< Mwanzo 21 >
1 Wakati huu Bwana akamrehemu Sara kama alivyokuwa amesema, naye Bwana akamtendea Sara kile alichokuwa ameahidi.
BAWIPA ni a dei tangcoung e patetlah Sarah koe a pai teh a lawkkam pouh e patetlah Sarah hanelah a sak pouh.
2 Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi.
Hahoi, ahni koe a dei pouh tangcoung e patetlah Cathut ni a khoe pouh e tueng navah Sarah ni camo a vawn teh, a matawng hnukkhu Abraham hanelah tongpa a khe pouh.
3 Abrahamu akamwita Isaki yule mwana ambaye Sara alimzalia.
Abraham ni hai a tawn e capa, Sarah ni a khe pouh e hah Isak telah min a phung.
4 Isaki alipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.
Hottelah, Cathut ni kâ a poe tangcoung e patetlah Abraham ni a capa Isak hah ataroe hnin navah vuensom a a pouh.
5 Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki mwanawe alipozaliwa.
Abraham teh a capa Isak a khe navah kum 100 touh a pha toe.
6 Sara akasema, “Mungu ameniletea kicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hili atacheka pamoja nami.”
Sarah ni hai kai ka panuithainae Cathut ni na poe toe. Hete kamthang ka thai e pueng ni hai kai hoi cungtalah a panui van awh han doeh telah ati.
7 Akaongeza kusema, “Nani angemwambia Abrahamu kuwa Sara angenyonyesha watoto? Tena nimemzalia mwana katika uzee wake.”
Sarah ni camo sanu a pânei han telah Abraham koe apinimaw ouk a dei pouh. A matawng torei kai ni ca tongpa ka khe pouh toe telah ati.
8 Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya. Siku hiyo Isaki alipoachishwa kunyonya, Abrahamu alifanya sherehe kubwa.
Hottelah, camo a roung takhang teh sanu a pâphei. Sanu a pâphei nah hnin dawk Abraham ni buven pawi kalenpounge a sak.
9 Lakini Sara aliona kuwa mwana ambaye Hagari, Mmisri, aliyemzalia Abrahamu alikuwa anadhihaki,
Izip tami Hagar capa, Abraham hanelah a khe pouh e ni a panuikhai e hah Sarah ni a hmu.
10 Sara akamwambia Abrahamu, “Mwondoe mwanamke huyo mtumwa pamoja na mwanawe, kwa kuwa mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwanangu Isaki.”
Hatdawkvah, Abraham koevah, Hete sannu hoi a capa pâlei leih, bangkongtetpawiteh sannu e capa ni ka capa e râw coe thai mahoeh telah atipouh.
11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa sababu lilimhusu mwanawe.
A capa lah ao kecu dawk Abraham hanelah hno ka ru poung lah ao.
12 Lakini Mungu akamwambia, “Usihuzunike hivyo kwa sababu ya kijana na mtumishi wako wa kike. Sikiliza lolote Sara analokuambia, kwa sababu uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.
Hatei Cathut ni Abraham koe, camo hoi na sannu kong dawk hno ka ru lah pouk hanh. Sarah ni a dei e pueng tarawi loe. Bangkongtetpawiteh Isak dawk hoi na catoun telah kaw e lah ao han.
13 Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”
Na sannu e capa dawk hai miphun ka pungdaw sak han. Bangkongtetpawiteh ahni hai na ca doeh telah atipouh.
14 Kesho yake asubuhi na mapema, Abrahamu akachukua chakula na kiriba cha maji, akampa Hagari. Akaviweka mabegani mwa Hagari, akamwondoa pamoja na kijana. Hagari akashika njia, akatangatanga katika jangwa la Beer-Sheba.
Hottelah amom vah Abraham a thaw teh vaiyei hoi tuium a la teh Hagar e aloung dawk a patue pouh hnukkhu, camo hoi a ceisak. A cei roi teh Beersheba kahrawngum vah yuengyoe a kâva roi.
15 Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.
Tuium dawk e tui a baw hnukkhu camo hah buruk rahim a hruek.
16 Kisha akajiendea zake akaketi karibu, umbali wa kutupa mshale, akawaza, “Siwezi kumwangalia kijana akifa.” Ikawa alipokuwa ameketi pale karibu, akaanza kulia kwa huzuni.
Pala vai touh ka sittouh bang hane a cei teh, hnuklah a kangvawi laihoi a tahung hnukkhu, camo due e na hmawt sak hanh loe telah ati. Hottelah hnuklah a kangvawi laihoi a tahung teh puenghoi kacaipounglah a ka.
