< Mwanzo 16 >

1 Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,
Sarai, mutan kial Abram, el tiana isus tulik nu sel Abram. Tusruktu oasr mutan kulansap lal, mutan fusr Egypt se pangpang Hagar.
2 hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.” Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema.
Ouinge Sarai el fahk nu sel Abram, “LEUM GOD El tia lela in oasr tulik nutik. Kom ku tia tari ona yurin mutan kulansap luk? Sahp el ac ku in aolyula oswela sie tulik ah.” Abram el insese nu ke ma Sarai el fahk nu sel.
3 Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake.
Ke ma inge Sarai el eisalang Hagar nu sel Abram tuh elan mutan kulansap kial. (Ma se inge sikyak tukun Abram el muta yac singoul in acn Canaan.)
4 Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba. Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai.
Abram el ona yorol Hagar, ac el pitutuyak. Ke Hagar el etauk lah el pitutu, el inse fulatak ac kwaselak Sarai.
5 Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”
Sarai el fahk nu sel Abram, “Kom pa pwanang Hagar el srungayu uh. Nga tuh sifacna eisalot nu sum, tuh tukunna el konauk lah el pitutu ah, el nuna kwaseyu na. Lela LEUM GOD Elan aksuwosye lah su kac pwaye se uh — kom ku nga!”
6 Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.
Abram el topuk ac fahk, “Lungse na lom. Kom na pa nununkal an. Oru na ma kom lungse oru nu sel an.” Ouinge Sarai el oru arulana upa nu sel Hagar, pwanang Hagar el kaingla.
7 Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri.
Lipufan lun LEUM GOD el sonol Hagar sisken sie unon in kof yen mwesis inkanek nu Shur
8 Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?” Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”
ac fahk, “Hagar, mutan kulansap lal Sarai, kom tuku oya me, ac kom ac som nu ya?” Ac Hagar el fahk, “Nga kaingla liki mutan kacto luk.”
9 Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.”
Na lipufan sac fahk, “Folokla nu yorol ac kulansap na nu sel.”
10 Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”
Na lipufan sac sifilpa fahk, “Nga ac fah arulana akpusye fwilin tulik nutum, ac wangin sie mwet ac ku in oakalosla.
11 Pia malaika wa Bwana akamwambia: “Wewe sasa una mimba nawe utamzaa mwana. Utamwita jina lake Ishmaeli, kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.
Kom ac fah oswela wen se, ac kom fah sang inel Ishmael, mweyen LEUM GOD El lipsrala pusren tung ac asor lom.
12 Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu, mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu na mkono wa kila mtu dhidi yake, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake wote.”
Tusruktu wen nutum el ac fah moul oana donkey lemnak soko. El ac fah lain mwet nukewa, ac mwet nukewa ac fah lainul. El ac fah muta srengla liki sou lal nukewa.
13 Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”
Hagar el siyuk sel sifacna, “Ku pwayena lah ngan liye God ac moul na in srumun kac?” Ouinge el pangon LEUM GOD su sramsram nu sel “Sie God Su Liye.”
14 Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi, ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.
Pa inge sripa se oru mwet uh pangon lufin kof se inmasrlon Kadesh ac Bered, “Lufin Kof Lun El Su Moul Ac Liyeyu.”
15 Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli.
Hagar el oswela wen se nu sel Abram, ac Abram el sang inel Ishmael.
16 Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.
Abram el yac oalngoul onkosr ke pacl sac.

< Mwanzo 16 >