< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Сия же (суть) бытия сынов Ноевых, Сима, Хама, Иафефа. И родишася им сынове по потопе.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Сынове Иафефовы: Гамер и Магог, и Мадай и Иован, и Елиса и Фовел, и Мосох и Фирас.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Сынове же Гамеровы: Асханас и Рифаф и Форгама.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Сынове же Иовани: Елиса и Фарсис, Китийстии и Родийстии.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
От сих разделишася острови языков (всех) в земли их: кийждо по языку в племенех своих и в народех своих.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Сынове же Хамовы: Хус и Месраин, Фуд и Ханаан.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Сынове Хусовы: Сава и Евила, и Савафа и Регма, и Савафака. Сынове же Регмановы: Сава и Дадан.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Хус же роди Неврода: сей начат быти исполин на земли:
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
сей бе исполин ловец пред Господем Богом: сего ради рекут: яко Неврод исполин ловец пред Господем.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
И бысть начало царства его Вавилон и Орех, и Архад и Халанни на земли Сеннаар.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
От земли тоя изыде Ассур: и созда Ниневию, и Роовоф град, и Халах.
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
И Дасем между Ниневиею и между Халахом: сей есть град великий.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Месраин же роди Лудиима и Неффалима, и Енеметиима и Лавиима,
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
и Патросониима и Хасмониима, отнюдуже изыде Филистиим, и Гаффориима.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Ханаан же роди Сидона первенца (своего) и Хеттеа,
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
и Иевусеа и Аморреа, и Гергесеа
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
и Евеа, и Арукеа и Асеннеа,
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
и Арадиа и Самареа, и Амафию. И посем разсеяшася племена Хананейская:
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
и быша пределы Хананейстии от Сидона даже приити до Герара и Газы, идуще даже до Содома и Гоморры, до Адамы и Севоима, даже до Даса.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Сии сынове Хамовы в племенех своих, по языком своим, в странах своих и в народех своих.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
И Симу родися и тому, отцу всех сынов Еверовых, брату Иафефа старейшаго.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Сынове Симовы: Елам и Ассур, и Арфаксад и Луд, и Арам и Каинан.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
И сынове Арамли: Ос и Ул, и Гатер и Мосох.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
И Арфаксад роди Каинана, Каинан же роди Салу, Сала же роди Евера.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
И родистася Еверу два сына: имя единому Фалек: во дни бо его разделися земля: и имя брату его Иектан.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Иектан же роди Елмодада и Салефа, и Сармофа и Иараха,
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
и Одорра и Евила и Декла,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
и Евала и Авимаила и Совева,
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
и Уфира и Евила и Иовава: вси сии сынове Иектановы.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
И бысть селение их от Маси даже приити до Сафира, горы восточныя.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Сии сынове Симовы, в племенех своих, по языком их, в странах их и в народех их.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Сия племена сынов Ноевых по родом их, по языком их: от сих разсеяшася острови языков на земли по потопе.

< Mwanzo 10 >