koe na het pouh haw loe, telah atipouh.
10 Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.
Hat torei teh Hit taminaw koe Ephron teh a tahung. Hit tami Ephron ni khopui longkha dawk hoi ka kâen e Hit taminaw pueng ni a thainae koe,
11 “La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake. Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti wako.”
Telah nahoeh, ka bawipa law na poe awh, law thung kaawm e talungkhu hai na poe awh. Ka miphunnaw hmaitung roeroe na poe awh, na tami ro teh pakawp leih telah Abraham koe atipouh.
12 Abrahamu akasujudu tena, mbele ya wenyeji wa nchi,
Abraham teh, hote ram dawk e taminaw hmalah a tabo teh,
13 akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, “Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu.”
Ram dawk e taminaw ni a thainae koe Ephron hanelah na lungkuep pawiteh thai haw, law hmuen phu teh na poe han. Aphu dâw leih, hote hmuen koe ka tami ro teh ka pakawp han atipouh.
14 Efroni akamjibu Abrahamu,
Ephron ni Abraham koe,
15 “Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha, lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.”
Ka bawipa, ka lawk thai haw, ka law hmuen phu tangka (shekel) cumpali touh doeh. Nang hoi kai hanlah banghai bang nahoeh. Na tami ro teh pakawp yaw kaw telah atipouh.
16 Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara.
Abraham ni a lungkuepkhai teh, Hit taminaw ni a thainae koe tangka shekel cumpali touh hno kayawtnaw ni a khing e patetlah a khing teh a poe.
17 Hivyo shamba la Efroni huko Makpela karibu na Mamre, yaani shamba pamoja na pango lililokuwamo, nayo miti yote iliyokuwamo ndani ya mipaka ya shamba hilo, vilikabidhiwa,
Hatdawkvah Mamre kho hoi kanîtholah, Makpelah hmuen koe kaawm e Ephron e law, law thung kaawm e talungkhu hoi thingkungnaw, lawri koe kaawm e thingkung pueng,
18 kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.
Hit taminaw hoi khopui longkha koe ka tho e tami pueng e hmaitung vah Abraham ni coe hanelah a poe.
19 Baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mkewe kwenye pango ndani ya shamba la Makpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katika nchi ya Kanaani.
Hathnukkhu, Abraham ni Mamre kho, Hebron hoi kanîtholah, Makpelah law dawk e talungkhu dawk a yu Sarah teh a pakawp.
20 Hivyo Wahiti wakamkabidhi Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia.
Hatdawkvah lawhmuen hoi talungkhu teh, Abraham ni phuen hmuen lah, a tawn hanelah, Hit taminaw ni a poe.