< Mwanzo 10 >
1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Estas son las generaciones de los hijos de Noé: Sem, Cam, y Jafet, a los cuales nacieron hijos después del diluvio.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Los hijos de Jafet fueron Gomer, y Magog, y Madai, y Javán, y Tubal, y Mosoc, y Tiras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Y los hijos de Gomer: Ascenez, y Rifat, y Togorma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Y los hijos de Javán: Elisa, y Társis, Cetim, y Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Por estos fueron partidas las islas de las Gentes en sus tierras, cada cual según su lengua, conforme a sus familias en sus naciones.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Los hijos de Cam fueron Cus, y Mizraim, y Fut, y Canaán.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Y los hijos de Cus, Saba, Hevila, y Sabata, y Rahama, y Sabataca. Y los hijos de Rahama, Saba, y Dadán.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Y Cus engendró a Nimrod. Este comenzó a ser poderoso en la tierra.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Este fue poderoso cazador delante de Jehová: por lo cual se dice: Como Nimrod poderoso cazador delante de Jehová.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
Y fue la cabecera de su reino Babel, y Arac, y Acad, y Calanne, en la tierra de Sennaar.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
De aquesta tierra salió Assur, el cual edificó a Nínive, y a Recobot-ir, y a Cale,
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
Y a Resen entre Nínive y Cale, la cual es la ciudad grande.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Y Mizraim engendró a Ludim, y Anamim, y Laabim, y Neptuim,
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Y a Fetrusim, y Casluim, de donde salieron los Filisteos, y a Caftorim.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Y Canaán engendró a Sidón su primogénito, y a Jet,
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Y a Jebusi, y Amori, y Gergasi,
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
Y a Hevi, y a Arci, y a Cini,
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Y a Aradi, Samari, y Hemati: y después se derramaron las familias de los Cananeos.
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
Y fue el término de los Cananeos, desde Sidón viniendo a Gerar hasta Gaza, hasta entrar en Sodoma y Gomorra, Adma, y Seboim hasta Lasa.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Estos son los hijos de Cam por sus familias, por sus lenguas, en sus tierras, en sus naciones.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
Y a Sem también le nacieron hijos; él fue padre de todos los hijos de Jeber, hermano de Jafet el mayor.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Y los hijos de Sem fueron Elam, y Assur, y Arfajad, y Lud, y Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Y los hijos de Aram: Hus, y Hul, y Geter, y Mes.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Arfajad engendró a Sale, y Sale engendró a Jeber.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Y a Jeber nacieron dos hijos: el nombre del uno fue Faleg, porque en sus días fue partida la tierra: y el nombre de su hermano, Jectán.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Y Jectán engendró a Elmodad, y a Salef, y a Asarmot, y a Jaré,
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Y a Adoram, y a Uzal, y a Decla,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Y a Hebal, y a Abimael, y a Saba,
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Y a Ofir, y a Hevila, y a Jobab. Todos estos fueron hijos de Jectán.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
Y fue su habitación desde Messa, viniendo de Sefar, monte de oriente.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Estos fueron los hijos de Sem por sus familias, por sus lenguas, en sus tierras, en sus naciones.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Estas son las familias de Noé por sus descendencias, en sus naciones: y de estos fueron divididas las naciones en la tierra después del diluvio.