< Mwanzo 20 >
1 Basi Abrahamu akaendelea mbele kutoka huko hadi nchi ya Negebu na akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa muda mfupi alikaa Gerari kama mgeni,
A: ibalaha: me da Ma: melei soge yolesili, Ga: ina: ne soge ga (south) la: idiga asi. E da diasu aduna amo Ga: idesie amola Sie amoga dogoa moilai bai bagade ea dio amo Gila esalu.
2 huko Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe, “Huyu ni dada yangu.” Kisha Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma Sara aletwe, naye akamchukua.
Amoga, A:ibalaha: me da ea uda Sela amo da ea dalusi sia: i. Amalalu, Gila hina bagade dunu amo Abimelege da Sela ema misa: ne sia: i. E da ea diasuga esaloma: ne lai.
3 Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe ni kama mfu kwa sababu ya huyu mwanamke uliyemchukua; yeye ni mke wa mtu.”
Be Gode da simasia ganodini Abimelegema amane sia: i, “Di da bogoi dunu defele. Bai amo uda di da lai, amo da dunu eno idua.”
4 Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia?
Be Abimelege da Sela amoma hame doaga: i galu. Amaiba: le, e amane sia: i, “Hina Gode! Di da fi amo wadela: le hame hamoi amo wadela: ma: bela: ?
5 Hakusema kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu’? Nimefanya haya kwa dhamiri njema na mikono safi.”
A: ibalaha: me da nama amane sia: i, ‘E da na dalusi,’ amola uda da nama amane sia: i, ‘E da na ola’. Na da amo sia: da dafawane dawa: beba: le, wadela: le hame hamoi.”
6 Kisha Mungu akamwambia katika ndoto, “Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitende dhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse.
Amalalu, Gode da amo simasia ganodini ema amane sia: i, “Dafawane! Na dawa: Di da asigi dawa: su dodofei dagoi amoga hamoi. Amaiba: le, Na da dia wadela: i hamomu logo damui dagoi. Bai di da e mae digili ba: ma: ne, Na da amo logo ga: i.
7 Sasa umrudishe huyo mke wa mtu, kwa maana ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini kama hutamrudisha, ujue kwa hakika kuwa wewe na watu wako wote mtakufa.”
Be wali amo dunu ea uda ema bu ima. E da balofede dunu amola e da di fidima: ne sia: ne gadomu. Amasea, di da hame bogole esalumu. Be ema bu hame iasea, di amola dia fi huluane da bogogia: mu, amo noga: le dawa: ma.”
8 Kesho yake asubuhi na mapema Abimeleki akawaita maafisa wake wote, na baada ya kuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana.
Hahabedafa, Abimelege da ea eagene ouligisu dunu huluane misa: ne sia: i. Amo hou huluane ilima olelelalu, ilia da bagadewane beda: i.
9 Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii juu yangu na ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.”
Amalalu, Abimelege da A: ibalaha: me misa: ne sia: i. E da ema amane sia: i, “Di da ninima adi hamobela: ? Dia hou hamoiba: le, na amola na fi da se bagade nabi. Na da dima adi wadela: i hou hamobela: ? Di da ninima hou hamoi da defea hame.”
10 Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”
Amola Abimelege da A: ibalaha: mema amane adole ba: i, “Adi baiga di da amo hou hamobela: ?”
11 Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba, ‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’
A: ibalaha: me da bu adole i, “Na da na dogo ganodini amane sia: i, ‘Amo soge ganodini, dunu fi da Godema hame beda: sa. Ilia da na uda ba: sea, na fane legemu.’
12 Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni dada yangu, binti wa baba yangu ingawa si mtoto wa mama yangu; basi akawa mke wangu.
Amola, amo uda da dafawane na dalusi. E da na ada ea mano be eme ea mano hame. Amola amo na da lai dagoi.
13 Wakati Bwana aliponifanya nisafiri mbali na nyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivi ndivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu: Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema, “Huyu ni kaka yangu.”’”
Amola Gode da nama nada ea fi amo fisili ga masa: ne sia: noba, na da Selama amane sia: i, ‘Di da dia nama asigi hou agoane olelema. Soge huluane ani ahoasea, na hou agoane olelema; E da na ola!’”
14 Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na ngʼombe, na watumwa wa kiume na wa kike akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa mumewe.
Amalalu, Abimelege da sibi, bulamagau, udigili hawa: hamosu dunu amola udigili hawa: hamosu uda, amo oule misini, A:ibalaha: mema i. Amola ea uda Sela amo ema bu i.
15 Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”
Amola Abimelege da ema amane sia: i, “Na soge huluane ba: ma. Dia hanaiga amogai fima.”
16 Akamwambia Sara, “Ninampa kaka yako shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio pamoja nawe; haki yako imethibitishwa kabisa.”
E da Selama amane sia: i, “Na da dia olama silifa muni 1000 amo iaha. Amo da dunu huluane ilima di da wadela: i hame hamoi amo olelema: ne. Dunu huluane da di da wadela: i hame hamoi amo dawa: mu.”
17 Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena,
Amalalu, A:ibalaha: me da Godema sia: ne gadoi. Amola Gode da Abimelege, ea uda amola ea udigili hawa: hamosu a: fini huluane uhinisi dagoi. Amalalu, ilia da mano eno bu lamu hou dawa: i.
18 kwa kuwa Bwana alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.
Bai Hina Gode da A: ibalaha: me idua Selama asigiba: le, Abimelege ea fi uda ilia mano lamu logo amo huluane ga: si dagoi. Be wali bu doasi.