< Mwanzo 15 >

1 Baada ya jambo hili, neno la Bwana likamjia Abramu katika maono: “Usiogope, Abramu. Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.”
Kalpasan dagitoy a banbanag, immay ti sao ni Yahweh kenni Abram iti maysa a sirmata, a kunana, “Saanka nga agbuteng, Abram! “Siak ti salaknibmo ken ti naidaklan unay a gunggonam.”
2 Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”
Kinuna ni Abram, “Apo a Yahweh, anianto ti ipaaymo kaniak, ta kastoy met latta, awananak iti anak, ken ti agtawid iti balayko ket ni Elieser a taga-Damasco?”
3 Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”
Kinuna ni Abram, “Agsipud ta awan intedmo kaniak a kaputotan, kitaem, ti katalek iti balayko ket isu ti agtawid.”
4 Ndipo neno la Bwana lilipomjia: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”
Ket, pagammoan, immay kenkuana ti sao ni Yahweh, a kunana, “Saan a daytoy a lalaki ti agtawid iti sanikuam; ngem ketdi ti agtaudto a mismo iti bagim ti agtawidto.”
5 Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”
Kalpasanna, impanna isuna iti ruar ket kinunana, “Tumangadka iti langit, ket bilangem dagiti bituen, no kabaelam ida a bilangen.” Ket kinunana kenkuana, “Kastanto met ngarud dagiti kaputotam.”
6 Abramu akamwamini Bwana, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.
Namati isuna kenni Yahweh, ken imbilangna kenkuana daytoy a kinalinteg.
7 Pia akamwambia, “Mimi ndimi Bwana, niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi hii uimiliki.”
Kinunana kenkuana, “Siak ni Yahweh a nangiruar kenka idiay Ur dagiti Caldeo, tapno itedko kenka daytoy a daga a tawidem.”
8 Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”
Kinunana “Apo a Yahweh, kasanonto a maammoak a tawidekto daytoy?”
9 Ndipo Bwana akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”
Ket kinunana kenkuana, “Mangidatagka kaniak iti tallo ti tawenna a baka a saan pay a nagmaya, tallo ti tawenna a kabaian a kalding, tallo ti tawenna a kalakian a karnero, kalapati ken sibong a pagaw.”
10 Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili.
Impanna amin kenkuana dagitoy, ket ginuduana dagitoy. Ket inkabilna ti tunggal kagudua iti batug ti kapisina, ngem saanna a ginudua dagiti billit.
11 Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
Idi bimmaba dagiti billit a mangan kadagiti natay nga ayup, inabog ni Abram dagitoy.
12 Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la kutisha likaja juu yake.
Ket idi lumlumneken ti init, nakaturog iti nasimbeng ni Abram ket pagammoan, nasallukoban isuna iti nakaam-amak ken nakabutbuteng a sipnget.
13 Kisha Bwana akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.
Kalpasanna, kinuna ni Yahweh kenni Abram, “Ammoem koma a gangannaetto dagiti kaputotam iti saanda a daga, ket matagabudanto ken maparigatdanto iti las-ud iti uppat a gasut a tawen.
14 Lakini nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka huko na mali nyingi.
Ukomekto dayta a nasion a pagserbianda, ket rummuardanto kalpasan nga addaan iti nawadwad a sanikua.
15 Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee mwema.
Ngem mapankanto kadagiti amam a sitatalna, ket lakaykanto unayen inton maitanemka.
16 Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafikia kipimo kilichojaa.”
Iti maikapat a henerasion ket umaydanto manen ditoy. Ta saan pay a nadanon ti pagpatinggaan ti kinadagsen iti basol dagiti Amorreo.”
17 Wakati jua lilipokuwa limezama na giza limeingia, tanuru la moshi na mwali wa moto unaowaka vikatokea na kupita kati ya vile vipande vya nyama.
Idi limneken ti init ket nasipngeten, adda maysa nga agas-asuk a banga ken sumsumged nga aluten a limmasat iti nagbabaetan dagiti pidaso ti ayup.
18 Siku hiyo Bwana akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri hadi mto ule mkubwa, Frati,
Iti dayta nga aldaw, nakitulag ni Yahweh kenni Abram, kunana, “Kadagiti kaputotamto, itedko daytoy a daga, manipud iti karayan ti Egipto inggana iti dakkel a karayan, ti Eufrates—
19 yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,
dagiti Kineo, dagiti Kenizeo, dagiti Kadmoneo,
20 Wahiti, Waperizi, Warefai,
dagiti Heteo, dagiti Perezeo, dagiti Refaim,
21 Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”
dagiti Amorreo, dagiti Cananeo, dagiti Girgaseo ken dagiti Jebuseo.”

< Mwanzo 15 >