< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Voici les générations des fils de Noé, Sem, Cham et Japheth: car il leur naquit des fils après le déluge.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Les fils de Japheth sont: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Thubal, Mosoch et Thiras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Les fils de Gomer: Ascenez, Riphath et Thogorma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Et les fils de Javan: Elisa, Tharsis, Cetthim et Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
C’est par eux que furent divisées les îles des nations dans leurs pays, chacun selon sa langue et ses familles dans leurs nations.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Les fils de Cham: Chus, Mesraïm, Phuth et Chanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Les fils de Chus: Saba, Hévila, Sabatha, Regma et Sabatacha. Les fils de Regma: Saba et Dadan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Or Chus engendra Nemrod; c’est lui qui commença à être puissant sur la terre.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
C’était un fort chasseur devant le Seigneur. De là est venu le proverbe: Comme Nemrod, fort chasseur devant le Seigneur.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
Le commencement de son royaume fut Babylone, Arach, Achad et Chalanné, dans la terre de Sennaar.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
De ce pays sortit Assur qui bâtit Ninive, les rues de cette ville et Chalé,
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
Et aussi Résen entre Ninive et Chalé: c’est la grande ville.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Quant à Mesraïm, il engendra Ludim, Anamim, Laabim, Nephthuim,
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Phétrusim et Chasluim, d’où sont sortis les Philistins et les Caphtorins.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Chanaan engendra Sidon, son premier-né, l’Héthéen,
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Le Jébuséen, l’Amorrhéen, le Gergéséen,
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
L’Hévéen, l’Aracéen, le Sinéen,
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
L’Aradien, le Samaréen et l’Amathéen: et après cela se sont dispersés les peuples des Chananéens.
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
Et les limites des Chananéens furent depuis Sidon en venant à Gérara, jusqu’à Gaza; et en venant à Sodome, Gomorrhe, Adama et Séboïm, jusqu’à Lésa.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Ce sont là les enfants de Cham selon leur parenté, leurs langues, leurs générations, leurs pays et leurs nations.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
De Sem aussi, père de tous les enfants d’Héber et frère aîné de Japheth, naquirent des fils.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Les fils de Sem sont: Elam, Assur, Arphaxad, Lud et Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Les fils d’Aram: Us, Hul, Géther et Mes.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Or Arphaxad engendra Salé, dont est né Héber.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
À Héber naquirent deux fils: le nom de l’un fut Phaleg, parce qu’en ses jours la terre fut divisée; et le nom de son frère, Jectan.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Lequel Jectan engendra Elmodad, Saleph, Asarmoth, Jaré,
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Aduram, Uzal, Décla,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimaël, Saba,
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Hévila et Jobab: tous ceux-là sont les fils de Jectan.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
Et leur habitation s’étendit de Messa jusqu’à Séphar, montagne qui est à l’orient.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Voilà les fils de Sem, selon leur parenté, leurs langues, leurs pays et leurs nations.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Et voilà les familles de Noé, selon leurs peuples et leurs nations. C’est par elles qu’ont été divisées toutes les nations sur la terre après le déluge.

< Mwanzo 10 >