< Mwanzo 10 >
1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Detta är Noahs söners slägt: Sem, Ham, Japhet, och de födde barn efter flodena.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Japhets barn äro desse: Gomer, Magog, Madaj, Javan, Thubal, Mesech och Thiras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Men Gomers barn äro desse: Ascenas, Riphath och Thogarma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Javans barn äro desse: Elisa, Tharsis, Chitthim och Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Utaf dessom äro utspridde Hedningarnas öar i deras landom, hvar efter sitt mål, slägte och folk.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Hams barn äro desse: Chus, Mizraim, Phut och Canaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Chus barn äro desse: Seba, Hawila, Sabtha, Raema och Sabthecha. Raemas barn äro desse: Scheba och Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Men Chus födde Nimrod; han begynte en väldig herre vara på jordene.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Och var en väldig jägare för Herranom. Deraf är det ordspråket: Det är en väldig jägare för Herranom, såsom Nimrod.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
Och hans rikes begynnelse var Babel, Erech, Acad och Calne uti Sinear land.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
Utaf det landet är sedan kommen Assur; och han byggde Nineve och Rehoboth, och Calah.
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
Och dertill Resen emellan Nineve och Calah: Detta är en stor stad.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim födde Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim,
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Patrusim och Casluhim. Af hvilkom utkomne äro de Philistim och Caphthorim.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Men Canaan födde Zidon sin första son, och Heth,
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Jebusi, Emori, Girgasi,
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hivi, Archi, Sini,
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Arvadi, Semari och Hamathi. Af dem äro utspridde de Cananeers slägter.
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
Och deras gränsor voro ifrå Zidon genom Gerar, allt intill Gaza, till dess man kommer intill Sodoma, Gomorra, Adama, Zeboim, och intill Lasa.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Desse äro nu Hams barn i deras slägter, tungomålom, landom och folkom.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
Men Sem, Japhets broder, den äldste, födde ock barn, hvilken en fader är till all Ebers barn.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Och desse äro hans barn: Elam, Assur, Arphachsad, Lud och Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Arams barn äro desse: Uz, Hul, Gether och Mas.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Arphachsad födde Salah, Salah födde Eber.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eber födde två söner, en het Peleg, derföre att i hans tid vardt verlden delad; hans broder het Jaketan.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Och Jaketan födde Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikela,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Seba,
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Hawila och Jobab. Alle desse äro Jaketans söner.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
Och deras boning var ifrå Mesa, intill man kommer till Sephar på berget öster ut.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Dessa äro Sems barn, uti deras slägter, tungomålom, landom och folkom.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Detta är nu Noahs barns afföda, uti deras slägter och folkom. Af hvilkom utspridt är folket på jordene efter floden.