< Mwanzo 12 >
1 Bwana akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.
Gode da A: ibala: mema amane adole i, “Dia soge, dia fi amola dia ada diasu amo yolesili, soge enoga masa. Dia fimu soge na da dima olelemu.
2 “Mimi nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki, Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa baraka.
Na da dima mano bagohame imunu. Dia mano fifi misunu da hobea bagadewane fi dialumu. Na da dima hahawane dogolegemu amola dia dio gasi gadomu.
3 Nitawabariki wale wanaokubariki, na yeyote akulaaniye nitamlaani; na kupitia kwako mataifa yote duniani yatabarikiwa.”
Nowa dunu da dima hahawane dogolegele fidisia, amo dunu Na da hahawane dogolegele fidimu. Be nowa dunu da dima gagabusu aligima: ne sia: sea, Na da ilima gagabusu aligima: ne sia: mu. Dia hou amo ganodini na da osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ilima hahawane dogolegesu imunu.”
4 Hivyo Abramu akaondoka kama Bwana alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano.
A: ibala: me da ode 75 lai dagoi. Amalalu e da Gode Ea adoi defele Ha: ila: ne moilai yolesili asi. Lode amola da sigi asi.
5 Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.
A: ibala: me da ea uda Selai, eaowa Lode amola ea liligi gagui huluane aguni amola ea udigili hawa: hamosu dunu amo e da Ha: ila: ne moilaiga lai, amo huluane oule asili, Ga: ina: ne moilaiga doaga: musa: asi. Ahoana, ilia da Ga: ina: ne sogega doaga: i.
6 Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo.
A: ibala: me da Ga: ina: ne soge ganodini ahoanu, sema ifa amo ea dio Mole amo Siegeme moilai bai bagade ganodini galu amoga doaga: i. (amo esoga Ga: ina: ne dunu da amo soge ganodini esalu)
7 Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu Bwana aliyekuwa amemtokea.
Gode da A: ibala: mema misini amane sia: i, “Na da amo soge, digaga fi ilima imunu.” Amalalu, A:ibala: me da Hina Gode ba: i dagoiba: le, e da Godema nodoma: ne oloda hamoi dagoi.
8 Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Bwana madhabahu na akaliitia jina la Bwana.
Amalalu, e da ga (south) asili, goumi soge amo da Bedele moilaiga gusu dialu, amoga abula diasu gagui. Ea moilai da Bedele moilai amo guma: amola A: iai moilai gusuli dogoa dialebe ba: i. Amo sogebiga e da oloda eno hamone, Godema nodoi.
9 Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.
Amalalu e da amo soge yolesili, sogebi eno amola sogebi eno amoga asili Ga: ina: ne soge ga (south) la: ididili doaga: musa: ahoanu.
10 Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali.
Gibu da hame sa: iba: le, ha: i bagade doaga: i. Ha: i bagadeba: le, A:ibala: me da Idibidi sogega fonobahadi esalumusa: asi.
11 Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura.
E da Idibidi soge bega: doaga: loba, e da idua Selai ema amane sia: i, “Di da uda ida: iwane ba: sa amo na dawa:
12 Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai.
Idibidi dunu da di ba: sea amane sia: mu, ‘Amo da ea uda.’ Amasea, ilia da na fane legemu be di esaloma: ne yolesimu.
13 Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”
Amaiba: le di da na dalusi ilima sia: ma. Amasea, ilia nama hahawane hamomu amola ilia dima asigiba: le, na hame fane legemu.
14 Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura.
A: ibala: me da Idibidi sogega doaga: loba, Idibidi dunu da Selai da uda isisima: goi ba: i.
15 Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme.
Felou ea hou ouligisu dunu da Selai ba: loba, ilia da ea hou Felouma nodoi. Amanoba Felou da Selai ea diasu esalumusa: oule misi.
16 Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.
Felou da Selaima dawa: beba: le, Felou da A: ibala: me hahawane fidi. Amalalu, A:ibala: me da sibi, bulamagau, dougi (gawali amola aseme), hawa: hamosu (dunu amola uda) amola ga: mele lai.
17 Lakini Bwana akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu.
Be Hina Gode da Felou amola ea diasuga esalebe fi ilima olo bagade iasi. E da A: ibala: me ea uda Selai laiba: le, amo olo iasi.
18 Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako?
Amaiba: le, Felou da A: ibala: me ema misa: ne sia: i. E amane sia: i, “Di da nama adi hamobela: ? Amo da dia uda. Abuli hame adobela: ?
19 Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!”
Di da abuli ‘amo da na dalusi!’ sia: bela: ? amalalu amo uda na da lai dagoi. Defea! Dia uda da goea. Lale masa!”
20 Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.
Felou da ea ouligisu hina dunu ilima sia: beba: le, ilia A: ibala: me amola idua amola ea gagui liligi huluane gadili asunasi dagoi.