< Mwanzo 14 >

1 Wakati huu Amrafeli mfalme wa Shinari, Arioko mfalme wa Elasari, Kedorlaoma mfalme wa Elamu, na Tidali mfalme wa Goimu
Tokosra akosr, Amraphel lun Babylonia, Arioch lun Ellasar, Chedorlaomer lun Elam, ac Tidal lun Goiim,
2 kwa pamoja walikwenda kupigana vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha mfalme wa Gomora, Shinabu mfalme wa Adma, Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari).
elos som in mweun lain tokosra limekosr saya: Bera lun Sodom, Birsha lun Gomorrah, Shinab lun Admah, Shemeber lun Zeboiim, ac tokosra lun Bela (ku Zoar).
3 Hawa wote waliotajwa mwishoni waliunganisha majeshi yao kutoka Bonde la Sidimu (yaani Bahari ya Chumvi).
Tokosra limekosr inge toeni orala u se, ac fahsreni nu Infalfal Siddim, su pa Meoa Misa in pacl inge.
4 Walikuwa wametawaliwa na Mfalme Kedorlaoma kwa miaka kumi na miwili, lakini mwaka wa kumi na tatu waliasi.
Elos tuh muta ye nununku lal Chedorlaomer ke yac singoul luo, tusruktu in yac se aksingoul tolu elos tuyak lainul.
5 Mnamo mwaka wa kumi na nne, Mfalme Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai katika Ashtaroth-Kanaimu, Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe-Kiriathaimu,
In yac aksingoul akosr Chedorlaomer ac tokosra tolu wial tuku wi un mwet mweun lalos ac kutangla mwet Rephaim in acn Ashtaroth Karnaim, oayapa mwet Zuzim in acn Ham, mwet Emim in acn tupasrpasr lun Kiriathaim,
6 na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
ac mwet Hor infulan eol Edom, ukwalos na nwe Elparan sisken acn mwesis.
7 Kisha wakarudi wakaenda En-Misfati (yaani Kadeshi), wakashinda nchi yote ya Waamaleki, pamoja na Waamori waliokuwa wakiishi Hasason-Tamari.
Na elos forla ac foloko nu Kadesh (in pacl so pangpang Enmishpat.) Elos eisla acn nukewa lun mwet Amalek, ac kutangla mwet Amor su muta Hazazon Tamar.
8 Ndipo mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka kupanga majeshi yao kwenye Bonde la Sidimu
Na Tokosra lun Sodom, Gomorrah, Admah, Zeboiim, ac Bela elos mokuiyak wi un mwet mweun lalos in mweun Infalfal Siddim
9 dhidi ya Kedorlaoma, mfalme wa Elamu, Tidali mfalme wa Goimu, Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, yaani wafalme wanne dhidi ya wafalme watano.
lain tokosra lun Elam, Goiim, Babylonia, ac Ellasar — tokosra limekosr lain tokosra akosr.
10 Basi Bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, nao wafalme wa Sodoma na wa Gomora walipokimbia, baadhi ya watu walitumbukia huko na wengine wakakimbilia vilimani.
Infalfal sac sessesla ke lufin tar, ac ke tokosra lun Sodom ac Gomorrah srike in kaingla liki mweun uh, elos putatyang nu in luf inge, a tokosra tolu saya uh kaingla nu fineol ah.
11 Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.
Tokosra akosr ah usla ma nukewa in acn Sodom ac Gomorrah, wi mwe mongo we, ac som.
12 Pia walimteka Loti mwana wa ndugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwa kuwa alikuwa akiishi Sodoma.
Lot, wen nutin ma lel Abram, el muta Sodom in pacl sac, ac elos usalla ac ma lal nukewa.
13 Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akaja kumpa Abramu Mwebrania taarifa. Wakati huu Abramu alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mamre Mwamori, aliyekuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri, ambao wote walikuwa wameungana na Abramu.
