< Mwanzo 2 >
1 Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.
Tako se dovrši nebo i zemlja i sva vojska njihova.
2 Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.
I svrši Bog do sedmoga dana djela svoja, koja uèini; i poèinu u sedmi dan od svijeh djela svojih, koja uèini;
3 Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
I blagoslovi Bog sedmi dan, i posveti ga, jer u taj dan poèinu od svijeh djela svojih, koja uèini;
4 Haya ndiyo maelezo ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa. Bwana Mungu alipoziumba mbingu na dunia,
To je postanje neba i zemlje, kad postaše, kad Gospod Bog stvori zemlju i nebo,
5 hapakuwepo na mche wa shambani uliokuwa umejitokeza ardhini, wala hapakuwepo na mmea wa shamba uliokuwa umeota, kwa kuwa Bwana Mungu alikuwa hajanyeshea mvua juu ya nchi, na hapakuwepo mtu wa kuilima ardhi,
I svaku biljku poljsku, dokle je još ne bješe na zemlji, i svaku travku poljsku, dokle još ne nicaše; jer Gospod Bog još ne pusti dažda na zemlju, niti bješe èovjeka da radi zemlju,
6 lakini umande ulitokeza kutoka ardhini na kunyesha uso wote wa nchi:
Ali se podizaše para sa zemlje da natapa svu zemlju.
7 Bwana Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.
A stvori Gospod Bog èovjeka od praha zemaljskoga, i dunu mu u nos duh životni; i posta èovjek duša živa.
8 Basi Bwana Mungu alikuwa ameotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, huko akamweka huyo mtu aliyemuumba.
I nasadi Gospod Bog vrt u Edemu na istoku; i ondje namjesti èovjeka, kojega stvori.
9 Bwana Mungu akafanya aina zote za miti ziote kutoka ardhini, miti yenye kupendeza macho na mizuri kwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mti wa uzima na mti wa kujua mema na mabaya.
I uèini Gospod Bog, te nikoše iz zemlje svakojaka drveta lijepa za gledanje i dobra za jelo, i drvo od života usred vrta i drvo od znanja dobra i zla.
10 Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne.
A voda tecijaše iz Edema natapajuæi vrt, i odande se dijeljaše u èetiri rijeke.
11 Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu.
Jednoj je ime Fison, ona teèe oko cijele zemlje Evilske, a ondje ima zlata,
12 (Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)
I zlato je one zemlje vrlo dobro; ondje ima i bdela i dragoga kamena oniha.
13 Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi.
A drugoj je rijeci ime Geon, ona teèe oko cijele zemlje Huske.
14 Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni Frati.
A treæoj je rijeci ime Hidekel, ona teèe k Asirskoj. A èetvrta je rijeka Efrat.
15 Bwana Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.
I uzevši Gospod Bog èovjeka namjesti ga u vrtu Edemskom, da ga radi i da ga èuva.
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, “Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani,
I zaprijeti Gospod Bog èovjeku govoreæi: jedi slobodno sa svakoga drveta u vrtu;
17 lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
Ali s drveta od znanja dobra i zla, s njega ne jedi; jer u koji dan okusiš s njega, umrijeæeš.
18 Bwana Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”
I reèe Gospod Bog: nije dobro da je èovjek sam; da mu naèinim druga prema njemu.
19 Basi Bwana Mungu alikuwa amefanyiza kutoka ardhi wanyama wote wa porini na ndege wote wa angani. Akawaleta kwa huyu mtu aone atawaitaje, nalo jina lolote alilokiita kila kiumbe hai, likawa ndilo jina lake.
Jer Gospod Bog stvori od zemlje sve zvijeri poljske i sve ptice nebeske, i dovede k Adamu da vidi kako æe koju nazvati, pa kako Adam nazove koju životinju onako da joj bude ime;
20 Hivyo Adamu akawapa majina wanyama wote wa kufugwa, ndege wa angani, na wanyama wote wa porini. Lakini kwa Adamu hakupatikana msaidizi wa kumfaa.
I Adam nadjede ime svakom živinèetu i svakoj ptici nebeskoj i svakoj zvijeri poljskoj; ali se ne naðe Adamu drug prema njemu.
21 Hivyo Bwana Mungu akamfanya Adamu kulala usingizi mzito, naye alipokuwa amelala akachukua moja ya mbavu zake, akapafunika mahali pale kwa nyama.
I Gospod Bog pusti tvrd san na Adama, te zaspa; pa mu uze jedno rebro, i mjesto popuni mesom;
22 Kisha Bwana Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyo mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa huyo mwanaume.
I Gospod Bog stvori ženu od rebra, koje uze Adamu, i dovede je k Adamu.
23 Huyo mwanaume akasema, “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu na nyama ya nyama yangu, ataitwa ‘mwanamke,’ kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”
A Adam reèe: sada eto kost od mojih kosti, i tijelo od mojega tijela. Neka joj bude ime èovjeèica, jer je uzeta od èovjeka.
24 Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Zato æe ostaviti èovjek oca svojega i mater svoju, i prilijepiæe se k ženi svojoj, i biæe dvoje jedno tijelo.
25 Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.
A bjehu oboje goli, Adam i žena mu, i ne bješe ih sramota.