< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Dette er Noas Sønner, Sem, Kam og Jafets Slægtebog. Efter Vandfloden fødtes der dem Sønner.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Jafets Sønner: Gomer, Magog. Madaj, Javan, Tubal, Mesjek og Tiras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Gomers Sønner: Asjkenaz, Rifaf og Togarma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Javans Sønner: Elisja, Tarsis. Kittæerne og Rodosboerne;
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
fra dem nedstammer de fjerne Strandes Folk. Det var Jafets Sønner i deres Lande, hver med sit Tungemål, efter deres Slægter og i deres Folkeslag.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Kams Sønner: Kusj, Mlizrajim, Put og Hana'an.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Kusj's Sønner: Seba, Havila, Sabta, Ra'ma og Sabteka. Ra'mas Sønner: Saba og Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Og Kusj avlede Nimrod, som var den første Storhersker på Jorden.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Han var en vældig Jæger for HERRENs Øjne; derfor siger man: "En vældig Jæget for HERRENs Øjne som Nimrod."
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
Fra først af omfattede hans Rige Babel, Erelk, Akkad og Kalne i Sinear;
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
fra dette Land drog han til Assyrien og byggede Nineve, Rehobot- Ir, Kela
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
og Resen mellem Nineve og Kela, det er den store By.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizrajim avlede Luderne, Anamerne, Lehaberne, Naftuherne,
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Patruserne, Kasluherne, fra hvem Filisterne udgik, og Kaftorerne.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Kana'an avlede Zidon, hans førstefødte, Het,
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Jebusiterne, Amoriterne, Girgasjiterne,
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hivviterne, Arkiterne, Siniterne,
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Arvaditerne, Zemariterne og Hamatiterne; men senere bredte Kana'anæernes Slægter sig,
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
så at Kana'anæernes Område strakte sig fra Zidon i Retning af Gerar indtil Gaza, i Retning af Sodoma, Gomorra, Adma, og Zebojim indtil Lasja.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Det var Kams Sønner efter deres Slægter og Tungemål i deres Lande og Folk.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
Men også Sem, alle Ebersønnernes Fader, Jafets ældste Broder, fødtes der Sønner.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Sems Sønner: Elam, Assur, Arpaksjad, Lud og Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Arams Sønner: Uz, Hul, Geter og Masj.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Arpaksjad avlede Sjela; Sjela avlede Eber;
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eber fødtes der to Sønner; den ene hed Peleg, thi på hans Tid adsplittedes Jordens Befolkning, og hans Broder hed Joktan.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktan avlede Almodad, Sjelef, Hazarmavet, Jera,
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Saba,
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Havila og Jobab. Alle disse var Joktans Sønner,
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
og deres Bosteder strækker sig fra Mesja i Retning af Sefar, Østens Bjerge.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Det var Sems Sønner efter deres Slægter og Tungemål i deres Lande og Folk.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Det var Noas Sønners Slægter efter deres Nedstamning, i deres Folk; fra dem nedstammer Folkene, som efter Vandfloden bredte sig på Jorden.

< Mwanzo 10 >