< Mwanzo 16 >
1 Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,
A: ibala: me idua Selai da ema mano hame lai. E da aligime esalu. Be Idibidi hawa: hamosu a: fini ea dio amo Ha: iga da Selai ea fidisu esalu.
2 hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.” Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema.
Amaiba: le Selai da A: bala: mema amane sia: i, “Hina Gode da hamobeba: le, na da mano lamu hamedei. Di amola na hawa: hamosu a: fini gilisili golama. Amo hou hamobeba: le, na da mano lamu.” A: ibala: me da Selai ea sia: da defea dawa: i.
3 Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake.
Amaiba: le, A:ibala: me da Ga: ina: ne soge ganodini ode 10 esalu, Selai da ea Idibidi hawa: hamosu a: fini amo Ha: iga amo A: ibala: me ema doaga: ma: ne, ema i dagoi.
4 Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba. Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai.
E da Ha: iga amola gilisili golale, Ha: iga da mano lale abula agui ba: i. Ha: iga da ea abula agui dawa: beba: le, hidale ea hina Selai amo higale ba: i.
5 Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”
Amalalu, Selai da A: ibala: mema amane sia: i, “Di fawane da wadela: le hamobeba: le, na da se naba. Na da na hawa: hamosu a: fini dima i dagoi. Amola wali e da abula agui amo dawa: beba: le, nama higasa. Hina Gode Hifawane da sia: mu. Na hou da defeala: o dia hou da defeala: ? Na hihi gala mabu.”
6 Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.
A: ibala: me da bu adole i, “Defea! Dia hawa: hamosu a: fini da dia lobo ganodini gagui. Dia hanaiga ema hamoma.” Amalalu, Selai da Ha: igama se iasu. Ha: iga da se nababeba: le, hobea: i.
7 Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri.
Hobeale, e da gu hano amo logo gadenene galu doaga: i. Amoga, a:igele dunu da ema misi.
8 Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?” Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”
E da Ha: igama amane sia: i, “Ha: iga! Selai ea hawa: hamosu a: fini! Di da habidili misibala: ? Amola habidili masa: bela: ?” Ha: iga da bu adole i, “Na da na ouligisu Selai amo yolesimusa: hobealala.”
9 Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.”
Hina Gode Ea a: igele dunu da Ha: igama amane sia: i, “Dia hinama buhagili, ea sia: noga: le nabima!”
10 Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”
E eno amane sia: i, “Na da dia mano fi bagadedafa hamomu. Amaiba: le, ilia idimu defei da hamedei agoane ba: mu.”
11 Pia malaika wa Bwana akamwambia: “Wewe sasa una mimba nawe utamzaa mwana. Utamwita jina lake Ishmaeli, kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.
Hina Gode Ea a: igele dunu da eno ema amane sia: i, “Dia hagomo ganodini da mano esala. Di da dunu mano lalelegemu. Hina Gode da dia se nabasu nababeba: le, di da ema Isiama: ile dio asulima.
12 Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu, mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu na mkono wa kila mtu dhidi yake, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake wote.”
E da nimi dougi defele ba: mu. E da dunu huluane ilima ha lai ba: mu. Amola dunu huluane da ema ha lai ba: mu. E da eaeya huluane ilima ha laiwane ba: mu.”
13 Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”
Ha: iga da Hina Godema eno dio asuli. E amane sia: i, “Di da ‘Gode na Ba: lala’. Na da wali ‘Gode na Ba: lala’, amo ba: i dagoi.”
14 Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi, ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.
Amaiba: le, hano nasu amo da Ga: idisie amola Bilede dogoa diala-amoma ilia dio sia: sa amo. “Esalebe Hina Gode E da na ba: lala amo Ea Hano.”
15 Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli.
Amalalu, Ha: iga da A: ibala: mema dunu mano lalelegei. A: ibala: me da amo mano e lai ema Isiama: ile dio asuli.
16 Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.
Ha: iga da A: ibala: mema mano i, amo esoga A: ibala: me ea lalelegele ode esalu defei da 86 galu.