< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
These are the generations of the sonnes of Noe: of Sem Ham and Iapheth which begat them children after the floude.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
The sonnes of Iapheth were: Gomyr Magog Madai Iauan Tuball Mesech and Thyras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
And the sonnes of Gomyr were: Ascenas Riphat and Togarina.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
And the sonnes of Iauan were: Elisa Tharsis Cithun and Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Of these came the Iles of the gentylls in there contres every man in his speach kynred and nation.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
The sonnes of Ham were: Chus Misraim Phut and Canaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
The sonnes of Chus: were Seba Hevila Sabta Rayma and Sabtema. And the sonnes of Rayma were: Sheba and Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Chus also begot Nemrod which bega to be myghtye in the erth.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
He was a myghtie hunter in the syghte of the LORde: Where of came the proverbe: he is as Nemrod that myghtie hunter in the syghte of the LORde.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
And the begynnynge of hys kyngdome was Babell Erech Achad and Chalne in the lande of Synear:
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
Out of that lande came Assur and buylded Ninyue and the cyte rehoboth and Calah
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
And Ressen betwene Ninyue ad Chalah. That is a grete cyte.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizraim begat Iudun Enamim Leabim Naphtuhim
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Pathrusim and Castuhim: from whence came the Philystyns and the Capthiherynes.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Canaan also begat zidon his eldest sonne and Heth
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Iebusi Emori Girgosi
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hiui Arki Sini
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Aruadi Zemari and hamari. And afterward sprange the kynreds of the Canaanytes
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
And the costes of the Canaanytes were fro Sydon tyll thou come to Gerara and to Asa and tyll thou come to Sodoma Gomorra Adama Zeboim: eve vnto Lasa.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
These were the chyldre of Ham in there kynreddes tonges landes and nations.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
And Sem the father of all ye childre of Eber and the eldest brother of Iapheth begat children also.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
And his sonnes were: Elam Assur Arphachsad Lud ad Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
And ye childree of Aram were: Vz Hul Gether and Mas
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
And Arphachsad begat Sala and Sala begat Eber.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
And Eber begat. ij. sonnes. The name of the one was Peleg for in his tyme the erth was devyded. And the name of his brother was Iaketanr
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Iaketan begat Almodad Saleph Hyzarmoneth Iarah
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram Vsal Dikela
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal Abimach Seba
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir Heuila and Iobab. All these are the sonnes of Iaketan.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
And the dwellynge of them was from Mesa vntill thou come vnto Sephara a mountayne of the easte lande.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
These are the sonnes o Sem in their kynreddes languages contrees and nations.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
These are the kynreddes of the sonnes of Noe in their generations and nations. And of these came the people that were in the world after the floude.

< Mwanzo 10 >