Tusruktu oasr mwet se kaingla ac fahkak ma sikyak inge nukewa nu sel Abram, mwet Hebrew se su muta fototo nu ke sak oal sunal Mamre, mwet Amor. Mamre ac tamulel luo wial, Eshcol ac Aner, elos welul Abram lac ke pacl in mweun.
14 Abramu alipopata habari kwamba jamaa yake amechukuliwa mateka, akawaita watu 318 wa nyumbani mwake waliokuwa wamefunzwa kupigana vita, wakawafuatilia hadi Dani.
Ke Abram el lohng lah sruhu wen nutin mwet lel, el pangoneni mukul nukewa ke nien aktuktuk lal su etu mweun — mukul tolfoko singoul oalkosr nufon — ac ukwe na tokosra akosr ah nwe Dan.
15 Wakati wa usiku Abramu aliwagawa watu wake katika vikosi ili awashambulie, na akawafuatilia, akawafukuza hadi Hoba, kaskazini ya Dameski.
Ke elos sun acn we, el kitalik mwet lal ah nu ke u, ac sroang nu sin mwet lokoalok lalos ke fong, ac kutangulosla. El ukwalos na nwe Hobah, epang in Damascus,
16 Akarudisha mali zote, na akamrudisha Loti jamaa yake na mali zake, pamoja na wanawake na watu wengine.
ac folokonma ma wap nukewa ma elos tuh usla. El oayapa folokunulma Lot, wen nutin ma lel, wi ma lal nukewa, weang mutan ac mwet kapir pac saya.
17 Abramu aliporudi baada ya kumshinda Mfalme Kedorlaoma na wale wafalme waliojiunga naye, mfalme wa Sodoma akatoka kwenda kumlaki katika Bonde la Shawe (yaani Bonde la Mfalme).
Ke Abram el foloko tukun el kutangulla Chedorlaomer ac tokosra ma welul, tokosra lun acn Sodom el illa in sonol Infalfal Shaveh (pangpang pac Infalfal lun Tokosra).
18 Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.
Ac Melchizedek, su tokosra lun acn Salem ac el oayapa sie mwet tol lun God Fulatlana, el use bread ac wain nu yorol Abram,
19 Naye akambariki Abramu, akisema, “Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na nchi.
ac akinsewowoyal ac fahk, “Lela God Fulatlana, su orala kusrao ac faclu, in akinsewowoyal Abram!
20 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana, ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako.” Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya kumi ya kila kitu.
Lela in kaksakinyuk God Fulatlana, su asot kutangla nu sum fin mwet lokoalok lom!” Ac Abram el sang nu sel Melchizedek sie tafu singoul in ma wap nukewa ma el folokonma.
21 Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, “Nipe hao watu na hizo mali uchukue wewe mwenyewe.”
Tokosra lun Sodom el fahk nu sel Abram, “Sruokya ma wap an lom, tusruktu folokonma nufon mwet luk an.”
22 Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa Bwana, Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na dunia, na nimeapa
Na Abram el fahk, “Nga orala fulahk luk ye mutun LEUM GOD, El su Fulatlana, su orala kusrao ac faclu,
23 kwamba sitapokea kitu chochote kilicho chako, hata kama ni uzi au gidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema, ‘Nimemtajirisha Abramu.’
lah nga ac fah tiana sruokya kutena ma lom, finne turet soko ku soko mwe lohl fahluk, kom in mau tia ku in fahk mu, ‘Nga pa oru Abram el kasrup.’
24 Sitapokea chochote, ila kile tu watu wangu walichokula na sehemu ambayo ni fungu la watu waliokwenda pamoja nami, ambao ni Aneri, Eshkoli na Mamre. Wao na wapewe fungu lao.”
Nga fah tiana eis kutena ma, sayen ma mwet luk inge orekmakin tari uh. Tusruktu lela elos su wiyu inge (Aner, Eshcol, ac Mamre) in eis ip lalos.”

< Mwanzo 14 >