17 Mungu akamsikia kijana akilia, malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia, “Kuna nini Hagari? Usiogope, Mungu amesikia kijana analia akiwa amelala pale.
Camo lawk Cathut ni a thai teh Cathut kalvantami ni kalvan lahoi Hagar a kaw teh, Hagar bangmaw runae na kâhmo. Taket hanh, camo e lawk Cathut ni a thai toe atipouh.
18 Mwinue kijana na umshike mkono, kwa maana nitamfanya kuwa taifa kubwa.”
Thaw nateh camo hah na kut hoi pathaw leih, bangkongtetpawiteh miphun kalen poung lah kacoungsak han telah atipouh.
19 Ndipo Mungu akamfumbua Hagari macho yake naye akaona kisima cha maji. Hivyo akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana anywe.
Cathut ni a mit ang sak teh tuikhu buet touh a hmu. A cei teh tuium dawk yikkawi a do hnukkhu camo a pânei.
20 Mungu akawa pamoja na huyu kijana alipokuwa akiendelea kukua. Aliishi jangwani na akawa mpiga upinde.
Cathut teh camo koe lah a o, ahni teh a roung takhang teh, kahrawngum vah kho a sak teh moikathaipounge lah ao.
21 Alipokuwa akiishi katika Jangwa la Parani, mama yake akampatia mke kutoka Misri.
Paran kahrawngum vah kho a sak teh a manu ni a yu lah Izip tami a la pouh.
22 Wakati huo Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakamwambia Abrahamu, “Mungu yu pamoja nawe katika kila kitu unachofanya.
Hatnae tueng dawk Abimelek hoi ransahu kaukkung Phikhol ni Abraham koevah, na sak e hno pueng dawk Cathut ni na okhai.
23 Sasa niapie hapa mbele za Mungu kwamba hutanitenda hila mimi, watoto wangu wala wazao wangu. Nitendee mimi na nchi ambayo unaishi kama mgeni wema ule ule ambao nimekutendea.”
Hatdawkvah Cathut minhmai khet lahoi kai hoi ka capa catoun totouh dumyennae awm laipalah na pahren e patetlah kai hoi na onae ram heh a hawinae ka hmu nahanelah lawk na kam pouh leih telah atipouh.
24 Abrahamu akasema, “Ninaapa hivyo.”
Abraham ni hai, lawkkam han atipouh.
25 Ndipo Abrahamu akalalamika kwa Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki walikuwa wamekinyangʼanya.
Abimelek e a sannaw ni tuikhu a lawp dawkvah Abraham ni Abimelek a yue.
26 Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ambaye amefanya hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”
Abimelek ni, hot patet hno ka sak e teh apimaw. Ka panuek hoeh, nang ni hai na dei hoeh. Kai ni hai sahnin totouh ka panuek hoeh atipouh.
27 Hivyo Abrahamu akaleta kondoo na ngʼombe, akampa Abimeleki, nao watu hawa wawili wakafanya mapatano.
Hottelah, Abraham ni tu hoi maitotan a hrawi teh Abimelek a poe, hahoi kahni touh hoi lawkkamnae a sak roi.
28 Abrahamu akatenga kondoo wa kike saba kutoka kwenye kundi,
Abraham ni tuhu dawk e tulaca sari touh alouklah a kapek.
29 Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ni nini maana ya hawa kondoo wa kike saba uliowatenga peke yao?”
Abimelek ni Abraham koevah tulaca sari touh na ka pek e, bang hane maw atipouh.
30 Abrahamu akamjibu, “Upokee hawa kondoo wa kike saba kutoka mkononi mwangu kama ushahidi kuwa nilichimba kisima hiki.”
Ahni ni hete tuikhu ka tai e heh kapanuekkhaikung lah tulaca sari touh e ka kut dawk e na la roeroe han telah atipouh.
31 Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.
Hote hmuen koe kahni touh hoi lawkkamnae a sak roi dawkvah Beersheba telah min a phung.
32 Baada ya mapatano kufanyika huko Beer-Sheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
Hottelah Beersheba vah lawkkamnae a sak roi hnukkhu Abimelek hoi ransabawi Phikhol tinaw a thaw awh teh Filistin ram lah a ban awh.
33 Abrahamu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la Bwana, Mungu wa milele.
Abraham ni Beersheba vah hmaicakung a ung teh haw vah BAWIPA yungyoe Cathut e min a kaw.
34 Naye Abrahamu akakaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu.
Hahoi, Abimelek teh Filistin ram dawk hnin moi kasawlah a cam.